MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Hii ni case kwa photons peke yake ila sio general ruleSorry!!
Nimetoa maelezo zaidi kwenye #190 kuna makosa kidogo ya kiufundi niliyaweka.
Momentum of objects with mass
P = mv where v = c speed of light.
Then P = mc
Momentum of massless
P = hf/c
Einstein formula
E = pc
So energy of object with mass
E = mc^2
But energy of photons
E = hf/c × c
E = hf.
Then Energy is not interchangeable to matter.
yeees sayansi ni imani,imani inatokana na neno Amini na kuamini mara nyingi ni kukubali kitu ambacho milango ya fahamu inayopaswa kushuhudia kitu hiko bado haijashuhudia.Oh safi. Basi tunatakiwa kuwaza pia kama sayansi nayo ni aina fulani ya imani.
sayansi ni imani,mfano mpaka hivi leo big bang theory ni imani kwa sababu haina uthibitisho wowote zaidi ya maelezo ambayo hayatoshi kuwakinaisha watu kwamba ni kweli.Ukijua inakuwa sio Imani ila kweli.
Sayansi hhaielezi kitu kwa hisia Bali facts tu.
Dah!!! Hapa tunaongelea electromagnetic yote. Na ndiyo inayotumika kwa asilimia kubwa kwenye current technologies.Hii ni case kwa photons peke yake ila sio general rule
Iangalie dunia, unaona nini? Ni dhahiri utaona kama imeandaliwa kwa ajili ya mtu. Sasa hii yote inaeleza nini?Tunaomba uthibitisho kwamba mtu alikuwa kiumbe wa mwisho Kuumbwa?
Hapana, kuamini kitu hakikifanyi kiwe kweli., Na ndiyo maana tumepewa akili Ili itusaidie kipi cha kuamini na kipi sio cha kuamini.Kuamini kitu hakikifanyi kiwe kweli?
Rejea issue ya Mchungaji McKenzie, Kibwetere au Mwamposa na mafuta ya upako.
Wale waliokufa kwa kushinda njaa wanaenda peponi?
Jibu lipo wazi lakini wameishi maisha yao wakioamini maneno ya matapeli.
Kuna wale wanaojilipua ili waende peponi na kupewa mabikira 72 na wenyewe walichoamini ni kweli?
Wote wenye akili timamu wanajua si kweli.
Kuna wale wanao amini wakifa watazaliwa tena, je ni kweli?
Ukifa umekufa mwili wako utaoza na energy plus essential materials zitakuwa recycled.
Yes,Have you witnessed such phenomena in the universe?
SIkubali kwamba energy ndio Mungu ila naomba nikuulize mkuu kwamba umejuaje kama energy haina consciousness ?Energy haiwezi kuwa Mungu:
(1)kwa sababu inakosa utambuzi( Consciousnes
Supernatural power...Almighty GodHakuna kitu kinachoexist basi..?
Kwahio kila kitu kimetokana na nn? Ni nn chanzo cha kila kitu...?
Mungu hana chanzo....Chanzo cha Mungu ni nini?
Kuzuka hakumhusu Mungu....kwani Mungu si kitu....wala si nguvu tuzijuazo wanaadamu....si matter si atom ,si electon ,si valency....HOW ,WHAT ,WHICH,WHEN ,WHERE hazimhusu MWENYEZI Mungu....yeye ameziumba kwa ajili yetu....tuulizane na tujue...maisha yetu ya "universe"....Mungu Yuko nje ya universe ..kusikokuwa na maisha....kwani maisha hayamhusu Mungu Mwenyezi....ila Mungu yeye ndio amezuka tu na hana Chanzo sindio mkuu?
kwani wewe taarifa kuhusu Mungu umezipokea nje ya senses?Mungu hana chanzo....
Chanzo ni jambo linalowahusu binadamu na viumbe vyenye uhai na visivyo na uhai....
WHAT ,WHICH,HOW,WHERE ,WHEN....5 senses hazimhusu MWENYEZI MUNGU....beyond him hakuna hayo......
Wanasayansi hawajakubaliana kua binadamu 'alikua wa mwisho kuumbwa'Wazo hili linaweza lisikuelekeze kujua kwa udhabiti nini unakielezea.
Ukiyaangalia mambo kwa makini, na kama ambavyo wanasayansi wanakubaliana, kwamba mtu ndio alikuwa kiumbe wa mwisho kuumbwa, wazo kwamba ulimwengu wenyewe mchakato wake ni, wa vurugu na usio na mpango wala lengo, ni kufafanua mambo kimakosa; na hivyo ni falsafa inayoacha kupima mambo kwa msingi wa akili.
Ulimwengu ambao ni, pamoja na binadamu ndani yake, wazo kwamba mchakato wake ni wa vurugu na usio na mpango wala lengo ni matokeo ya mtu mwenyewe kushindwa kutumia inavyotakiwa uhuru wake.
Kabla ya kuendelea huko nikuulize kitu kwani SUBCONSCIOUS MIND iko Kati ya zile SENSE 5 ?!!!kwani wewe taarifa kuhusu Mungu umezipokea nje ya senses?
Sawa....Wanasayansi hawajakubaliana kua binadamu 'alikua wa mwisho kuumbwa'
where on universe have you witnessed such phenomena?Yes,
Hauwezi kuthibitisha uwepo wa Mungu kisayansi, Mungu uwepo wake unathibitishwa kwa mantiki ama logic in englishNawasalimia wana JF wote.
Leo nitaongelea uthibitisho wa kisayansi uwepo wa Mungu. Na ninapenda tujadili hapa kisayansi zaidi. Pamoja na kuunganisha imani mbalimbali zilizopo.
Sipendi niseme kwamba jina Mungu au neno Mungu ndio sahihi katika kitu ninachotaka kuongelea. Lakini nitaongelea kwamba kuna nguvu ipo ambayo hatuwezi kuielezea kwa namna ya mambo yanayoonekana.
Bila kupoteza muda naanza kama ifuatavyo.
LAW OF CONSERVATION OF ENERGY
states that energy can neither be created nor destroyed - only converted from one form of energy to another.
Kabla ya kuendelea kuongelea Law kwanza tunatakiwa tujiulize energy ni nini?
Energy is the ability to do work - Nishati ni uwezo wa kufanya kazi.
Kaitka vitu vyote vilivyopo ndani yake kunakuwa na Energy. Hata kama kiwe kimetulia.
Mpaka sasa wanasayansi wanajua namna ya kuitumia energy. Lakini kupata kujua energy ni kitu gani bado utafiti unaendelea.
Mwiliunahitaji chakula na ndani ya chakula kuna chemical energy ambayo hutumiwa ndani ya mwili na cells ilikuufanya mwili uweze kufanya kazi. Kazi zote zinazofanyika kwenye mwili energy ndiyo inayafanya zifanyike.
Pasipo energy hata existence ya kitu chochote kisingekuwepo.
Source of Energy
Wale waliosoma Quantum Physics au waliosoma Particle Physics
Hapa utasoma Fundamental particles and force inayohusu matter and radiation.
utakuja kuona ndani ya Atom kuna particle zipo ambazo ndani yake kuna energy.
Lakini utakapoenda ndani zaidi utakutana na vibration (Frequencies) ya very small particles.
Sasa ukienda zaidi kufanya utafiti hizo simall particles zimeundwa na nini. Jibu utapata void
WHAT IS VOID
: opening, gap. : empty space : emptiness, vacuum. : the quality or state of being without something .
Hiyo ndiyo tafsiri ya neno Void.
Je Void inaweza ikatengeneza haya maajabu yote tunayoyaona?
Nuclear Energy, Fossil Energy, Solar Energy, Electric Energy etc? Au kuna The very Powerful Existence iliyo juu ya uwezo wetu?
Basi kwa tafsiri hii naweza nikasema The Powerful Existence Beyond of our thinking which is the source of Energy is so called God or Allah in our understanding.
Hiyo ni Introduction ya thread yangu hii. Nitaendelea kuenda ndani zaidi kwa evidences za kisayansi.....
[emoji2956][emoji2956]Hauwezi kuthibitisha uwepo wa Mungu kisayansi, Mungu uwepo wake unathibitishwa kwa mantiki ama logic in english
swali langu la msingi lilikuw wewe umefahamu uwepo wa Mungu nje ya hizo senses 5?Kabla ya kuendelea huko nikuulize kitu kwani SUBCONSCIOUS MIND iko Kati ya zile SENSE 5 ?!!!
Kwani ndoto huwa Kati ya hizo SENSE 5?!!!
Hivi unajua hata kipofu aliyezaliwa na upofu huwa anaota?!!! Na akiota huota mambo ambayo nasi tunayaona?!!! Yaani hakuna tofauti kubwa ya ndoto za kipofu toka kuzaliwa na Mimi na wewe.....
Sawa...swali langu la msingi lilikuw wewe umefahamu uwepo wa Mungu nje ya hizo senses 5?
Subconscious mind una train wewe mwenyewe its just ni layer ya mind ambayo hauna direct access nayo,lakini information zinazo processiwa na subconsious mind umezipeleka mwenyewe na kama upo conscious enough utagundua kile kinacholetwa na subconsious mind ni reflection ya training ya muda mrefu uliyo ifanya wewe mwenyewe aidha kwa kujua au kutokujua
kama ni enthusiastic wa technology utakuwa unaelewa the way machine learning model inavyokuwa trained