EDWARD JOHN
Member
- Mar 9, 2012
- 83
- 183
Tupia kwenye Bandari bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani miaka karibia 60 ya Muungano leo ndio unayajua hayo ? Halafu unataka kuuchambua mkataba wa DPW ! Hahahaaa watanzania bana !Ila wao huku hadi ukuu wa wilaya wanapata.Hivi Nyerere kwa nini alikubali haya?Kweli Karume alikuwa kichwa,kumuingiza Nyerere mkenge namna hii jamani.
Kwali hii zamu ya Zanzibar na waarabu kuula! Kati ya wateule watatu, Bara yenye asilimia 98 ya watanzania wote inaambua mmoja tu!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
amefanya uteuzi wa Viongozi wafuatao kuwa na Hadhi ya Balozi kama
ifuatavyo:-
1. Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi kuwa Balozi;
2. Dkt. Salim Othman Hamad, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Siasa kuwa Balozi; na
3. Dkt. Kassim Mohamed Khamis, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Hotuba kuwa Balozi.
Uteuzi huu wa Hadhi ya Balozi umeanza tarehe 12 Juni, 2023.
Aidha, Vyeo walivyonavyo vinabaki kama vilivyo.
Wateule wataapishwa tarehe 16 Juni, 2023 kuanzia saa 04:00 asubuhi - Ikulu,
Chamwino - Dodoma.
View attachment 2656278
UNacherewa mukuu mm nitaomba wanibadirishe humu jamiifolam niitwe balozi babu njunjuImefika Wakati mimi niwe balozi
Wafaransa hawana ujinga wetu wa kibongo,viongozi wanawajua wananchi wao.Wananchi wakiamua ni hatari.Wafaransa walimchinja Louis wa 16.Hawataki mchezo.
Watakuwa ndo waliovujisha ule mkataba maana nasikia ulivuja...Huyo mpongole hana hata mwaka amemkwaza nini Rais
Hivi bara hamna waislam kwani?maana hayo majina ya kiislam wanaweza kuwa wabara..Kwali hii zamu ya Zanzibar na waarabu kuula! Kati ya wateule watatu, Bara yenye asilimia 98 ya watanzania wote inaambua mmoja tu!
Huko Marais hawalali usingizi, anytime coup d'état. Mfano Rais wa Guinea Conakry, ndo kwanza ndo alikuwa kashinda muhula mwengine.Akaondoshwa na Mwanajeshi aliyemteuwa mwenyewe.Na nilikuwa sijui kwa nini majeshi ya Francophone Afrika hata sajenti na wenzake sita wana balls za kwenda Ikulu kulichekecha.
Ninayajua,tokea nilipojitambua.Nilianza kuambiwa kwenda Zanzibar hadi uonyeshe ID.Kwa akili yako unafikiri ndo nimejua leo?G55 unawajua wewe ?Yaani miaka karibia 60 ya Muungano leo ndio unayajua hayo ? Halafu unataka kuuchambua mkataba wa DPW ! Hahahaaa watanzania bana !
DPW muda utaongea, wenyewe watalaumiana.Kwani Bunge lililopitisha mkataba wa Bandari ya Bagamoyo Magufuli si alikuwemo?Ila alipokuwa Rais alisemaje?Yaani miaka karibia 60 ya Muungano leo ndio unayajua hayo ? Halafu unataka kuuchambua mkataba wa DPW ! Hahahaaa watanzania bana !
Katibu Mkuu Kiongozi hakung'olewa, ameongezewa hadhi ya ubalozi juu ya cheo chake cha sasa.Katibu mkuu kiongozi Ikulu.
Hayo ni majina ya kiarabu hata yaitwe ya kiislam. Ni majina ya kikoloni sawa na akina John na AhmedHivi bara hamna waislam kwani?maana hayo majina ya kiislam wanaweza kuwa wabara..
Sio kwamba wanajengewa ukuta?Kuna kazi ya maana ya kijasusi wamefanya hadi wameongezewa kofia!!
Kazi iendelee!!
Hizi hadhi za nini wakati wanafanya kazi zilezile hawaenda kuwakilisha nchi ubalozini. Watu weusi tunapenda sana title za ajabuajabu. Rais kwanini naye anashiriki kwenye mambo km haya?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan
amefanya uteuzi wa Viongozi wafuatao kuwa na Hadhi ya Balozi kama
ifuatavyo:-
1. Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, Katibu Mkuu Kiongozi kuwa Balozi;
2. Dkt. Salim Othman Hamad, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Siasa kuwa Balozi; na
3. Dkt. Kassim Mohamed Khamis, Msaidizi wa Rais anayeshughulikia
masuala ya Hotuba kuwa Balozi.
Uteuzi huu wa Hadhi ya Balozi umeanza tarehe 12 Juni, 2023.
Aidha, Vyeo walivyonavyo vinabaki kama vilivyo.
Wateule wataapishwa tarehe 16 Juni, 2023 kuanzia saa 04:00 asubuhi - Ikulu,
Chamwino - Dodoma.
View attachment 2656278
Ndiyo.Unataka kuniambia haya ya Mtanganyika hawezi miliki ardhi Zenj ila mzenj ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika, unaona kina Karume wana nyumba Dar na Unguja. Hii ya vitambulisho kwa wazaliwa wa zenj,Kuingiza mizigo kutoka Tanganyika kwenda Zenj unalipa Kodi Zanzibar .Na mimi siwezi kuwa mbunge Zenj,wala kuwa Rais Zenj,ila wazenj wanahaki ya kuwa chochote wanachotaka huku Tanganyika. Haya yote yamewekwa enzi hizi?
😂😂😂🤦🏻♀️🤦🏻♀️FaizaFoxy hana baya jirani...😊 ni mama mwema sana wifi yako yule boss ledy...☺
Kuvuja kwa mkataba wa DP world hakutamuacha salama.Katibu Mkuu Kiongozi hakung'olewa, ameongezewa hadhi ya ubalozi juu ya cheo chake cha sasa.
Lini?Kuvuja kwa mkataba wa DP world hakutamuacha salama.
Anapelekwa ubalozini soon hiyo kupewa ubalozi ndio anatakiwa aanze kufungasha virago hivyo.