Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Sawa....

Hivi unajua kuwa watu weupe(Europeans) hawana HISTORIA zaidi ya miaka 7000 nyuma(hawakuwepo)....ila CARBON DATINGS inatuonyesha kuwa milima ilikuwepo zaidi ya miaka milioni......
Fossil records zinasema species mbalimbali za Binadamu (akiwemo homo sapiens) walikuepo zaidi ya miaka mamia ya elfu iliopita, miaka kama laki tatu hivi iliopita. Species ya binadamu aina ya homo neanderthalensis tunaamini walikua extinct miaka 40,000 iliopita. Hawa homo neanderthalensis ndio watu weupe asililia kubwa wana DNA zao.. kumaanisha kwamba homo sapiens wali zaliana na hawa.

Ndio, milima ni ya kale zaidi ya binadamu lakini tukirudi miaka, tuseme 500,000 iliopita, viumbe wengi unaowaona hapa saivi hawakuepo (sio binadamu tu kama unavodai). Na palikua na viumbe wengi sana ambao leo hii hawapo tena...
 
Kabla ya kuendelea huko nikuulize kitu kwani SUBCONSCIOUS MIND iko Kati ya zile SENSE 5 ?!!!

Kwani ndoto huwa Kati ya hizo SENSE 5?!!!

Hivi unajua hata kipofu aliyezaliwa na upofu huwa anaota?!!! Na akiota huota mambo ambayo nasi tunayaona?!!! Yaani hakuna tofauti kubwa ya ndoto za kipofu toka kuzaliwa na Mimi na wewe.....
Unatufunga kamba mkuu... kwanza mtu kuitwa 'kipofu' inamaana una visual acuity chini ya 20/200. Kwahio inategemea unaongelea kipofu gani...

Kwa kipofu yule asiyeona kabisa na hajawahi kuona, hawezi kuota ndoto zilizo visual kama unaona ww. Na wale walio 20/200 wanaota ndoto ila haziko clear kama zako... na vipofu wasioona kabisa ni wachache zaidi kias kwamba unaweza usikutane na hata mmoja wa namna hio maishan mwako.
 
Wanasayansi hawajakubaliana kua binadamu 'alikua wa mwisho kuumbwa'
Utaratibu uliopo wa kisayansi na ambao unatumika na wanasayansi ni huu wa Carbon Dating.

Sasa kama huu ndio utaratibu wenyewe pamoja na kasoro nyingi zilizopo, unawezaje kudai kwamba wanasayansi hawajakubaliana?

Au; Je, hao wanayansi ambao hawajakubaliana wanatumia utaratibu au fumula gani?

Na kama hawana utaratibu mwingine wanawezaje kusema hawakubaliani na formula au utaratibu huu?
 
Dah!!! Hapa tunaongelea electromagnetic yote. Na ndiyo inayotumika kwa asilimia kubwa kwenye current technologies.

Ni vyema kwanza ukakubali kuwa energy is not interchangeable to matter.

Electromagnetic energy is the energy associated with electromagnetic radiation, which includes radio waves, microwaves, infrared radiation, visible light, ultraviolet radiation, X-rays, and gamma rays. The energy of electromagnetic radiation is proportional to its frequency and can be calculated using the following formula:

E = h * f

where E is energy, h is Planck's constant (6.626 x 10^-34 joule seconds), and f is frequency (measured in hertz, or cycles per second).

For example, consider a beam of green light with a frequency of 5.4 x 10^14 hertz. The energy of this beam of light can be calculated using the formula:

E = h * f = (6.626 x 10^-34 J s) * (5.4 x 10^14 Hz) = 3.58 x 10^-19 joules

This means that each photon of this green light beam has an energy of 3.58 x 10^-19 joules.

Another example is X-ray radiation with a frequency of 2.4 x 10^18 Hz. The energy of this X-ray radiation can be calculated using the same formula:

E = h * f = (6.626 x 10^-34 J s) * (2.4 x 10^18 Hz) = 1.59 x 10^-15 joules

This means that each X-ray photon has an energy of 1.59 x 10^-15 joules.

The formula for electromagnetic energy is a fundamental equation in physics and has many applications, including in the design of technologies that use electromagnetic radiation such as solar cells, medical imaging devices, and wireless communication systems.
Naona tunaandika vitu vinavofanana ila vina maana tofauti.

Sina haja ya kurudia plank equation kuielezea au kuichambua maana tayari nilishakuonyesha huko awali.

Kumbuka kwenye Singularity theory ilivyolipuka it was a chaos na kuwa release high intensity energy iliyofanya kutokee formation ya Nyota, Sayari kifupi ulimwengu.

Hapo E= MC2 ndiyo iliyokuwa applied na inaelezea vizuri how the universe is formed.

Nothing new
 
Hapana, kuamini kitu hakikifanyi kiwe kweli., Na ndiyo maana tumepewa akili Ili itusaidie kipi cha kuamini na kipi sio cha kuamini.

Hivyo tunasema, kuamini Evolution Theory hakuifanyi Evolution Theory iwe ni Imani ya kweli.
Ila kuamini Invincible man yupo kwenye mawingu ni sawa?

Mnasema aliumba kwa siku sita ila mnasahau dinosaur walikuwepo duniani kwa miaka mingi kabla mammals hawajaonekana.
 
where on universe have you witnessed such phenomena?
Mkuu,We are all witnessing The perfect engineered universe that exhibits an intricate balance of physical laws and conditions that support the existence of life on Earth.
1. The Earth's position in our solar system,
2. The presence of a magnetic field, and the right combination of elements and conditions, including the presence of water, are just a few of the many that contribute to the balance necessary to sustain life.

We are all witnessing a delicate balance of physical constants and natural laws that allow for the existence of life,

It's too Impossible/ improbable for all the balance we are seeing in the Universe to have arisen by chance, and must have been orchestrated by a higher intelligence Whom we Call God.

Ahsante.
 
SIkubali kwamba energy ndio Mungu ila naomba nikuulize mkuu kwamba umejuaje kama energy haina consciousness ?

Ili uwece conscious inabidi uwe na sifa gani ?

Kama ukisema mtu awe anaomgea ndio awe conscious ujue mtu kuongea kuna physiology kali ambayo tissue mbali mbali zimesaidiana mtu kuomgea,mfano muscle za uso zimefanya contraction kufanya mtu atamke kwa ufasaha na tunafahamu muscles hutumia ENERGY.

ukisema awe anasikia,ujue kwamba mtu mpaka asikie kuna mechanism of hearing ambayo lazima energy iwepo ndio kijambo kizima kitokee.

Ukisema kuchakata jua kuna brain cells ama neurons ambazo kufanya kazi kwake lazima energy itumike ili mtu aweze kufanya kazi vizuri ya kufikiri.

So kitu gani kinafanya kitu kiwe conscious bila kuihusisha energy mkuu ?

Au ni sawa tuseme nyumba haikuundwa kwa mchanga bali imeundwa kwa tofali ?
Nadhani ungeiweka kama hivi:
Mwili wa binadamu ni open system hivyo unahitaji raw materials.

Moja ya raw materials ni energy input kupitia kula chakula ambacho kimehifadhi energy kutoka kwenye jua kwa kula either first au second kwenye food chain.

Hivyo source kubwa ya maisha hapa Duniani ni jua.

Je, Energy Ina Conscious?
Energy Ina self awareness? No
Energy Ina kumbukumbu?No

Kwa nini uwaze hilo kwanza?
 
Naona tunaandika vitu vinavofanana ila vina maana tofauti.

Sina haja ya kurudia plank equation kuielezea au kuichambua maana tayari nilishakuonyesha huko awali.

Kumbuka kwenye Singularity theory ilivyolipuka it was a chaos na kuwa release high intensity energy iliyofanya kutokee formation ya Nyota, Sayari kifupi ulimwengu.

Hapo E= MC2 ndiyo iliyokuwa applied na inaelezea vizuri how the universe is formed.

Nothing new
Wakati wa big bang hiyo formula haikuwepo kwa sababu hakukuwa na mass. The matter was not in existence.
The energy during the Big Bang is typically described by the radiation-dominated era, during which the universe was filled with a high-energy plasma of particles and radiation.

Kuna formula yake ipo siyo
E = mc^2

Hii formula huwa inatumika sana kwenye nuclear fission. But during big bang wasn't a nuclear fission.

Naweza kukupa mifano ya nuclear fission.

The formula for nuclear fission energy is:

E = (Δm)c^2

where:
  • E is the energy released during the nuclear fission reaction
  • Δm is the mass defect, which is the difference in mass between the original nucleus and the two fission fragments
  • c is the speed of light

During nuclear fission, a heavy nucleus is split into two smaller nuclei, along with the release of a large amount of energy. The energy released is due to the conversion of a small amount of mass into energy, according to Einstein's famous equation E=mc^2.

For example, one common nuclear fission reaction involves the nucleus of uranium-235 (U-235) splitting into two smaller nuclei, plus some additional particles like neutrons and gamma rays:

U-235 + n → Ba-141 + Kr-92 + 2n + energy

In this reaction, the mass of the products (Ba-141 and Kr-92) is slightly less than the mass of the original U-235 nucleus and the neutron that caused the fission. This difference in mass, known as the mass defect, is converted into energy according to the formula above. The energy released during this reaction is on the order of millions of electronvolts (MeV), which is much greater than the energy released during a chemical reaction.
 
Ila kuamini Invincible man yupo kwenye mawingu ni sawa?

Mnasema aliumba kwa siku sita ila mnasahau dinosaur walikuwepo duniani kwa miaka mingi kabla mammals hawajaonekana.
Mkuu, mbona umeweka weak arguments.
1. Hakuna Mtu mwenye akili timamu eti anaamini Mungu yupo hapo kwenye mawingu.

2. Kuhusu Dinosaur, Mungu kuumba kwa siku sita, na Dinosaur kuwepo duniani kabla ya Mammals.... Does it mean kwamba Dinosaur hakuumbwa na Mungu?

Kitu Kingine ni kwamba hizo story za Dinosaur hazipo 100% true....Lakini pia ukisoma zaidi Waliofanya uchunguzi hawaonyeshi kwamba Eti Dinosaurs wakati Wana exist Mammals wengine walikua hawapo kabisa..... Bali wanasema Mammals wengine walikua wadogo sana. Kwa ushahidi soma hapo chini utaelewa 👇🏽

Dinosaurs first appeared during the Mesozoic Era, which began around 252 million years ago, and they dominated the planet for about 165 million years until their extinction around 66 million years ago. During this time, mammals existed, but they were small, shrew-like creatures that lived in the shadow of the dinosaurs.
 
Sawa...

Kwa hiyo "subconscious mind" ni lazima uitrain?!!!

Kwa hiyo memories ,fears believes ambazo unazo ni lazima uwe umezitrain tu....nyingine haziendani na maumbile?!!!

Mimi nimemfahamu Mungu kupitia hizo sense 5....ila unaamini kuwa ulimwengu upo kwa ajili ya sense 5 tu?!!!

Yaani kuota nako ni lazima iwe ni vitu unavyovijua?!!!
Ulishawahi kuota upo ndani ya sayari ya Jupiter?
 
Wakati wa big bang hiyo formula haikuwepo kwa sababu hakukuwa na mass. The matter was not in existence.
The energy during the Big Bang is typically described by the radiation-dominated era, during which the universe was filled with a high-energy plasma of particles and radiation.

Kuna formula yake ipo siyo
E = mc^2

Hii formula huwa inatumika sana kwenye nuclear fission. But during big bang wasn't a nuclear fission.

Naweza kukupa mifano ya nuclear fission.

The formula for nuclear fission energy is:

E = (Δm)c^2

where:
  • E is the energy released during the nuclear fission reaction
  • Δm is the mass defect, which is the difference in mass between the original nucleus and the two fission fragments
  • c is the speed of light

During nuclear fission, a heavy nucleus is split into two smaller nuclei, along with the release of a large amount of energy. The energy released is due to the conversion of a small amount of mass into energy, according to Einstein's famous equation E=mc^2.

For example, one common nuclear fission reaction involves the nucleus of uranium-235 (U-235) splitting into two smaller nuclei, plus some additional particles like neutrons and gamma rays:

U-235 + n → Ba-141 + Kr-92 + 2n + energy

In this reaction, the mass of the products (Ba-141 and Kr-92) is slightly less than the mass of the original U-235 nucleus and the neutron that caused the fission. This difference in mass, known as the mass defect, is converted into energy according to the formula above. The energy released during this reaction is on the order of millions of electronvolts (MeV), which is much greater than the energy released during a chemical reaction.
Sasa elezea matter zilitokeaje tokeaje?
 
Mkuu, mbona umeweka weak arguments.
1. Hakuna Mtu mwenye akili timamu eti anaamini Mungu yupo hapo kwenye mawingu.

2. Kuhusu Dinosaur, Mungu kuumba kwa siku sita, na Dinosaur kuwepo duniani kabla ya Mammals.... Does it mean kwamba Dinosaur hakuumbwa na Mungu?

Kitu Kingine ni kwamba hizo story za Dinosaur hazipo 100% true....Lakini pia ukisoma zaidi Waliofanya uchunguzi hawaonyeshi kwamba Eti Dinosaurs wakati Wana exist Mammals wengine walikua hawapo kabisa..... Bali wanasema Mammals wengine walikua wadogo sana. Kwa ushahidi soma hapo chini utaelewa [emoji1427]

Dinosaurs first appeared during the Mesozoic Era, which began around 252 million years ago, and they dominated the planet for about 165 million years until their extinction around 66 million years ago. During this time, mammals existed, but they were small, shrew-like creatures that lived in the shadow of the dinosaurs.
1.Embu elezea mbinguni ni wapi?Na Ushahidi kabisa.

2.Una ushahidi kwamba Dinosaur wameumbwa na Mungu?

3.Unaelewa huu mstari wako wa mwisho unajicontradict wenyewe.
 
Mkuu,Hizo arguments ulizoweka zote zinathibitisha uwepo wa Binadamu au to be specific uwepo wako wewe kama mwandishi au muwazaji,Kama alivowahi kusema Descartes 'I think therefore I am'

Swala la uthibitisho wa Uwepo wa kutokuwepo kwa Mungu ni swala ambalo liko nje ya Scope ya Binadamu kama ambavyo Msomi Mt.Augustino wa Hipo alivoeleza kuhusu Fumbo la Utatu Mtakatifu kwamba huwezi kuchota maji ya Bahari yote na kuyajaza katika Ndoo moja.

Ninachotaka kusema ni nini?Ni kwamba unapojaribu kuthibitisha uwepo wa Mungu iwe kisayansi au kidini au kibinafsi basi hio ni futtile and Vanity affair.Unapotafuta Mwanzo wa Ubinadamu ilhali wewe katika Umri wako tu huweza kushare experience yako ya wakati ukiwa foetus ndani ya tumbo la mama yako au hata wakati ukiwa na umri wa mwaka mmoja.Inawezekana hata sasa nikikwambia unipe full account ya maisha yako uliyoishi 2 years ago ukinipa tukio kwa tukio,saa kwa saa hutaweza sembuse kujaribu kufanya deductive au inductive reasoning ya kujaribu kuonesha mwanzo wa mwanadamu au kuthibitisha uwepo wa Mungu...

Nakutakia kila la heri katika jaribio lako ila hoja ulizoweka hapa zote hakuna inayothibitisha uwepo wa Mungu wa Mwanzo wa binadamu bali zinathibitisha tu uwepo wa mwanadamu na uwepo wako.Baasi.
 
Sasa elezea matter zilitokeaje tokeaje?
Nafurahi sana kwasababu unajua Physics na Chemistry.

Kuna kitu kinaitwa Law of Conservation of Matter

Tuende taratibu tu. Tutakuja kugundua energy ni kila kitu.

The law of conservation of matter, also known as the law of conservation of mass, is a fundamental principle in physics and chemistry that states that matter cannot be created or destroyed in a chemical reaction or physical process. In other words, the total amount of matter in a closed system remains constant over time, even as it undergoes changes or transformations.

This law is based on the principle of the conservation of energy, which states that energy cannot be created or destroyed, but can only be transformed from one form to another. The law of conservation of matter is closely related to this principle, since matter is a form of energy and is subject to the same basic principles of conservation.

The law of conservation of matter has important implications for many areas of science and engineering, including chemistry, biology, and environmental science. It is used to predict the outcomes of chemical reactions, to analyze the composition of substances, and to understand the behavior of systems that involve matter.

It is worth noting that the law of conservation of matter is not an absolute law, since it applies only to closed systems that are isolated from their environment. In open systems, matter can be exchanged with the environment, leading to changes in the total amount of matter in the system over time. However, even in open systems, the law of conservation of matter still holds true for the matter that is contained within the system itself.
 
Mkuu,Hizo arguments ulizoweka zote zinathibitisha uwepo wa Binadamu au to be specific uwepo wako wewe kama mwandishi au muwazaji,Kama alivowahi kusema Descartes 'I think therefore I am'

Swala la uthibitisho wa Uwepo wa kutokuwepo kwa Mungu ni swala ambalo liko nje ya Scope ya Binadamu kama ambavyo Msomi Mt.Augustino wa Hipo alivoeleza kuhusu Fumbo la Utatu Mtakatifu kwamba huwezi kuchota maji ya Bahari yote na kuyajaza katika Ndoo moja.

Ninachotaka kusema ni nini?Ni kwamba unapojaribu kuthibitisha uwepo wa Mungu iwe kisayansi au kidini au kibinafsi basi hio ni futtile and Vanity affair.Unapotafuta Mwanzo wa Ubinadamu ilhali wewe katika Umri wako tu huweza kushare experience yako ya wakati ukiwa foetus ndani ya tumbo la mama yako au hata wakati ukiwa na umri wa mwaka mmoja.Inawezekana hata sasa nikikwambia unipe full account ya maisha yako uliyoishi 2 years ago ukinipa tukio kwa tukio,saa kwa saa hutaweza sembuse kujaribu kufanya deductive au inductive reasoning ya kujaribu kuonesha mwanzo wa mwanadamu au kuthibitisha uwepo wa Mungu...

Nakutakia kila la heri katika jaribio lako ila hoja ulizoweka hapa zote hakuna inayothibitisha uwepo wa Mungu wa Mwanzo wa binadamu bali zinathibitisha tu uwepo wa mwanadamu na uwepo wako.Baasi.
Swala la uthibitisho wa Uwepo wa kutokuwepo kwa Mungu ni swala ambalo liko nje ya Scope ya Binadamu kama ambavyo.

Sasa kwa nini waamini wanaamini kitu kilicho nje ya uwezo wao.

Maana pia kuthibitisha hawawezi?
 
1.Embu elezea mbinguni ni wapi?Na Ushahidi kabisa.

2.Una ushahidi kwamba Dinosaur wameumbwa na Mungu?

3.Unaelewa huu mstari wako wa mwisho unajicontradict wenyewe.
1. Kwanini unasema nielezee mbinguni.., Dini yangu Mimi Haisemi kwamba physically Mungu yupo hapo mbinguni, So hilo swali halinihusu.

2. Ndiyo ushahidi kwamba Dinosaur wameumbwa na Mungu nnao.(Since, God is The Creator of all things, then hata Dinosaur wameumbwa na Mungu kama unabisha Lete uthibitisho hawajaumbwa na Mungu)

3. Huo mstari wa mwisho sio Maneno yangu Bali ni Maneno ya hao waliofanya uchunguzi kuhusu Dinosaurs, wanasema Dinosaurs ndiyo wali dominate kwenye hizo zama, lakini hata Mammals wengine walikuepo(Co-existence) ....... So, ulivyosema Dinosaurs wali exist peke yao apart from other Mammals sio kweli.
 
Mkuu,Hizo arguments ulizoweka zote zinathibitisha uwepo wa Binadamu au to be specific uwepo wako wewe kama mwandishi au muwazaji,Kama alivowahi kusema Descartes 'I think therefore I am'

Swala la uthibitisho wa Uwepo wa kutokuwepo kwa Mungu ni swala ambalo liko nje ya Scope ya Binadamu kama ambavyo Msomi Mt.Augustino wa Hipo alivoeleza kuhusu Fumbo la Utatu Mtakatifu kwamba huwezi kuchota maji ya Bahari yote na kuyajaza katika Ndoo moja.

Ninachotaka kusema ni nini?Ni kwamba unapojaribu kuthibitisha uwepo wa Mungu iwe kisayansi au kidini au kibinafsi basi hio ni futtile and Vanity affair.Unapotafuta Mwanzo wa Ubinadamu ilhali wewe katika Umri wako tu huweza kushare experience yako ya wakati ukiwa foetus ndani ya tumbo la mama yako au hata wakati ukiwa na umri wa mwaka mmoja.Inawezekana hata sasa nikikwambia unipe full account ya maisha yako uliyoishi 2 years ago ukinipa tukio kwa tukio,saa kwa saa hutaweza sembuse kujaribu kufanya deductive au inductive reasoning ya kujaribu kuonesha mwanzo wa mwanadamu au kuthibitisha uwepo wa Mungu...

Nakutakia kila la heri katika jaribio lako ila hoja ulizoweka hapa zote hakuna inayothibitisha uwepo wa Mungu wa Mwanzo wa binadamu bali zinathibitisha tu uwepo wa mwanadamu na uwepo wako.Baasi.
Asante kwa maelezo mazuri sana.
Hatuwezi kuacha kudadisi eti kwamba tu siwezi kuwa na kumbukumbu ya namna nilivyokuwa kwenye tumbo.

Also ukisoma introduction yangu nimeeleza kuwa siyo kwamba naongelea kiumbe anayeitwa Mungu bali naongelea Existence which is a powerful existence beyond our reasoning.

Sasa tunajaribu kuangalia kwenye science which control everything and we don't know. Unakuja kugundua kuwa ni Energy.
Sasa hapo makosa yangu ni nini?
 
Nafurahi sana kwasababu unajua Physics na Chemistry.

Kuna kitu kinaitwa Law of Conservation of Matter

Tuende taratibu tu. Tutakuja kugundua energy ni kila kitu.

The law of conservation of matter, also known as the law of conservation of mass, is a fundamental principle in physics and chemistry that states that matter cannot be created or destroyed in a chemical reaction or physical process. In other words, the total amount of matter in a closed system remains constant over time, even as it undergoes changes or transformations.

This law is based on the principle of the conservation of energy, which states that energy cannot be created or destroyed, but can only be transformed from one form to another. The law of conservation of matter is closely related to this principle, since matter is a form of energy and is subject to the same basic principles of conservation.

The law of conservation of matter has important implications for many areas of science and engineering, including chemistry, biology, and environmental science. It is used to predict the outcomes of chemical reactions, to analyze the composition of substances, and to understand the behavior of systems that involve matter.

It is worth noting that the law of conservation of matter is not an absolute law, since it applies only to closed systems that are isolated from their environment. In open systems, matter can be exchanged with the environment, leading to changes in the total amount of matter in the system over time. However, even in open systems, the law of conservation of matter still holds true for the matter that is contained within the system itself.
Thus, during any chemical reaction and low-energy thermodynamic processes in an isolated system.

Kwenye principle of mass conservation
Utaona Condition yake ni low energy ila Kwenye Singularity.

It was dense, tiny na wakati inalipuka(big bang) kulikuwa na high temperature, Sasa unagundua hii kanuni ya mass inakuwa distorted.

Hata Einstein alibidi aimodefy ili iweze kufiti kwenye General relativity theory.
 
1.Embu elezea mbinguni ni wapi?Na Ushahidi kabisa.
Kitu Kingine inaonekana umeshika ile idea Kwamba Mungu yupo mbinguni, then uka compare na jinsi Wanasayansi wanavyoenda ku explore Anga.

Ipo hivi, mfano kwenye Qur'an inaeleza kwamba Mungu ameumba Mbingu Saba (7).... So, ilibidi ujiulize hao Wanasayansi kwenye safari zao za angani wamefika mbinguni? Na kama wamefika wamefika mbingu ya ngapi? (Maana hizo Planets na stars wanazoenda kukutana nazo muda mwingine hata kwa macho tukiwa huku duniani tunaziona)

Kwenda angani na kwenda mbinguni ni vitu viwili tofauti.....
 
Back
Top Bottom