Kwa mtazamo wangu, hicho ndio kilichotokea asingeweza kurudi tena darasa la tano akaendelea kwa jina lake, kimsingi jina lake halikua tena kwenye orodha ya wanafunzi halali wa shule. Hapo ndio ilibidi apatiwe jina la mtu mwingine. Kama nnachosema sio kweli, taarifa za tarehe yake ya kuzaliwa zitakua na mushkel eneo flan, unaweza kukuta ana tarehe mbili za kuzaliwa, ya kwake na ya yule mwenye jina.
Pasco ameshanikataza kusema ukweli, naamini ukweli halisi unaweza usiwe huu lakini utakua unakaribiana na haya maelezo.