Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

View attachment 2603202

Mkuu, Human being is a work of art& engineering.... Yani Mtu alivyo tu inaonyesha kuna ufundi ambao umefanya mpaka ukaona mifumo yote kwenye mwili wa binadamu kuanzia:-
1. Respiratory system
2. Digestive system,
3. Circulatory System
4. Nervous System
5. Endocrine system
6. Muscular system
7. Skeletal system
8. Immune system
9. Urinary system
10. Reproductive system.


Yani, Ingetosha kabisa kuangalia mwili wako na jinsi unavyofanya kazi kujua kwamba kuna DESIGNER aliyeweka mifumo yote hiyo., Au kama unahisi mwili wa binadamu na jinsi unavyofanya kazi umejitokeza tu from nowhere, let's conclude that hata robots tunazoziona zimejitokeza tu from nowhere..... Does it make sense?
Then the designing of God must be very sophisticated!
So who is the designer of God?
 
Nadhani sio lazima kuwe na tofauti kubwa kati ya Aliyeumbwa kwa kufinyangwa na walioumbwa kwa kutamkwa....

Kwanini tusidhani kwamba Muumbaji aliamua tu kuwapa Sifa sawa with tiny differences hao viumbe wote?

Hata Mimi naona utofauti mkubwa kati ya Mtu na Jamii nyingine za viumbe hai ni kwamba Mtu yeye amepewa akili nyingi, ndiyo maana ana Uwezo wa kuongoza viumbe hai wengine.
Kwanza hakuna kuumbwa kwa kutamkwa ndio maana humans wanasema binadamu aliumbwa pekee hivyo viumbe havikuumbwa mkuu.

akili haipo limited kwwa human pekee tambua ilo.
 
Originator hayupo limited na time, space and matter..

Yeye ni Omnipresent (being present in all places at all times),.... Hivyo basi alikuepo na yupo kila mahala!


Hivyo maswali yako yamejifia.
Unaweza kuthibitisha kwamba alikuwepo, Na yupo kila mahali?

Una Evidences,proofs zozote kuthibitisha originator yupo kila mahali.

Au ni dhana na mawazo yako ya kufikirika imagination just an illusions??

Kwanza aliye sema huyo "Unknown Originator" au "Unknown designer" ni omnipresent ni nani?

Yani kwanza huyo Originator ni dhana ya kufikirika(Unknown) Hamumjui halafu sifa zake mnazifahamu kama vile mlishawahi kumuona....

Mnalazimisha sifa kwa Unknown creature?

Yani kitu Hukijui halafu sifa zake una zijua?

How is it possible?
 
What is singularity in the Big bang theory?

In the Big Bang theory, a singularity refers to a point of infinite density and temperature that existed at the beginning of the universe. According to the theory, the entire universe was once contained within this singularity, which was incredibly small, hot, and dense. At this point, the laws of physics, as we understand them today, did not yet exist.

As the universe rapidly expanded, it cooled down, and subatomic particles like protons and electrons began to form. Over time, these particles combined to form atoms, which then combined to form stars, galaxies, and the other structures we observe in the universe today.

The concept of a singularity is important in the Big Bang theory because it explains how the universe began and evolved over time. While scientists do not yet fully understand what happened during the first moments of the universe's existence, the Big Bang theory has become the most widely accepted explanation for the origins and evolution of the universe based on a large body of observational and theoretical evidence.

"...which was incredibly small, hot, and dense."

WHO SAW AND WITNESSED IT? NO ONE, NO ANYONE AMONGST HUMANITY!
 
Unaweza kuthibitisha kwamba alikuwepo, Na yupo kila mahali?

Una Evidences,proofs zozote kuthibitisha originator yupo kila mahali.

Au ni dhana na mawazo yako ya kufikirika imagination just an illusions??

Kwanza aliye sema huyo "Unknown Originator" au "Unknown designer" ni omnipresent ni nani?

Yani kwanza huyo Originator ni dhana ya kufikirika(Unknown) Hamumjui halafu sifa zake mnazifahamu kama vile mlishawahi kumuona....

Mnalazimisha sifa kwa Unknown creature?

Yani kitu Hukijui halafu sifa zake una zijua?

How is it possible?
When we discuss about God concept at this era tunatakiwa kujadili kwa mtazamo mwingine.

Hatuwezi kuendelea kujadili concept of God kama walivyokuwa wakijdadili karne za zamani sana.

Concept of God we have to discuss it kwa mtazamo wa kisayansi pia. Kwamba omnipresent of God idea is the Idea of the presence of Energy. Energy is everywhere in the Universe.

According to many theories energy was there before the Big bang.
Energy was concentrated to the point which known as singularity.

So tunaendelea kufanya utafiti how energy became to exist. Hiyo ipo beyond of our understanding until this moment.

Ngoja niishie hapa. Kisha nitaelezea how energy works in our body. From heat energy, electric energy etc.
 
When we discuss about God concept at this era tunatakiwa kujadili kwa mtazamo mwingine.

Hatuwezi kuendelea kujadili concept of God kama walivyokuwa wakijdadili karne za zamani sana.

Concept of God we have to discuss it kwa mtazamo wa kisayansi pia. Kwamba omnipresent of God idea is the Idea of the presence of Energy. Energy is everywhere in the Universe.

According to many theories energy was there before the Big bang.
Energy was concentrated to the point which known as singularity.

So tunaendelea kufanya utafiti how energy became to exist. Hiyo ipo beyond of our understanding until this moment.

Ngoja niishie hapa. Kisha nitaelezea how energy works in our body. From heat energy, electric energy etc.
If Energy cannot be created or destroyed.

How Nothing from no where, Can be the cause of itself and its own existence to Somewhere???
 
If Energy cannot be created or destroyed.

How Nothing from no where, Can be the cause of itself and its own existence to Somewhere???
Such first law of thermodynamic ili anzishwa miaka ya zamani sana. Lakini mpaka leo hii imesaidia kujua vitu vingi sana. Mpaka sasa hivi imekuwa ndiyo nguzo ya science.

Sasa tukija kujadili energy, zaidi sana tunaelewa namna tofauti tofauti ya kutumia hiyo energy. But how energy became to exist hili linabaki fumbo lisilo na mfumbuzi wake.
 
Such first law of thermodynamic ili anzishwa miaka ya zamani sana wakati. Lakini mpaka leo hii imesaidia kujua vitu vingi sana. Mpaka sasa hivi imekuwa ndiyo nguzo ya science.

Sasa tukija kujadili energy, zaidi sana tunaelewa namna tofauti tofauti ya kutumia hiyo energy. But how energy became to exist hili linabaki fumbo kisilo na mfumbuzi wake.
Hapa umenena mkuu.[emoji119]
 
Uhai wa mtu upo sehemu gani?

A person's life is a complex and multifaceted concept that encompasses various aspects of their being, including physical, emotional, social, and spiritual dimensions.

In a physical sense, a person's life is located within their body, which includes all of the organs, tissues, and cells that work together to sustain their existence. The physical aspect of life is closely linked to the ability of the body to perform all of the necessary biological functions that are required to maintain life, such as respiration, circulation, digestion, and waste elimination.

However, life is not solely a physical phenomenon. A person's life also includes their emotional experiences, thoughts, beliefs, and relationships. These aspects of life are related to a person's mental and social well-being, and they are often shaped by their experiences, environment, and cultural background.

In a spiritual sense, a person's life can be seen as a reflection of their connection to a higher power or purpose. This aspect of life is often linked to beliefs about the meaning and purpose of existence, and it can influence a person's values, ethics, and sense of meaning in life.

In summary, a person's life is a complex and multi-dimensional concept that encompasses various aspects of their being, including physical, emotional, social, and spiritual dimensions, and it is not located in any one specific place or location.
Hapo ndipo unapopata nafsi na roho. Mtu ana sehemu tatu: mwili (nyama, damu na mifupa), nafsi (akili, utashi na hisia), na roho (uwepo usioonekana kwa macho).
 
Kwa nini Binadamu ni kama mashine tata?

Human beings are often compared to complex machines because they share many similarities in terms of their structure, function, and behavior. Here are a few reasons why human beings are often described as complex machines:

Both humans and machines have a specific purpose or function: Just like machines are designed and built to perform specific tasks or functions, human beings also have specific biological and cognitive functions that allow them to perform various activities and tasks.

Both humans and machines are made up of interconnected parts: Machines are composed of various parts and components that work together to perform a specific function. Similarly, the human body is made up of various interconnected systems, such as the circulatory, respiratory, and nervous systems, that work together to sustain life.

Both humans and machines require energy to function: Machines require a source of energy, such as electricity or fuel, to operate. Similarly, the human body requires energy from food and oxygen to perform various functions and sustain life.

Both humans and machines can malfunction or break down: Machines can break down or malfunction if they are not maintained or if they are used improperly. Similarly, the human body can experience health issues or diseases if it is not properly maintained or if it is exposed to harmful factors, such as toxins or pathogens.

Overall, the comparison between humans and machines serves to highlight the remarkable complexity and sophistication of the human body and mind, as well as our ability to design and build machines that can perform increasingly complex tasks.
Humans made and make machines. The crucial question is: who made humans?! They were not made, but created into being!
 
Kwanza hakuna kuumbwa kwa kutamkwa ndio maana humans wanasema binadamu aliumbwa pekee hivyo viumbe havikuumbwa mkuu.

akili haipo limited kwwa human pekee tambua ilo.
Hiyo kusema hakuna kuumbwa kwa kutamkwa ni Imani yako tu.., maana ukiambiwa uthibitishe kwamba haiwezekani kuumbwa kwa kutamkwa hautoweza.

Kuhusu akili, yes Viumbe wengine Wana akili lakini human being amewazidi viumbe wengine.... Au hili nalo unabisha?
 
Hiyo kusema hakuna kuumbwa kwa kutamkwa ni Imani yako tu.., maana ukiambiwa uthibitishe kwamba haiwezekani kuumbwa kwa kutamkwa hautoweza.

Kuhusu akili, yes Viumbe wengine Wana akili lakini human being amewazidi viumbe wengine.... Au hili nalo unabisha?
Kwa hivyo mkuu tukubaliane kwamba Hakuna mwenye Uthibitisho wa kwamba tuliumbwa au Hatuku umbwa.

Wote tuna imani tu, Na wewe pia usilazimishe tu kwa maneno kwamba tuliumbwa bila kuwa na uthibitisho.
 
Unaweza kuthibitisha kwamba alikuwepo, Na yupo kila mahali?

Una Evidences,proofs zozote kuthibitisha originator yupo kila mahali.

Au ni dhana na mawazo yako ya kufikirika imagination just an illusions??

Kwanza aliye sema huyo "Unknown Originator" au "Unknown designer" ni omnipresent ni nani?

Yani kwanza huyo Originator ni dhana ya kufikirika(Unknown) Hamumjui halafu sifa zake mnazifahamu kama vile mlishawahi kumuona....

Mnalazimisha sifa kwa Unknown creature?

Yani kitu Hukijui halafu sifa zake una zijua?

How is it possible?
Ipo hivi, haina haja ya kuwa na ubishi usio na mwisho.

Mimi na wewe, tuna Imani zetu mbili.
1. Wewe unaamini Ulimwengu hauna Creator, (Na ukiambiwa ulete uthibitisho kwamba Ulimwengu hauna Creator, hauwezi).

2. Mimi naamini Ulimwengu una Creator, ukiniambia nikuletee huyo Creator umuone, umshike, umnuse, umsikie maskioni mwako Ili nikuthibitishie sitoweza. (But nimesoma Maneno yake nikaona yanaingia akilini nikamuamini)

So, haina haja ya ubishi..... Amini unavyoona ni sawa na Mimi nifanye hivyo hivyo.... Mwisho wa siku itajulikana nani yupo sahihi kwenye Imani yake, 🤝🏼
 
Huwezi kuchunguza nguvu iliyo-above your limit ndiyo maana yeye akaamua kuipatia ukuu wa Mungu....inshort Binaadamu hawezi mchunguza Mungu.

Isaya 55:8-9:
Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA. (For my thoughts are not your thoughts, neither are your ways my ways, saith the LORD.)

Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. (For as the heavens are higher than the earth, so are my ways higher than your ways, and my thoughts than your thoughts.)
 
Back
Top Bottom