Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Uthibitisho: Mwigulu Nchemba ni majina bandia ila vyeti ni vya kweli

Mwigulu alifeli darasa la 7 akatumia cheti cha mtu aliefaulu darasa la 7 kujiendeleza. Kwahiyo ana cheti bandia na majina bandia.
Yeye anasema aliwahi kwenda hospital huko kijijini kwao wakati flani na clinical officer "akagoma" kuyaandika majina yake (too local...!?) then huyo officer "akambatiza" majina mapya, hayo anayotumia sasa.

Inawezekena kweli kwenye kila watu wanne kuna mmoja ni chizi maana ni Tanzania tu mtu anaweza kujitokeza kwa ujasiri kabisa akaongea hii kitu na watu wakamsikiliza na kukubali
 
Yeye anasema aliwahi kwenda hospital huko kijijini kwao wakati flani na clinical officer "akagoma" kuyaandika majina yake (too local...!?) then huyo officer "akambatiza" majina mapya, hayo anayotumia sasa.

Inawezekena kweli kwenye kila watu wanne kuna mmoja ni chizi maana ni Tanzania tu mtu anaweza kujitokeza kwa ujasiri kabisa akaongea hii kitu na watu wakamsikiliza na kukubali

Ni jambo la kushangaza sana
 
Bila cheti cha kuzaliwa lazima kuhoji uraia wa Mwigilu.
Kutumia majina bandia nalo kosa kwa sababu katika hali ya kawaida raia yeyeto anatumia majina yaliomo kwenye cheti cha kuzaliwa. Sijawahi kuona raia tena kiongozi wa taifa anatumia majina bandia.
 
Yeye anasema aliwahi kwenda hospital huko kijijini kwao wakati flani na clinical officer "akagoma" kuyaandika majina yake (too local...!?) then huyo officer "akambatiza" majina mapya, hayo anayotumia sasa.

Inawezekena kweli kwenye kila watu wanne kuna mmoja ni chizi maana ni Tanzania tu mtu anaweza kujitokeza kwa ujasiri kabisa akaongea hii kitu na watu wakamsikiliza na kukubali
Hapo ndipo nilipomshangaa hospitali kupoteza ubini wa mtu.
 
f69377dcef34bc88463f029bdd4da5ca.jpg
kafanya tukio kama ili. Najua umelipwa ili umtetee.
Mkuu naona kama hizi picha ni za watu wawili tofauti japo wote ni kina Faustine na kila kitu kinafanana utofauti ni picha ndo watu wawili tofauti au macho yangu?
 
Mkuu Iparamasa, ni kweli kutumia jina la mtu mwingine ni kufoji ila hayo majina ya Mwigulu Nchemba sio majina ya mtu yoyote ni just given names, kama alivyoeleza mwenyewe, siku mtoto anapoandikishwa shule huwa kuna fomu ya majina ya wazazi, kwenye fomu zile za kumuandikisha shule huyu kijana wa Kinyiramba Lameck Madelu Mkumbo, wazazi wake walimuandikisha kwa majina yao kabisa ya Kinyiramba ila wakaomba utawala wa shule kumuandikisha mtoto wao kwa given names za Nesi wa Kisukuma Mwigulu Nchemba na hapo hakuna jinai yoyote kwa sababu ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mtu unaruhusiwa kutumia jina lolote mfano Pasco wa JF ni Mashokolokubangashe as long as sio impersonation ya Mashokolokubangashe original.
Pasco

Mkuu pasco! wapi kwenye hiyo post yenye utetezi wa waziri, aliposema kwamba Nesi wake aliitwa kwa majina ya 'Mwigulu Nchemba'?!!!!
 
Mkuu pasco! wapi kwenye hiyo post yenye utetezi wa waziri, aliposema kwamba Nesi wake aliitwa kwa majina ya 'Mwigulu Nchemba'?!!!!
Mkuu KaiSikapeta, soma tena utetezi wake, usipopaona nitakusaidia.

Kila kitu kiko wazi kabisa, haiwezekani mtu
Upikiwe chakula
Upakuliwe kwenye sahani,
Uchotewe kwenye kijiko,
Ulishwe mdomoni, wewe kazi yako ni kutafuna tuu na kumeza.
Sasa unataka hadi utafuniwe, jaribu kutafuna mwenyewe kwa kusoma tena, ukishindwa kutafuna ndipo uje nitakutafunia, na hata ukishindwa kumeza, nitakumezesha.
Pasco
 
Mkuu naona kama hizi picha ni za watu wawili tofauti japo wote ni kina Faustine na kila kitu kinafanana utofauti ni picha ndo watu wawili tofauti au macho yangu?
Mkuu Musi, hilo ni kosa dogo la misplaced photos tuu yaani kuna picha zimechanganywa. Lakini Tangazo ni hilo hilo moja.
Pasco
 
Mkuu KaiSikapeta, soma tena utetezi wake, usipopaona nitakusaidia.

Kila kitu kiko wazi kabisa, haiwezekani mtu
Upikiwe chakula
Upakuliwe kwenye sahani,
Uchotewe kwenye kijiko,
Ulishwe mdomoni, wewe kazi yako ni kutafuna tuu na kumeza.
Sasa unataka hadi utafuniwe, jaribu kutafuna mwenyewe kwa kusoma tena, ukishindwa kutafuna ndipo uje nitakutafunia, na hata ukishindwa kumeza, nitakumezesha.
Pasco

Well, naomba kuuliza kwanza, hii message ulikuwa unataka iende kwa KaiSikapeta au KayScarpetta?
 
Cha kufanya ni kumtafuta yule kijana ambaye mzazi wake alishiriki kuuza jina ili aende mahakamani kudai haki yake.
 
Wandungu, hii PhD ya Mhe. Mwigulu ni uthibitisho kuwa huyu jamaa ni kichwa cha ukweli.

Hongera sana kwa shule nene ya kutoka chuo cha ukweli, UDSM.

Paskali
 
Wandungu, hii PhD ya Mhe. Mwigulu ni uthibitisho kuwa huyu jamaa ni kichwa cha ukweli.

Hongera sana kwa shule nene ya kutoka chuo cha ukweli, UDSM.

Paskali

Sijawahi kua na mashaka na mwiguli, alisoma na jamaa yangu akawa anasema alikua anapita ananyoosha vidole 3 juu akimaanisha div 1.3 form 6 ila bahati mbaya alipata II.10.
 
Wanabodi,
Katika zoezi la kusaka vyeti bandia, kuna watu wanashindwa kutofautisha kati ya vyeti bandia na majina bandia.

Cheti bandia ni cheti ambacho ama hakipo kabisa hivyo kimetengezwa cheti fake kwa forgery ama ni cheti cha kweli lakini anayekitumia sii mwenyewe mwenye cheti halisi, hivyo kufoji cheti cha mtu mwingine, hili ni kosa kubwa la jinai na huu ni wizi!.

Jina bandia ni kutumia majina ya kuunga unga ambayo sio majina yako halisi, lakini aliyeingia darasani kusoma ni wewe, aliyehitimu ni wewe, hivyo hicho cheti ulichokipata ni cheti halali na sio cheti bandia ila jina ndilo jina bandia.

Nimesoma utetezi wa Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba kuhusu tuhuma za kuwa na cheti bandia, nimejiridhisha kabisa tena pasi shaka kuwa vyeti vya Mhe. Mwingulu Nchemba sio vyeti fake ila majina ya Mwigulu Nchemba ndilo jina bandia.

Sio kila jina bandia ni forgery, kuna majina bandia yanayoitwa Nick Names sio forgery bali ni just given names. Given names hizo zinapokuwa registered kwenye vyeti, vyeti hivyo ni halali ila jina la mwenye cheti ndilo jina bandia ambalo halina kosa lolote kisheria.

Uthibitisho huu ni kufuatia utetezi huu wa Mhe. Mwingulu Nchemba umethibitisha jina la Mwigulu Nchemba ni jina bandia la mtu halisi aitwae mwenye given name ya Lameck Madelu Mkumbo ambaye hata majina hayo,hakuna jina lolote la wazazi wake wala jina la ukoo wake, kama anavyojieleza yeye mwenyewe.


Mkuu Mhe. Mwigulu, kwa vile hili bandiko nimelikutia page 33, na sijaweza kusoma mabandiko yate ya nyuma, hivyo siwezi kujua kama ulijibu haya, ila kwanza kwa heshma na taadhima, nakupongeza sana kujitokeza kujibu tuhuma, ila very unfortunately, majibu yako, hayajitoshelezi kabisa!, hakuna kitu chochote ulichojibu hapa, you leave more questions than answers and there is something fishy!.

Majina yana formula ya majina, na hayawezi kuijiibukia tuu hivi hivi, na formula hiyo ni universal, dunia nzima.

Jina lina given name, yaani jina ulilopewa wewe, hili given name linaweza kuwa moja au hata kumi, haijalishi, kwenye given name, ni lile jina unaloitwa, liwe la utoto, ubatizo, etc, Kiingeza linaitwa fast name!.

Jina la pili, ni lazima liwe ni jina la kwanza la mzazi wako, na hapa hakuna excuse, kama mwanzo kwenye given name, umetumia jina la nyumbani, la kilugha, then jina la pili lazima liwe jina la ubatizo, ukitangulia na jina la ubatizo, then jina la pili au liwe ni jina la kwanza, la mzazi wako, au ukitumia fast name ya majina mawili yote ya kwako, then jina la tatu ni lazima liwe ni jina la kwanza la mzazi wako!, na jina la nne ni lazima liwe ni jina la ukoo wenu yaani sir name.

Kwenye majina yako, sijaweza kuona jina la mzazi na jina la ukoo, huwezi kutumia majina yote ya given name bila jina la mzazi na jina la ukoo!.

Naomba wenye acess na immigration, fatulieni DN ya Mhe. Mwigulu Mchemba muone imeandikwaje, kwa sababu bila jina la mzazi na jina la ukoo mtu huwezi kupata passport kwa majina ya kuokotezwa!.

This is the begining of opening a pandora box, we have to reach to the bottom of this, ila asante sana kujitokeza na kujibu, kwa sababu uwongo, ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa hugeuka kuwa ni ukweli.

Kwa kuwasaidia wengine wasio jua, hakuna kosa lolote la jinai kujiita jina lolote la bandia na kuitumia popote.

Japo jina la Mwigulu Nchemba ni jina bandia ila vyeti vyake vyote ni vyeti halali.

Kutumia jina bandia, given name sio kosa kisheria na hakuna jinai yoyote! .

Hata mimi Pasco wa JF naweza kuisajili kama Mashokolokubangashe na nikatambulika kama Mashokolokubangashe na vyeti vyangu vyote vikasomeka Mashokolokubangashe na nikawa sijafanya kosa lolote la jinai, ila ikitokea kwenye ujazaji wa fomu zozote za kisheria kama hati ya kusafiria au cheti cha kuzaliwa lazima nitaonyesha majina halisi ya wazazi wangu, na ikitokea kule nako nimejiorodhesha jina la Mashokolokubangashe kuwa ni moja ya majina ya wazazi wangu, then hivyo inageuka forgery, cheating na ni kosa la jinai.

Hivyo natoa wito kwako wanaomtuhumu Mwigulu kudanga wapate uthibitisho toka NIDA na Uhamiaji, watayaona majina halisi wazazi wa Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba.

Finally, wewe mwana Ilboru mwenzangu, ujege mara moja moja humu jf sio mpaka tuu kuja kujibu tuhuma, na ile shule iliokufikisha hapo uikumbukege!.
NB. Tukilimaliza vizuri hili zoezi la vyeti bandia, tunaweza kuamua kuanzisha msako wa wenye majina bandia, na kisha hata kwenye asili za watumishi wa umma, maana kuna a very interesting story ya kijana mmoja wa kabila la Kihaya, mwenye jina la Katto.
Asante.
Pasco
Rejea, kati ya wagombea wote wa urais wa CCM, Mhe. Mwingulu, ndie aliye ni impress sana kuliko wote kwa kuwa the most genuine kumbe...
Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President ...
Mr Pasco huenda kweli Mwigulu jina siyo lake ni kweli , tusijifanye hatujui miaka ya nyuma watu walikuwa wanarudia shule zaidi ya mara mbili Kwa Kutumia majina ya watu na ukifuatilia watu wengi wasomi Wa miaka ya 2004 kurudi miaka ya nyuma majina walionayo wengi siyo ya kwao, Pili miaka ya nyuma primary hapakuwa na pastort kwenye vyeti Kwa hiyo ilikuwa ni rahisi sana Kwa mtoto Wa maskini kuchukuliwa jina lake Na mtoto Wa Taita , Hayo ndo yapo Kwa akina Bashite na Mwigulu.Lakin Kwa leo hii ni vigumu kutumia cheti cha MTU mwingine kutokana na utaratibu ulioopo.
 
Mr Pasco huenda kweli Mwigulu jina siyo lake ni kweli , tusijifanye hatujui miaka ya nyuma watu walikuwa wanarudia shule zaidi ya mara mbili Kwa Kutumia majina ya watu na ukifuatilia watu wengi wasomi Wa miaka ya 2004 kurudi miaka ya nyuma majina walionayo wengi siyo ya kwao, Pili miaka ya nyuma primary hapakuwa na pastort kwenye vyeti Kwa hiyo ilikuwa ni rahisi sana Kwa mtoto Wa maskini kuchukuliwa jina lake Na mtoto Wa Taita , Hayo ndo yapo Kwa akina Bashite na Mwigulu.Lakin Kwa leo hii ni vigumu kutumia cheti cha MTU mwingine kutokana na utaratibu ulioopo.
Dr.Mabuga, sio huenda, hayo ni majina ya given names tuu, hakuna ubaya wowote mtu kuwa na given names hata mia, ila kwenye every official communications, cheti cha kuzaliwa, kuandikishwa hospitali, kuandikishwa shule, kuomba passport lazima kuwe na majina ya baba na jina la ukoo, katika majina hayo, hakuna jina la mzazi, wala la ukoo, hivyo hayo ni majina bandia ila sio majina ya kughushi, hajaiba jina la mtu, wala nafasi ya mtu, darasani ameingia yeye Mwigulu mwenyewe, kuhudhuria masomo mwenyewe in person, kufanya mitihani na kufaulu kwa majina hayo hadi sasa ni Ph.D holder, hivyo he is very genuine learned person unlike Bashite na Dr. Kigwa, mmoja alifeli la saba akatumia nafasi ya mtu mwingine aliyepasi anashindwa kulipia, na Bashite alizungusha form 4 pale Pamba, akatumia jina na vyeti vya mtu mwingine kujiendeleza.

Jina is not a big issue mtu unaweza kuapa tuu na kubadili, muhimu ni elimu na vyeti halali, elimu ya Mwigulu ni elimu halali na vyeti vyake ni vyeti halali.

Paskali
 
Hata aruke sarakasi ajuazo ukweli elimu kakomaa yeye mwenyewe sehemu kubwa.
Lakini huku chini msingi akumbuke jina alilotumia kwa kununua kwa ngombe tisa na biashara ikaisha na mwenye jina hana tatizo maana kachukua chake.
Utaratibu huu ulikuwepo huko nyuma na wengi wameutumia kwenda sekondari. Ikiwa serikali ikiamua kufanya follow up hapa nusu ya watumishi twaweza kuwakosa.
Mwigulu yuko sahihi kueleza hayo ni ujasiri maana wazungu husema being silence means yes. Sasa ikiwa atakaa kimya mtajua ni kweli. Kujitokeza ni ishara ya kukataa hata kama ni kweli.
Yeye kalitendea jina haki kwa kusoma na kufaulu but kuna ukakasi mkubwa kwa majina yake.
Hakuna dhambi ndogo zote ni sawa, nashauri serikali iwalipe pensheni zao wale iliowatumbua maana hizo hela zipo na waliozikalia wengine wana majina sahihi ila elimu feki n.k.
Haya yamejadiliwa sana humu kuhusu mwigulu wapo wanaomjua sawasawa walileta post humu.
 
Back
Top Bottom