luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Ivi yule kijana aliyechaguliwa na the late John, ambae alikuwa ni PHD holder tokea china ambae alifanya kazi ndan ya chama na mshahara wake ulikuwa laki 5 bado amebaki ?kama mama kamtoa this is not fair