Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
As soon he will be healthy as we all pray for himIt is unfortunate that he is not in good health!!!
Yes alijaribu kuwavuta wengi wasahau uovu Wa ccm.Sishangai magufuli kulipa fadhila kwa Humphrey pole pole. Huyo jamaa alipigania sana chama...
As soon he will be healthy as we all pray for him
Byumbu hao ndio wanachama wapya wa ccm kutoka wapi dodoma au tabora?Byumbu wanahangaika sana
Amemaanisha nyumbu. Vibaraka Wa ccm kama lizbon, makonda,polepole na Wengine wengiByumbu hao ndio wanachama wapya wa ccm kutoka wapi dodoma au tabora?
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh, nimeelewa mkuuAmemaanisha nyumbu. Vibaraka Wa ccm kama lizbon, makonda,polepole na Wengine wengi
Naona umenishauri ki-magufuri Magufuli mkuu. Eti aende kufanya kazi kweli kweli.Hongera Sema aende kufanya kazi kweli kweli
Humphrey Lwimiko Mwakyusa ndiyo jina lake kamili!Namjua toka yupo na Dr Mshale wanaanzisha NGO yao ambayo ndiyo hasa imempa pesaKwani pole pole ni mnyakyusa? Haiwezekani; wanyambala ni watu wenye msimamo thabiti sio watu wa kutumiwa tumiwa hovyo!!
Faizafoxy na akina Lizaboni vipi?Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
umwnisahu na MIMI SIFI LEO?Sasa ni wazi Rais Magufuli kaamua kufanya kazi na kuwapa vijana kipaumbele. Katika orodha inayotarajiwa kutajwa mwanzoni mwa wiki ijayo, kajaza vijana wengi wapya na kupiga chini wanaoshikilia nafasi hizo..... Miongozi mwa vijana hao ni.......
1. Salum Hapi
2. Mtela Mwampamba
3. Kimeta Mpui
4. Saul Mwaisenyi
5. Humphrey Pole Pole
6. Kunambi
7. Shaka H. Shaka
8. Shimbi Angelo
9. Haji Ngura
10. Sara Msafiri
11. Emmanuel Fute
12. Kasera Peter
13. Kangwila Reuben
14. Julius Mungure
15. Miraji Mtaturu
16. Chris Mauki
17. Fatuma Ally
19. Ezekiel Kimwaga
20. Eng. Robert Washija
21. Kipi Warioba
NB:.... Hawa ni miongoni, kama nilivyopata tetesi.... Next week kila kitu wazi...!
Kanenepa kdogo aseeSalum Hapi mwanaccm kitambo Sana jamaa huyu sijui kanenepa siku hizi ?? Na zile siasa za revolution square zilizikwa rasmi Na Rwekaza ? Really miss those moments in UDSM.