Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Ipo hivi, haina haja ya kuwa na ubishi usio na mwisho.

Mimi na wewe, tuna Imani zetu mbili.
1. Wewe unaamini Ulimwengu hauna Creator, (Na ukiambiwa ulete uthibitisho kwamba Ulimwengu hauna Creator, hauwezi).

2. Mimi naamini Ulimwengu una Creator, ukiniambia nikuletee huyo Creator umuone, umshike, umnuse, umsikie maskioni mwako Ili nikuthibitishie sitoweza. (But nimesoma Maneno yake nikaona yanaingia akilini nikamuamini)

So, haina haja ya ubishi..... Amini unavyoona ni sawa na Mimi nifanye hivyo hivyo.... Mwisho wa siku itajulikana nani yupo sahihi kwenye Imani yake, [emoji1755]
Kuamini kitu hakikifanyi kiwe kweli?
Rejea issue ya Mchungaji McKenzie, Kibwetere au Mwamposa na mafuta ya upako.
Wale waliokufa kwa kushinda njaa wanaenda peponi?
Jibu lipo wazi lakini wameishi maisha yao wakioamini maneno ya matapeli.

Kuna wale wanaojilipua ili waende peponi na kupewa mabikira 72 na wenyewe walichoamini ni kweli?
Wote wenye akili timamu wanajua si kweli.

Kuna wale wanao amini wakifa watazaliwa tena, je ni kweli?
Ukifa umekufa mwili wako utaoza na energy plus essential materials zitakuwa recycled.
 
Energy haiwezi kuwa Mungu:
(1)kwa sababu inakosa utambuzi( Consciousness)
Kumbuka kwenye vitabu vya dini ya Kiibrahim, Ubudha, Uhindu, Uras, Dini za kiafrika Mungu kimepewa sifa ya utambuzi au kiumbe.

(2) Kama utasema Mungu ni energy basi usibishe mwingine akisema Mungu ni wavelength.

Yaani hata kwenye Void still Kuna wavelength kitu ambacho kitaondoa hata maana ya huyo mmwitae Mungu/mungu.
Hapa plank equation inahusika

(3) kwenye Ile theory maalufu utagundua matter na Nishati ni exchangeable yaani E= mc2 huyo Mungu ni matter?
Kumbuka sifa yenu hafanani na chochote?

Hivyo inaonyesha hata wewe mwenyewe unajaribu kumwelezea upande ambao ni wrong zaidi
Sikumbuki kama ni wewe uliuliza issue ya Light Energy.

Kuhusu E = MC2
Kwanza tunatakiwa tuanze na nature ya photons ambazo ndizo zinatupatia light energy.

Kwanza tunatakiwa kuelewa hiyo formula imeanzia kwenye kitu kinaitwa Momentum (P)

P = MV
where V is the speed of light and we can put it in C
kwahiyo formula hiyo ya energy maana yake ni

E = P x C
So photons does not have rest mass (M) they always in motion. Kwahiyo hazina momentum.
So photons are massless but they have energy.

Sasa hapo tunaweza kuongea kitu gani?

So photons energy
E = C
Because they don't have momentum.
Kwahiyo
Energy is not exchangeable to matter.

Matter is a term used in physics to describe anything that occupies space and has mass.
 
Hakuna sehemu nimelazimisha Uamini kwamba Ulimwengu Umeumbwa.
Bali kwa upande wangu Mimi Creation theory inaingia akilini kuliko Evolution Theory.





MWISHO WA SIKU TUTAJUA YUPI ALIKUA SAHIHI....
Mwisho upi wakati dunia ipo tu na kisayansi imekuwa estimated angalau 500 billion years kabla jua halijapotea na kuwa mwisho wa maisha au humans watatafuta alternative to escape au kusurvive.
 
Hahhh kwahiyo unataka tuendeleze ligi....

Ipo hivi, Mungu hana shida ya kuthibitisha kuaminiwa au kutoaminiwa na viumbe wake, Yani sisi wote Dunia nzima hata tusipomuamini hatumpunguzii kitu.

Kitu Kingine ni kwamba Mtu ukiamua kupinga kitu hata uletewe uthibitisho gani utakataa...

Mfano,..Mungu akija kwako na kukuambia Yeye ndiyo Mungu aliyeumba Ulimwengu mzima na Viumbe wote utakubali?

Kuna watu waliishi zama za Yesu, akawafanyia miujiza mingi mpaka kufufua wafu ,.. lakini Walimpinga
Enzi za ujinga hizo.
Ndio maana alibamdikwa msalabani hadharani ila alipofufuka alikuwa yeye na wanafunzi wake tu.

Sasa kama kweli alifufuka kwa nini asingekwenda kwenye hadhara kuthibitisha au sokoni kule aliko lianzisha.

Tukisema hizi ni fabricated story mtakuwa mnakataa?
 
Wazo hili linaweza lisikuelekeze kujua kwa udhabiti nini unakielezea.

Ukiyaangalia mambo kwa makini, na kama ambavyo wanasayansi wanakubaliana, kwamba mtu ndio alikuwa kiumbe wa mwisho kuumbwa, wazo kwamba ulimwengu wenyewe mchakato wake ni, wa vurugu na usio na mpango wala lengo, ni kufafanua mambo kimakosa; na hivyo ni falsafa inayoacha kupima mambo kwa msingi wa akili.

Ulimwengu ambao ni, pamoja na binadamu ndani yake, wazo kwamba mchakato wake ni wa vurugu na usio na mpango wala lengo ni matokeo ya mtu mwenyewe kushindwa kutumia inavyotakiwa uhuru wake.
Tunaomba uthibitisho kwamba mtu alikuwa kiumbe wa mwisho Kuumbwa?
 
Ukijua inakuwa sio Imani ila kweli.
Sayansi hhaielezi kitu kwa hisia Bali facts tu.
Naomba tuanze kwanza na mjadala #182 kisha tutaendelea deep kuhusu issue hii uliyoitoa.
 
Can we see energy through experiment? Or we just know the form of energy?

Energy itself is not directly visible, as it is a property of matter and radiation rather than a physical object. However, we can observe the effects of energy through experiments and observations of natural phenomena.

For example, we can observe the effects of electromagnetic energy, such as visible light, through our eyes and through instruments like telescopes and cameras. We can also observe the effects of thermal energy, such as changes in temperature, through thermometers and other instruments. Other forms of energy, such as kinetic energy or potential energy, can be observed through their effects on objects and systems.

In addition, scientists use a wide range of experimental techniques and instruments to measure and analyze energy in various forms, including spectroscopy, calorimetry, and particle detectors, among others. These techniques allow scientists to study the properties and behavior of energy in great detail, and have led to many important discoveries and advances in physics and other fields.

Therefore, while energy itself may not be directly visible, we can observe and measure its effects through a wide range of experimental techniques and instruments, and use these observations to develop a comprehensive understanding of energy and its role in the natural world.
Mjadala wetu wote umejikita zaidi kwenye upande mmoja wa ulimwengu unaoonekana kwa macho au kuhisiwa na nguvu zake (physical world and its energy). Upepo hatuuoni kwa macho ila uwepo na nguvu zake ni dhahiri kama umeme au sumaku.

Upande wa ulimwengu wa roho (spiritual world and its power), yaani usioonekana na nguvu zake, hatujaugusa. Nao ni mpana na ndiko uliko mwanzo wa ulimwengu unaoonekana. Mungu ni Roho anajulikana kwa jinsi ya roho na hujidhihirisha ukuu wake kwa yale tunayoyaona na kuyahisi kwa jinsi ya mwili au kwa kuonekana.

Maajabu ya uumbaji (sayansi), yanatupa ukuu wa Mungu muumbaji asiyemithilika na kuchunguzika kwa jinsi ya mwili. Utukufu, heshima, sifa na shukrani apewe Yeye, si sayansi aliyoiumba!
 
Sikumbuki kama ni wewe uliuliza issue ya Light Energy.

Kuhusu E = MC2
Kwanza tunatakiwa tuanze na nature ya photons ambazo ndizo zinatupatia light energy.

Kwanza tunatakiwa kuelewa hiyo formula imeanzia kwenye kitu kinaitwa Momentum (P)

P = MV
where V is the speed of light and we can put it in C
kwahiyo formula hiyo ya energy maana yake ni

E = P x C
So photons does not have rest mass (M) they always in motion. Kwahiyo hazina momentum.
So photons are massless but they have energy.

Sasa hapo tunaweza kuongea kitu gani?

So photons energy
E = C
Because they don't have momentum.
Kwahiyo
Energy is not exchangeable to matter.

Matter is a term used in physics to describe anything that occupies space and has mass.
Hapo nilikosea kidogo kuhusu Photons.
Photons has momentum which measured from the frequency.

So the formula of photons momentum is

p = hf/c

where p is the momentum of the photon, h is Planck's constant, f is the frequency of the photon, and c is the speed of light.

So tunarudi kwenye Einstein equation.
E = PC
Then photon energy
E = (hf/C) × C
Then
E= hf

Hakuna mass hapo.
 
Mjadala.wetu wote umejikita zaidi kwenye upande mmoja wa ulimwengu unaoonekana kwa macho au kuhisiwa na nguvu zake (physical world and its energy). Upepo hatuuoni kwa macho ila uwepo na nguvu zake ni dhahiri kama umeme au sumaku.

Upande wa ulimwengu wa roho (spiritual world and its power), yaani usioonekana na nguvu zake, hatujaugusa. Nao ni mpana na ndiko uliko mwanzo wa ulimwengu unaoonekana. Mungu ni Roho anajulikana kwa jinsi ya roho na kujidhihirisha ukuu wake kwa yale tunayoyaona na kuyahisi kwa jinsi ya mwili au kwa kuonekana.

Maajabu ya uumbaji (sayansi), yanatupa ukuu wa Mungu muumbaji asiyemithilika na kuchunguzika kwa jinsi ya mwili. Utukufu, heshima, sifa na shukrani apewe Yeye, si sayansi aliyoiumba!
Yes ndiyo maana title ya thread hii imesema Uthibitisho wa Mungu kisayansi

Science is the pursuit and application of knowledge and understanding of the natural and social world following a systematic methodology based on evidence.
 
Kuamini kitu hakikifanyi kiwe kweli?
Rejea issue ya Mchungaji McKenzie, Kibwetere au Mwamposa na mafuta ya upako.
Wale waliokufa kwa kushinda njaa wanaenda peponi?
Jibu lipo wazi lakini wameishi maisha yao wakioamini maneno ya matapeli.

Kuna wale wanaojilipua ili waende peponi na kupewa mabikira 72 na wenyewe walichoamini ni kweli?
Wote wenye akili timamu wanajua si kweli.

Kuna wale wanao amini wakifa watazaliwa tena, je ni kweli?
Ukifa umekufa mwili wako utaoza na energy plus essential materials zitakuwa recycled.
Uko sahihi, unakufa mwili, unaoza na kuwa udongo. Roho huishi milele yote!
 
Yes ndiyo maana title ya thread hii imesema Uthibitisho wa Mungu kisayansi

Science is the pursuit and application of knowledge and understanding of the natural and social world following a systematic methodology based on evidence.
Naam!
 
Sikumbuki kama ni wewe uliuliza issue ya Light Energy.

Kuhusu E = MC2
Kwanza tunatakiwa tuanze na nature ya photons ambazo ndizo zinatupatia light energy.

Kwanza tunatakiwa kuelewa hiyo formula imeanzia kwenye kitu kinaitwa Momentum (P)

P = MV
where V is the speed of light and we can put it in C
kwahiyo formula hiyo ya energy maana yake ni

E = P x C
So photons does not have rest mass (M) they always in motion. Kwahiyo hazina momentum.
So photons are massless but they have energy.

Sasa hapo tunaweza kuongea kitu gani?

So photons energy
E = C
Because they don't have momentum.
Kwahiyo
Energy is not exchangeable to matter.

Matter is a term used in physics to describe anything that occupies space and has mass.
Issue ya Light energy sio Mimi
Ila tukija kwenye E= hf
But f=V/ wavelength.

E=hV/ wavelength.
Lakini pia E= MC2 hivi kama kitu ni massless inakuwa zero au 1

Again umesema mass and energy are not interchangeable lakini umekuja kwenye conclusion kwamba E= C.

Wakati utaona photons zinagain momentum kutoka kwenye half of velocity of photons itself which can be described better by plank equation.

Hivyo Bado hujapinga
 
Issue ya Light energy sio Mimi
Ila tukija kwenye E= hf
But f=V/ wavelength.

E=hV/ wavelength.
Lakini pia E= MC2 hivi kama kitu ni massless inakuwa zero au 1

Again umesema mass and energy are not interchangeable lakini umekuja kwenye conclusion kwamba E= C.

Wakati utaona photons zinagain momentum kutoka kwenye half of velocity of photons itself which can be described better by plank equation.

Hivyo Bado hujapinga
Check #190 nimefafanua zaidi
 
Hapo nilikosea kidogo kuhusu Photons.
Photons has momentum which measured from the frequency.

So the formula of photons momentum is

p = hf/c

where p is the momentum of the photon, h is Planck's constant, f is the frequency of the photon, and c is the speed of light.

So tunarudi kwenye Einstein equation.
E = PC
Then photon energy
E = (hf/C) × C
Then
E= hf

Hakuna mass hapo.
Hapo tunaona ana derive momentum kutoka katika frequency hivyo plank equation tuko pamoja ila ukitoa special case kama photons the rest zinakubaliana na Einstein legendary formula.

Je Mungu ni Energy? Jibu ni hapana
 
Hakuna uthibitisho wa kisayansi wa kuwapo kwa Mungu katika uzi huu.

Mimi naweza kutoa uthibitisho wa kisayansi kwamba Mungu perfect hayupo.

God is supposedly the most perfect entity. God is the fullness of perfection.

In Physics, perfection in any state is measured by entropy. Refer to the second law of thermodynamics.

Using entropy and the second law of thermodynamics, as entropy increases, order decreases,perfection decreases.

So, the most perfect state of being is the one with 0 entropy.

So if God exists, God has 0 entropy.

So, in science, what does it mean to have 0 entropy?

In science, having the ultimate 0 entropy means non-existence. Once any entity moves from non-existence to existence, it increases entropy from 0 to something, it moves from perfection to some imperfection.

What does this mean in terms of God? This means, in scientific terms, in terms of entropy, the perfect God does not exist. That God has 0 entropy, and therefore, is in non-existence, therefore, that God does not exist.

I have provided a full scientific account, using entropy and the second law of thermodynamics, to show you that a perfect God does not exist.

QED.
Who is the perfect God?
 
Issue ya Light energy sio Mimi
Ila tukija kwenye E= hf
But f=V/ wavelength.

E=hV/ wavelength.
Lakini pia E= MC2 hivi kama kitu ni massless inakuwa zero au 1

Again umesema mass and energy are not interchangeable lakini umekuja kwenye conclusion kwamba E= C.

Wakati utaona photons zinagain momentum kutoka kwenye half of velocity of photons itself which can be described better by plank equation.

Hivyo Bado hujapinga
Sorry!!
Nimetoa maelezo zaidi kwenye #190 kuna makosa kidogo ya kiufundi niliyaweka.
Momentum of objects with mass
P = mv where v = c speed of light.
Then P = mc
Momentum of massless
P = hf/c

Einstein formula
E = pc
So energy of object with mass
E = mc^2

But energy of photons
E = hf/c × c
E = hf.
Then Energy is not interchangeable to matter.
 
Naam nimeona Nadhani ni ngumu kumuelezea Mungu kutoka upande huu uliochagau hasa akiwa kwa zile sifa zinazotajwa na watu na kumuhubiria hapa Duniani.
Watu hao wanao hubiri bado hawana uelewa zaidi kuhusu Mungu. But science inatupatia uwanja mpana zaidi.
 
Back
Top Bottom