Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana kuwa na nchi ambayo watu wake wanaamini uongozi ndio keki ya taifa na mtu akipewa cheo ameula
Kwani wameanza leo kupewa vyeo? Wenye sababu ya kuumia ni wafia chama ambao wanaangalia nafasi zinachukuliwa na mamluki ambao juzi tu walikuwa wanawatukana. Mnajikaza tu lakini mnaumia.Ulichoumia ni wale wafuasi wenu wa zamani kupewa vyeo hamna lingine.
Uteuzi wa hovyo sanaaaInasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe
Kuna group nipo nimejishutukia nabaki mwenyeweMama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
mkuu ,mama amewapa nafasi vijana nao washike nafasi za uongozi katika nchi yao,sijaona alipokosea, kwani we ulitaka awateue wote kutoka UVCCM auInasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe
Anayestahili kuwa mkuu wa wilaya ni mtu mwenye sifa gani?
Ahaah,,lile jamaa linaitwa magoiga, lenyewe vipi alijateuliwaKuna group nipo nimejishutukia nabaki mwenyewe
Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.
Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.
Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe
Msepende kumtaja taja Mungu kwenye fikra zenu yaani Mungu yupo kuwafuhisha nyie?
Wewe umepata mshtuko na roho imekuuma mno baada ya kuona kina Nassari wamepewa vyeo hamna jingine.
Kaivunja kwa vipi?Mama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
Hivi wasanii gani wamekuwa maDC?Nafasi wapewe lakini sio ukuu wa wilaya. Wanaelewa nini kwenye utumishi na ulinzi na usalama.
Wewe mateka ya Mwendazake bado una ndoto za Mwendazake làbda atarudiWewe nani mpaka useme hivyo cha kushangaza wewe ni mateka wa Mbowe unataka Rais Samia, akufurahishe? Nyie kupinga ndiyo kazi mliotumwa na Mfalme Mbowe, Rais kawambia mpo huru kufanya mikutano yenu nchi nzima au nyie mnafanyie JF.
Hakuna aliezaliwa anaelewa chochote. Hiyo ndio nafasi sahihi kabisa ya kuwapima vijana wetu.Nafasi wapewe lakini sio ukuu wa wilaya. Wanaelewa nini kwenye utumishi na ulinzi na usalama.
ndo kwaaanza sindano inaandaliwa, si mliwacheka sasa endeeleni kuanzisha uzi za kutosha wakiwa wanapokea mishahara ya kutosha
Hapo ndio upinzani wanashangaza sana.Wewe nani mpaka useme hivyo cha kushangaza wewe ni mateka wa Mbowe unataka Rais Samia, akufurahishe? Nyie kupinga ndiyo kazi mliotumwa na Mfalme Mbowe, Rais kawambia mpo huru kufanya mikutano yenu nchi nzima au nyie mnafanyie JF.