RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,788
- 4,401
huwa mara nyingi mkuu wanapewaHuyo mpongole hana hata mwaka amemkwaza nini Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa mara nyingi mkuu wanapewaHuyo mpongole hana hata mwaka amemkwaza nini Rais
Tuna muungano wa hovyo sana. Babu nyerere alituingiza chaka sana. Mpaka wao wanaamua kutupiga mnada na Bandari zetu zote ila za kwao hawagusi huo si upuuzi 🙄😳. Ifike mahali tuchague serikali tatu au moja tu kuliko kuwa na muungano wa serikali mbili kuzaa serikali mbili.Ila wao huku hadi ukuu wa wilaya wanapata.Hivi Nyerere kwa nini alikubali haya?Kweli Karume alikuwa kichwa,kumuingiza Nyerere mkenge namna hii jamani.
AsanteUbalizi ni hadhi. Ukiwa balozi si lazima uwe na kituo cha kazi ubalozini.
Watu kama Mkuu wa Itifaki Wizara ya Mambo ya Nje mara nyingi anakuwa balozi ambaye anafanya kazi Wizara ya Mambo ya Nje (rejea Balozi Joshua Opanga, Balozi Cisco Mtiro).
Kuna Makatibu Wakuu Viongozi wengi wamekuwa mabalozi bila ya kuwa na vituo vya ubalozi kwa maana ya kwenda kuwa mabalozi katika nchi. (Rejea Balozi Philemon Rupia)
Hadhi ya ubalozi inaendana na kupewa hadhi ya diplomatic immunity kimataifa, hii hadhi inawezesha watu kufanya kazi nyingine nyeti kwa niaba ya taifa.
Kwa hivyo, kupewa hadhi ya ubalozi si kazima uende kuwa balozi kwenye nchi fulani.
Haya mambo ya DP na bandari yetu yametibua maji.Huyo mpongole hana hata mwaka amemkwaza nini Rais
Kiuhalisia hakuna muungano, maana watanganyika hatuna haki kule Zanzibar. Ila wao huku wana haki asilimia mia .Yaani Mzanzibari ni Mtanganyika pia,ila Mtanganyika ni Mtanganyika pekee.Huu ni upumbavu.Tuna muungano wa hovyo sana. Babu nyerere alituingiza chaka sana. Mpaka wao wanaamua kutupiga mnada na Bandari zetu zote ila za kwao hawagusi huo si upuuzi 🙄😳. Ifike mahali tuchague serikali tatu au moja tu kuliko kuwa na muungano wa serikali mbili kuzaa serikali mbili.
Bandari kuanzia Waziri,katibu na mkurugenzi wa Bandari wote wa wazenjiBandari, au?
Hivi huyo aliyeng'olewa kamaliza hata mwaka kwenye nafasi hiyo? Huku ndiko kuchanganyikiwa kwenyewe!Kumngoa Katibu mkuu kiongozi nyakati hizi anazidi kutupa maswali nini kinapandwa huko.
Lakini Babu Nyerere hakuwa na lengo la muungano wa aina hiyo hata kidogo. Ni hawa wajukuu zake ndio wameyatengeneza haya kwa manufaa yao wenyewe kupitia kwenye chama chao cha CCM.Kiuhalisia hakuna muungano, maana watanganyika hatuna haki kule Zanzibar. Ila wao huku wana haki asilimia mia .Yaani Mzanzibari ni Mtanganyika pia,ila Mtanganyika ni Mtanganyika pekee.Huu ni upumbavu.
Kama katibu mkuu kiongozi anapaswa kuwa na sifa zenye hadhi ya kibalozi, ilikuwaje akapewa ukatibu mkuu kiongozi kwanza kabla ya kupewa ubalozi?Ni hadhi. Mara nyingi Katibu Mkuu Kiongozi huwa ni Mabalozi hapo kabla.
Nadhani yeye pamoja na Dkt Bashiru ndiyo hawakuwa na Mabalozi. Hivyo Rais hufanya namna na kuwatunuku hadhi hiyo ya Ubalozi.
Hivyo anaendelea na majukumu yake kama Katibu Mkuu Kiongozi. Ila sasa atatambulika kama Balozi Dkt Moses Mpogole.
Kama ni hivyo, nampa heshima yake huyo Katibu aliyeng'olewa. Kafanya kazi yake ipasavyo. Ni MZALENDO' wa kweli wa nchi hii.kutoa siri za serikali hasa mkataba wa bandari
Nini mantiki ya mtu (kiongozi) kupewa hadhi ya kibalozi pasipo kwenda kutumikia kazi ya ubalozi (kupangiwa ubalozi)?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
amefanya uteuzi wa Viongozi wafuatao kuwa na Hadhi ya Balozi kama
ifuatavyo:-
1. Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi kuwa Balozi;
2. Dkt. Salim Othman Hamad, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Siasa kuwa Balozi; na
3. Dkt. Kassim Mohamed Khamis, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Hotuba kuwa Balozi.
Uteuzi huu wa Hadhi ya Balozi umeanza tarehe 12 Juni, 2023.
Aidha, Vyeo walivyonavyo vinabaki kama vilivyo.
Wateule wataapishwa tarehe 16 Juni, 2023 kuanzia saa 04:00 asubuhi - Ikulu,
Chamwino - Dodoma.
View attachment 2656278
Ila wao huku hadi ukuu wa wilaya wanapata.Hivi Nyerere kwa nini alikubali haya?Kweli Karume alikuwa kichwa,kumuingiza Nyerere mkenge namna hii jamani.
Unataka kuniambia haya ya Mtanganyika hawezi miliki ardhi Zenj ila mzenj ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika, unaona kina Karume wana nyumba Dar na Unguja. Hii ya vitambulisho kwa wazaliwa wa zenj,Kuingiza mizigo kutoka Tanganyika kwenda Zenj unalipa Kodi Zanzibar .Na mimi siwezi kuwa mbunge Zenj,wala kuwa Rais Zenj,ila wazenj wanahaki ya kuwa chochote wanachotaka huku Tanganyika. Haya yote yamewekwa enzi hizi?Lakini Babu Nyerere hakuwa na lengo la muungano wa aina hiyo hata kidogo. Ni hawa wajukuu zake ndio wameyatengeneza haya kwa manufaa yao wenyewe kupitia kwenye chama chao cha CCM.
Wafaransa hawana ujinga wetu wa kibongo,viongozi wanawajua wananchi wao.Wananchi wakiamua ni hatari.Wafaransa walimchinja Louis wa 16.Hawataki mchezo.Kwa sababu alikuwa anapenda sifa za kimataifa kwamba ni mpinga ubaguzi, mjenga umoja. Hata jeshini aliacha wazungu watawale Waswahili. Siku moja wakamtokea Ikulu kumtandika fimbo, wakakuta keshakimbia na Kawawa. Kambona akaenda kuwapoza.
Toka siku ile akapata fundisho, jeshini Wakurya tupu mpaka alipoondoka ndio jeshi lika diversify.
Kuna mjeshi amenambia huu utopolo unaondelea nchini ingekuwa ni jeshi lenye mizizi ya Ufaransa wangeshawa watemesha nyongo zamani. Wanafundishwa zaidi ulinzi na utii kwa nchi, sio himaya.
Amepewa kofia ya ubalozi tu, shughuli zake zinabaki palepaleKumngoa Katibu mkuu kiongozi nyakati hizi anazidi kutupa maswali nini kinapandwa huko.
Utafungwa! Muone! 😂😂😂😂Wape mama wapeeeeee.......😜
Kwani nani hataki kuilamba...😋