macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mkuu bila kufanya overhole ya system nzima ya utawala hamna kitu kitabadilika. Mama ameteua ''wajanja wajanja'' wa mjini eti ndiyo wakuu wa wilaya.MAMA Kachemka..asipoangalia hatarudishwa kwa chama..kachagua utopolo tu