Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya uliofanyika Juni 2021 umeshusha hadhi ya nafasi hiyo

Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya uliofanyika Juni 2021 umeshusha hadhi ya nafasi hiyo

Mama kaivunja UVCCM kabisa, MATAGA wanataga sasa, nasikia wanaleft kwenye magrupu yao.
Wengine wanatukana balaa
Japo mie siipendi CCM Ila amechemka this time. Amebeba watu hata ambao hawapo kwenye siasa sio sawa, kuna watu wanahangaika na chama kila uchwao na wanatumia Hadi gharama zao kiukweli asingeweza kuchukua wote Ila nafasi hizi ndio huwa za kueapooza japo wapate jina.

Pia aleta watu ambao hawajawahi hata kujua minute sheet inaandikwaje mtu ametoka shule hajawahi kukaa kufanya kazi kidogo. In short secretary ndio anageuka mwalimu wa DC kumuelekeza namna ya kuendorse mafaili.

Kachemka sana na kwa huu mwendo nimeanza kumchoka mapema sana.
 
Anadhani labda kazi ya mkuu wa wilaya ni kuongoza mbio za mwenge na kuongea na kamati ya siasa. Jokate alichofanikiwa ni kujikoboa baada ya kupata mshiko wa kutosha kupitia ukuu wa wilaya; na pia kuongozea ukubwa wa makalio kwa kutumia dawa za mchina. Haya ndio maendeleo pekee aliyofanikiwa kuleta ktk nchi hii ya kusadikika.
Barikiwa sana mkuu
 
Joketi kaweza kipi .Watu wa kisarawe wengi wao ni wakulima Bora kama angewasaidia kupata masoko ya mazao yao hapo tungeona kaweza.Eti mnadai kajenga shule .sasa kama ni shule mbona zimejengwa nchi nzima.nachokiona kwake anabebwa na midia tu ,Hana ubunifu wowote.
Ukweli mchungu huu.
 
Anadhani labda kazi ya mkuu wa wilaya ni kuongoza mbio za mwenge na kuongea na kamati ya siasa. Jokate alichofanikiwa ni kujikoboa baada ya kupata mshiko wa kutosha kupitia ukuu wa wilaya; na pia kuongozea ukubwa wa makalio kwa kutumia dawa za mchina. Haya ndio maendeleo pekee aliyofanikiwa kuleta ktk nchi hii ya kusadikika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulitaka ateuliwe nani ili uonekane ni uteuzi wa maana? Kama Nassari, lazaro na Lijua likali muliwaamini na kuwapa nafasi za kugombea ubunge, inakuaje wasifae kua wakuu wa wilaya?
Mwacheni rais ateue timu yake, ukifika muda tutaona matunda au maboko ya wateuliwa.
 
Joketi kaweza kipi .Watu wa kisarawe wengi wao ni wakulima Bora kama angewasaidia kupata masoko ya mazao yao hapo tungeona kaweza.Eti mnadai kajenga shule .sasa kama ni shule mbona zimejengwa nchi nzima.nachokiona kwake anabebwa na midia tu ,Hana ubunifu wowote.
Duu[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni wakati wa kutumia kile kilichoachwa na Mzee baba, mwenye maono na vitendo halisi vya kuikomboa Tanzania kiuchumi na kifikra.
 
Aisee uteuzi mbovu 75% .Yaani vyuo vya adminstrative vina changamoto,Kuna ma professor ,wahitimu weredi wakubwa wa siasa na uongozi.
Leo hii bongo movie,bongo fravour,Journalist wawe ma DC.
Nchi Bado inasafari ndefu Sana ,acha waendelee kututukana mpaka tuishike adabu
Chuo Cha mzumbe watoe hii koz ya uongoz, viongoz marapa,.
 
Binafsi kwa uteuzi huu,, umeniondolea imani kubwa nilokuwa nayo kwa mteua,,, kwani zaidi 75% ya wateule wake kwenye huu mkeka hawana sifa stahiki za kuwa kwenye hizi ofisi nyeti.
Ungezitaja hizo sifa stahiki basi nasi tuzifahamu
 
Embu tuambie. Sifa gani ambazo wame mis ?
Yaani wanalalamika sifa sifa halafu hawazitaji hizi sifa ni zipi. Hawa ndo wale watu wa kupenda kujaji wengine kwa mizania fulani ya kipuuuzi (ya kujiona wao ndo bora na wana akili wakati hakuna lolote). Hizi ni akili za kitoto wanazo. Wanajiona wana akili sana. Unaweza mkuta anamdharau Basilla MWanaukuzi sababu tu aliwahi kuwa Miss Tanzania wakati hamfahamu ni nani, ana kiwango gani cha elimu na alifanya shughuli gani baada ya Miss Tanzania, au anamdharau Mwaipaya sababu alikuwa mwandishi wa habari, anasahau Rais Benjamin Mkapa naye aliwahi kuwa mwandishi wa Habari.
 
Dah....list nzima sijamuona mchezaji hata mmoja wa Simba.....kuna haki hapa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.

Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.

Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.

Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Acha wivu kwanini uwaite watu wa hovyo eti kisa wasanii.Au ulitaka kuchagulia wewe? !.
 
Back
Top Bottom