Uteuzi: Watatu wapewa hadhi ya Ubalozi, yupo Katibu Mkuu Kiongozi

Ila wao huku hadi ukuu wa wilaya wanapata.Hivi Nyerere kwa nini alikubali haya?Kweli Karume alikuwa kichwa,kumuingiza Nyerere mkenge namna hii jamani.
Yaani miaka karibia 60 ya Muungano leo ndio unayajua hayo ? Halafu unataka kuuchambua mkataba wa DPW ! Hahahaaa watanzania bana !
 
Kwali hii zamu ya Zanzibar na waarabu kuula! Kati ya wateule watatu, Bara yenye asilimia 98 ya watanzania wote inaambua mmoja tu!
 
Wafaransa hawana ujinga wetu wa kibongo,viongozi wanawajua wananchi wao.Wananchi wakiamua ni hatari.Wafaransa walimchinja Louis wa 16.Hawataki mchezo.

Na nilikuwa sijui kwa nini majeshi ya Francophone Afrika hata sajenti na wenzake sita wana balls za kwenda Ikulu kulichekecha.
 
Na nilikuwa sijui kwa nini majeshi ya Francophone Afrika hata sajenti na wenzake sita wana balls za kwenda Ikulu kulichekecha.
Huko Marais hawalali usingizi, anytime coup d'Γ©tat. Mfano Rais wa Guinea Conakry, ndo kwanza ndo alikuwa kashinda muhula mwengine.Akaondoshwa na Mwanajeshi aliyemteuwa mwenyewe.
 
Yaani miaka karibia 60 ya Muungano leo ndio unayajua hayo ? Halafu unataka kuuchambua mkataba wa DPW ! Hahahaaa watanzania bana !
Ninayajua,tokea nilipojitambua.Nilianza kuambiwa kwenda Zanzibar hadi uonyeshe ID.Kwa akili yako unafikiri ndo nimejua leo?G55 unawajua wewe ?
 
Yaani miaka karibia 60 ya Muungano leo ndio unayajua hayo ? Halafu unataka kuuchambua mkataba wa DPW ! Hahahaaa watanzania bana !
DPW muda utaongea, wenyewe watalaumiana.Kwani Bunge lililopitisha mkataba wa Bandari ya Bagamoyo Magufuli si alikuwemo?Ila alipokuwa Rais alisemaje?
 
Hizi hadhi za nini wakati wanafanya kazi zilezile hawaenda kuwakilisha nchi ubalozini. Watu weusi tunapenda sana title za ajabuajabu. Rais kwanini naye anashiriki kwenye mambo km haya?
 
Ndiyo.
hayo yote uliyoeleza hapo hayakuwa ndivyo muungano uwe hivyo milele. Lengo la mwanzo lilikuwa ni kuondoa wasiwasi wa wachache kujihisi kuwa wamemezwa; sasa badala yake hao wachache ndio wameruhusiwa kuwameza wengi, kwa vile tu CCM inataka itawale milele.
 
Katibu Mkuu Kiongozi hakung'olewa, ameongezewa hadhi ya ubalozi juu ya cheo chake cha sasa.
Kuvuja kwa mkataba wa DP world hakutamuacha salama.

Anapelekwa ubalozini soon hiyo kupewa ubalozi ndio anatakiwa aanze kufungasha virago hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…