Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hadhi. Mara nyingi Katibu Mkuu Kiongozi huwa ni Mabalozi hapo kabla.
Nadhani yeye pamoja na Dkt Bashiru ndiyo hawakuwa na Mabalozi. Hivyo Rais hufanya namna na kuwatunuku hadhi hiyo ya Ubalozi.
Hivyo anaendelea na majukumu yake kama Katibu Mkuu Kiongozi. Ila sasa atatambulika kama Balozi Dkt Moses Mpogole.
Kumngoa Katibu mkuu kiongozi nyakati hizi anazidi kutupa maswali nini kinapandwa huko.
Wapi wengi sanaIkulu kumejaa wazenji tu.Hivi kule Zanzibar ikulu kuna watanganyika kweli?
Ubalozi ni hadhi. Ukiwa balozi si lazima uwe na kituo cha kazi ubalozini.HII INA MAANA GANI KUBAKI NA VYEO VYA ZAMANI..hawatakwenda balozini? au anawapa kinga maana sasa ni kizaa zaa
Katibu mkuu kiongozi Ikulu.Nani kang'olewa?
Anabaki na cheo chake,ni Balozi katibu mkuu kiongozi.Katibu mkuu kiongozi Ikulu.
Hiyo ndo kazi anayeimudu kwa sasaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
amefanya uteuzi wa Viongozi wafuatao kuwa na Hadhi ya Balozi kama
ifuatavyo:-
1. Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi kuwa Balozi;
2. Dkt. Salim Othman Hamad, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Siasa kuwa Balozi; na
3. Dkt. Kassim Mohamed Khamis, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Hotuba kuwa Balozi.
Uteuzi huu wa Hadhi ya Balozi umeanza tarehe 12 Juni, 2023.
Aidha, Vyeo walivyonavyo vinabaki kama vilivyo.
Wateule wataapishwa tarehe 16 Juni, 2023 kuanzia saa 04:00 asubuhi - Ikulu,
Chamwino - Dodoma.
View attachment 2656278
hahahahahaha my country
Wonders shall never end in this regime.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
amefanya uteuzi wa Viongozi wafuatao kuwa na Hadhi ya Balozi kama
ifuatavyo:-
1. Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi kuwa Balozi;
2. Dkt. Salim Othman Hamad, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Siasa kuwa Balozi; na
3. Dkt. Kassim Mohamed Khamis, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Hotuba kuwa Balozi.
Uteuzi huu wa Hadhi ya Balozi umeanza tarehe 12 Juni, 2023.
Aidha, Vyeo walivyonavyo vinabaki kama vilivyo.
Wateule wataapishwa tarehe 16 Juni, 2023 kuanzia saa 04:00 asubuhi - Ikulu,
Chamwino - Dodoma.
View attachment 2656278
Kipindi cha Nyerere naweza kukubali kwa sababu, nchi haikuwa na Mabalozi wa kutosha enzi hizo. Nchi ilikuwa changa...Ni mbwembwe tu.
..kuna Makatibu Wakuu kiongozi hawakuwahi kuwa na hadhi ya ubalozi.
..mmojawapo ni Timothy Apiyo ambaye alitumikia wakati wa Nyerere na Mwinyi.
..hata Lumbanga aliyekuwa Katibu Mkuu kiongozi wakati wa Mkapa alipewa ubalozi baada ya kuondoka Ikulu.
Katibu mkuu kiongozi Ikulu.
Juzi Faiza Foxy kanishauri nisilimu nikamtolea nje kuwa mimi siwezi kuacha imani ya mababu zangu akanicheka sana.Mechi hadi sasa imesima 2:1 mpira mkali sana huu timu yetu kila siku inafungwa hao haina vigezo
Rais, makamu wa Rais, Katibu mkuu kiongozi na mawaziri wana hadhi za ubalozi hata bila kupewa rasmi huo ubalozi.Ubalizi ni hadhi. Ukiwa balozi si lazima uwe na kituo cha kazi ubalozini.
Watu kama Mkuu wa Itifaki Wizara ya Mambo ya Nje mara nyingi anakuwa balozi ambaye anafanya kazi Wizara ya Mambo ya Nje (rejea Balozi Joshua Opanga, Balozi Cisco Mtiro).
Kuna Makatibu Wakuu Viongozi wengi wamekuwa mabalozi bila ya kuwa na vituo vya ubalozi kwa maana ya kwenda kuwa mabalozi katika nchi. (Rejea Balozi Philemon Rupia)
Hadhi ya ubalozi inaendana na kupewa hadhi ya diplomatic immunity kimataifa, hii hadhi inawezesha watu kufanya kazi nyingine nyeti kwa niaba ya taifa.
Kwa hivyo, kupewa hadhi ya ubalozi si kazima uende kuwa balozi kwenye nchi fulani.
OK, nilifikiri wamemfyatua!Anabaki na cheo chake,ni Balozi katibu mkuu kiongozi.
Vyeo vyao vinabaki kama vilivyo, nani kakwambia kaondolewaHuyo mpongole hana hata mwaka amemkwaza nini Rais
Nafikiri unaongelea diplomatic immunity, ambayo ni kinga ya kidiplomasia, lakini kinga ya kidiplomasia sio ubalozi.Rais, makamu wa Rais, Katibu mkuu kiongozi na mawaziri wana hadhi za ubalozi hata bila kupewa rasmi huo ubalozi.
kutoa siri za serikali hasa mkataba wa bandariHuyo mpongole hana hata mwaka amemkwaza nini Rais