Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya uliofanyika Juni 2021 umeshusha hadhi ya nafasi hiyo

Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya uliofanyika Juni 2021 umeshusha hadhi ya nafasi hiyo

Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.

Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.

Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.

Kiufupi rais kaelemewa na majukumu

Tabia ya ulalamishi tu hakuna cha ajabu Magu aliteua makada, watangazaji na Kikwete aliteua mahawara zake sasa cha ajabu kipi. Wakina Makonda, polepole, ….. ma miss sijui walichaguliwa na nani bila uzoefu. Tusijifanye kama vile kuna mabadiliko kwenye hili😂
 
Eti Nick sijui wa wapi mara Mchopanga.
Asante sana kazi inaendelea 😥
 
Acha zako wewe!

Mshamba na dhalimu wako si kafa?

Sasa unalialia nini?

I don't understand for sure what you are tyring to address in my post, seems you know nothing! Go home and do your your home, rathet than wasting your time for a Great thinker like me.
 
Uongozi ni maandalizi,
Kama wateule waliandaliwa
kuwa viongozi ni sawa.
But,kwa maoni yangu
vijana wengi siku hizi
tunaboronga,heri wateuliwe
Senior GOvt Officers.
 
Kununa hawawezi sababu new supporters wa mama wakiboreka nae wao wanalazimika kujifanya wanaomsifia ili aharibu zaidi lakini mionyoni mwao wanaumia sana.

Na alifanya vizuri anasifiwa na new supporters Jambo ambalo bado wao linaendelea kuwauma.

In short wanaumia kotekote tu, ningekuwa MATAGA ningepumzika siasa kwa muda kama akina Bashiru walivyoamua kukaa kimya au bashite.
Wapunzike halafu wale nini? Hahahaha weeeeeee usiwadanganye
 
Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.

Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.

Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.

Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Hivi Kwa nini wasiteuliwe wale Wasomi na Wokomavu waliotia Nia ya Ubunge Majimboni? Yaani Wasanii wa Bongo Movie na Bongo Flava ili Hali kuna PhD holders wa Uongozi na Utawala wamebaki Mtaani.? Wonders should never end! Anyway kila mtu na Nyota yake.
 
Aisee itoshe kusema ukuu wa wilaya umekuwa post ya ovyo sana can you imagine Nick wa pili anaenda kuwa mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi wilaya, Nafasi uzi wapewe seniors
 
Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.

Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.

Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.

Kiufupi rais kaelemewa na majukumu
Ukuu wa wilaya unatakiwa wateuliwe watu wezima wenye busara sio unamteua kijana Mdogo Unaenda kumpatia ukuu wawilaya sio poa kabisa
 
Inasikitisha sana Tanzania sijui inaelekea wapi. DC ni nafasi nyeti ya kuunganisha watendaji na jamii inayowazunguka. Kusimamia mambo ya ulinzi na usalama. Hii ni nafasi ya waandamizi kutoka katika utumishi au chama, wakiwa wamejaa utu uzima na busara za kumwagika. Leo unaenda kuokoteza wasanii na watu mitandaoni.

Naona Tanzania inapoteza uelekeo kabisa. Hawa jamaa wanatupa kazi sana kuirudisha Tanzania kwenye reli.

Mimi sijawahi kushuhudia uteuzi wa hovyo kama huu toka nizaliwe.

Kiufupi rais kaelemewa na majukumu

Wakuu wa wilaya hawana umuhimu wowote zaidi ya porojo. Wakurugenzi na wakuu wa mkoa wanatosha
 
Wewe nani mpaka useme hivyo cha kushangaza wewe ni mateka wa Mbowe unataka Rais Samia, akufurahishe? Nyie kupinga ndiyo kazi mliotumwa na Mfalme Mbowe, Rais kawambia mpo huru kufanya mikutano yenu nchi nzima au nyie mnafanyie JF.
Wao kupinga kila kitu, nyie kushangilia kila kitu. Ngoma droo
 
Kimsingi huyo mama hana jinsi ya kuacha kuwapa vyeo baadhi ya watu waliowatoa upinzani. Ifahamike mbinu za ccm kuendelea kubaki madarakani ni pamoja na kuwachukua wapinzani na kuwapa vyeo, ili kushusha imani ya wapinzani na upinzani nchini. Hivyo iwapo wapinzani wenye uchu wa madaraka wanaoribuniwa na kuingia ccm baadhi yao wasipopewa vyeo, wengine hawatahamia ccm, na ccm itaendelea kujikuta katika wakati mgumu sana wa ushindani wa kisiasa.

Kiuhalisia ccm imeshapoteza ushawishi kwani tayari ni chama cha kizazi kilichopita. Hivyo inabidi kutumia mbinu za kughilibu wapinzani hasa kwa njia ya vyeo, ili kupunguza nguvu ya upinzani. Mbinu hizi ni za kawaida sana kwa vyama vyote vilivyo madarakani hasa kwenye nchi masikini, ambapo watu wengi wako kwenye siasa kwa ajili ya maslahi binafsi, kisha itikadi baadae. Hivyo chama kinachokuwa madarakani hutafuta wapinzani wenye uchu wa madaraka na kuwapa vyeo, kisha kuwatumia kuchafua taswira ya upinzani ili kujijengea imani.
Nimekuelewa mno mno
 
Back
Top Bottom