Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Sasa mtu anaruhusiwa kutumia majina ya bandia kigombea urais wa nchi? Maana Pasco ameeleza vizuri kabisa kuwa majina ya Mwigulu Nchemba ni ya bandia (fake), lakini huyu mwenye haya majina bandia aligombea urais akitumia majina hayo hayo fake? Jee lilikuwa ni kosa kisheria?
Mkuu Dr. Akili, sio kosa kisheria kutumia majina yoyote, ila ni kosa la jinai kujaza fomu kwa kutoa details za uwongo au majina ya bandia, akitokea mtu akaenda Nida na Immigration kutazama DN file la Mwigulu, asipoyakuta majina halisi ya wazazi wake Mwigulu na yakakutwa hayo ya bandia, na ikatangazwa rasmi hata humu jf tuu, kesho yake Magufuli ataikuta resignation letter ya Mwigulu mezani kwake, na kesho kutwa yake, atapandishwa Kisutu!.

Pasco
 
Pasco

Watu wanakulaumu lakini hawakusomi "between lines", laiti wangejua unachokisimamia Uzi huu muda k
huu ungekuwa umeambatana na attachment kutoka ikulu uliosainiwa na Grayson Msigwa!....

Nasubiria ya huyo Nshomile "Katto" kuoma naye kama alipewa jina na nesi wa kituo cha afya Katerero!
 
Mkuu Kibao cha Kaburi, alipozaliwa alipewa majina ya kwao unyirambani, alipopelekwa hospitali, dakitari wa Kisukuma akamuuliza mama yake kama ana majina mengine yoyote, mama akasema hana, mama akamruhusu dakitari ampe yeye majina anayotaka, kwani majina ni nini, ndipo dakitari huyo akampa majina hayo na ndio aliandikishwa nayo shule na kuendelea kuyatumia mpaka leo.
Japo ni very interesting!.

Pasco
Hii sio interesting bali ni made up stories maana inasemekana majina ya kingosha alipewa akiwa mchanga na daktari lakini vyanzo vingine vinadai aliposoma mara ya kwanza alikua akiitwa Lameck Mkumbo swali la kujiuliza jina la MWIGULU NCHEMBA KUNA WAKATI LILIKUWA LINAENDA LIKIZO halafu linaibuka tena?
 
Pasco,
Kwanza na smell kaarufu ka u classmate hapa, ni kwa sababu umesoma nae Iboru au?
Sikatai watu kuwa na Other Names, ila tujiulize, Mwigulu haya Other Names zake anayatumia kwenye Passport yake ya Kusafiria? ID zake anatumia haya Majina ya Mwigulu Nchemba ambayo ni Other Names yake?
Ila Utetezi wake haujajitosheleza kwa kweli, hasa suala la Kuacha shule, na kurudi tena, hakusema alivyorudi tena shule, alirudia pale alipoishia, au aliendelea pale alipokutia.
Kuna Mifano mingi ya Watu wanaotumia Nicknames na Other Names zao zaidi ya Majina yao Halisi ya Kuzaliwa na ya Ubatizo.
My Take: Kosa ni Kosa, Liwe Dogo liwe kubwa yote ni Makosa tu.

Wanabodi,
Katika zoezi la kusaka vyeti bandia, kuna watu wanashindwa kutofautisha kati ya vyeti bandia na majina bandia.

Cheti bandia ni cheti ambacho ama hakipo kabisa hivyo kimetengezwa cheti fake kwa forgery ama ni cheti cha kweli lakini anayekitumia sii mwenyewe mwenye cheti halisi, hivyo kufoji cheti cha mtu mwingine, hili ni kosa kubwa la jinai na huu ni wizi!.

Jina bandia ni kutumia majina ya kuunga unga ambayo sio majina yako halisi, lakini aliyeingia darasani kusoma ni wewe, aliyehitimu ni wewe, hivyo hicho cheti ulichokipata ni cheti halali na sio cheti bandia ila jina ndilo jina bandia.

Nimesoma utetezi wa Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba kuhusu tuhuma za kuwa na cheti bandia, nimejiridhisha kabisa tena pasi shaka kuwa vyeti vya Mhe. Mwingulu Nchemba sio vyeti fake ila majina ya Mwigulu Nchemba ndilo jina bandia.

Sio kila jina bandia ni forgery, kuna majina bandia yanayoitwa Nick Names sio forgery bali ni just given names. Given names hizo zinapokuwa registered kwenye vyeti, vyeti hivyo ni halali ila jina la mwenye cheti ndilo jina bandia ambalo halina kosa lolote kisheria.

Uthibitisho huu ni kufuatia utetezi huu wa Mhe. Mwingulu Nchemba umethibitisha jina la Mwigulu Nchemba ni jina bandia la mtu halisi aitwae mwenye given name ya Lameck Madelu Mkumbo ambaye hata majina hayo,hakuna jina lolote la wazazi wake wala jina la ukoo wake, kama anavyojieleza yeye mwenyewe.


Mkuu Mhe. Mwigulu, kwa vile hili bandiko nimelikutia page 33, na sijaweza kusoma mabandiko yate ya nyuma, hivyo siwezi kujua kama ulijibu haya, ila kwanza kwa heshma na taadhima, nakupongeza sana kujitokeza kujibu tuhuma, ila very unfortunately, majibu yako, hayajitoshelezi kabisa!, hakuna kitu chochote ulichojibu hapa, you leave more questions than answers and there is something fishy!.

Majina yana formula ya majina, na hayawezi kuijiibukia tuu hivi hivi, na formula hiyo ni universal, dunia nzima.

Jina lina given name, yaani jina ulilopewa wewe, hili given name linaweza kuwa moja au hata kumi, haijalishi, kwenye given name, ni lile jina unaloitwa, liwe la utoto, ubatizo, etc, Kiingeza linaitwa fast name!.

Jina la pili, ni lazima liwe ni jina la kwanza la mzazi wako, na hapa hakuna excuse, kama mwanzo kwenye given name, umetumia jina la nyumbani, la kilugha, then jina la pili lazima liwe jina la ubatizo, ukitangulia na jina la ubatizo, then jina la pili au liwe ni jina la kwanza, la mzazi wako, au ukitumia fast name ya majina mawili yote ya kwako, then jina la tatu ni lazima liwe ni jina la kwanza la mzazi wako!, na jina la nne ni lazima liwe ni jina la ukoo wenu yaani sir name.

Kwenye majina yako, sijaweza kuona jina la mzazi na jina la ukoo, huwezi kutumia majina yote ya given name bila jina la mzazi na jina la ukoo!.

Naomba wenye acess na immigration, fatulieni DN ya Mhe. Mwigulu Mchemba muone imeandikwaje, kwa sababu bila jina la mzazi na jina la ukoo mtu huwezi kupata passport kwa majina ya kuokotezwa!.

This is the begining of opening a pandora box, we have to reach to the bottom of this, ila asante sana kujitokeza na kujibu, kwa sababu uwongo, ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa hugeuka kuwa ni ukweli.

Kwa kuwasaidia wengine wasio jua, hakuna kosa lolote la jinai kujiita jina lolote la bandia na kuitumia popote.

Japo jina la Mwigulu Nchemba ni jina bandia ila vyeti vyake vyote ni vyeti halali.

Kutumia jina bandia, given name sio kosa kisheria na hakuna jinai yoyote! .

Hata mimi Pasco wa JF naweza kuisajili kama Mashokolokubangashe na nikatambulika kama Mashokolokubangashe na vyeti vyangu vyote vikasomeka Mashokolokubangashe na nikawa sijafanya kosa lolote la jinai, ila ikitokea kwenye ujazaji wa fomu zozote za kisheria kama hati ya kusafiria au cheti cha kuzaliwa lazima nitaonyesha majina halisi ya wazazi wangu, na ikitokea kule nako nimejiorodhesha jina la Mashokolokubangashe kuwa ni moja ya majina ya wazazi wangu, then hivyo inageuka forgery, cheating na ni kosa la jinai.

Hivyo natoa wito kwako wanaomtuhumu Mwigulu kudanga wapate uthibitisho toka NIDA na Uhamiaji, watayaona majina halisi wazazi wa Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba.

Finally, wewe mwana Ilboru mwenzangu, ujege mara moja moja humu jf sio mpaka tuu kuja kujibu tuhuma, na ile shule iliokufikisha hapo uikumbukege!.
NB. Tukilimaliza vizuri hili zoezi la vyeti bandia, tunaweza kuamua kuanzisha msako wa wenye majina bandia, na kisha hata kwenye asili za watumishi wa umma, maana kuna a very interesting story ya kijana mmoja wa kabila la Kihaya, mwenye jina la Katto.
Asante.
Pasco
Rejea, kati ya wagombea wote wa urais wa CCM, Mhe. Mwingulu, ndie aliye ni impress sana kuliko wote kwa kuwa the most genuine kumbe...
Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President ...
 
Pasco

Watu wanakulaumu lakini hawakusomi "between lines", laiti wangejua unachokisimamia Uzi huu muda k
huu ungekuwa umeambatana na attachment kutoka ikulu uliosainiwa na Grayson Msigwa!....

Nasubiria ya huyo Nshomile "Katto" kuoma naye kama alipewa jina na nesi wa kituo cha afya Katerero!
Mkuu Mhadzabe, kiukweli wengi humu jf hawana uwezo wa kusoma in between the lines na hili niliisha libaini siku nyingi ila anapotokea hata mwana jf mmoja tuu akaelewa kama ulivyoelewa wewe, inatosha.

Mambo ya Katto nayo siku yake ipo, kwa sababu miongoni mwa sifa za ukweli, ni kusimama yaani ukweli kusemwa, na mimi ni muumini mzuri wa ukweli halisi jinsi vile ulivyo na hata kitendo cha rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli alichokifanya pale juzi kwenye msiba wa Masaburi cha kuusema ukweli wa wake wengi wa Masaburi na kukiri kuwa yeye na Kikwete wamesemezana na kutamani kuwa na wake wengi kama Masaburi, nilipandisha bandiko kumpongeza na pia kwa kuutumia ukweli huo huo na uwazi kama huo atueleze na yeye ana wake wangapi na watoto wangapi?.
Pasco
 
Pasco

Watu wanakulaumu lakini hawakusomi "between lines", laiti wangejua unachokisimamia Uzi huu muda k
huu ungekuwa umeambatana na attachment kutoka ikulu uliosainiwa na Grayson Msigwa!....

Nasubiria ya huyo Nshomile "Katto" kuoma naye kama alipewa jina na nesi wa kituo cha afya Katerero!
...hii ya 'Katto' inaonekana si mchezo,@ Pasco
 
Pasco acha kujishushia hadhi kirahisi namna hii.
Kosa la mwigulu siyo uhalali wa majina!!
Laa hasha, wala hatugombani na ubora wa akili yake kimasomo.
Tunapambana na UDANGANYIFU.
Sisi tunafahamu kuwa mtu ajulikanaye kwa jina la Lameck Mkumbo alifanya mtihani wa darasa la saba mwaka (.. ) katika kituo cha mtihani cha shule ya msingi (.....) akafeli
Halafu mtu yule tunayemfahamu kwa jina la Lameck Mkumbo anafanya tena mtihani wa darasa la saba mwaka (.....) katika kituo cha mtihani cha shule ya msingi (....) this time kwa jina la Mwigulu Nchemba, Akafaulu!!!!!

AMELIONGOPEA TAIFA.
Anaweza kuwaongopea wanyaturu
Hawezi na haitawezekana awaongopee wanyiramba wa kata nzima ya kyengege!!!!!

Kwa ucha MUNGU wao, wakazi hawa dhamira zinawasuta kuona huu mwendelezo wa kulidanganya taifa.

Labda kama uongo sio kosa kwa namna yoyote.

Sikutaja majina ya shule na miaka kama wito kwa Mwigulu Aliombe radhi taifa kwa uongo ule
TAIFA KAMA TAIFA LIKO TAYARI KUMSAMEHE ONCE AND FOR ALL.
umemaliza kila kitu,shikamoo
 
f69377dcef34bc88463f029bdd4da5ca.jpg
kafanya tukio kama ili. Najua umelipwa ili umtetee.
Mkuu wapo salama hao au chombo kimoja kimekosea kuweka picha ya mhusika?
 
...hii ya 'Katto' inaonekana si mchezo,@ Pasco
Nimemwambia Pasco aseme kidogo juu ya hili!... maana atakayeiponya Tanganyika si wawekezaji ama wageni ni sisi wenyewe!

Bahati mbaya sana kwa mkuu Pasco yupo cautious sana hata katika kitu anachoamini hundred percent ni kweli! Anaogopq kusitishwa kwa mkataba wake kati yake na PPP! Mwaka juzi tulikuwa nae pale viwanja vya Nzuguni Dodoma, tuachoma nyama na mambo ya brewliries kidoka ktk kibanda kimoja cha mama ntilie, nikamgusia kuhusu JF na uvuguvugu wake ktk maswala ya kitaifa, akaishia kucheka na kunilipua kwa castle!
 
TE="MOTOCHINI, post: 18120092, member: 201942"]Mbona hili linaeleweka tu!!
Tatizo watu wamejawa na ushabiki wakijinga.
Aje na mbowe tuone[/QUOTE]


Kuna Uzi unadai vyeti vya mbowe unge comment kuke .ingekuwa mtihani unastahili sifuri paka wewe
 
Back
Top Bottom