Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Uthibitisho wa uwepo wa Mungu kisayansi

Kuhusu Cell, kiakili tu ya kawaida Cell Ili iweze kuunda kitu inabidi iwe kwenye conditions zinazosupport Uundaji.
Mfano, chukulia mfano wa Shahawa uliotoa mwanzo.... Shahawa ukizimwaga kwenye shuka lako/kwenye mchanga atatokea mtoto?

Maisha ya Dunia ni Carbon based kwa sababu, Carbon inaweza kuunda molekuli mbalimbali zikiwemo amino asidi, ambazo ni muhimu katika ujenzi wa protini za seli, na asidi ya nucleic kama DNA na RNA ambazo ni muhimu katika kubeba information za maumbile.

Kwa upande wa Silicon ni kwamba haiwezi Kuunda molekuli muhimu kwa ajili ya uhai.

Ndiyo maana wanasayansi wao wanaamini kuwa maisha ya duniani yamekuwa carbon-based kwa sababu ya uwezo wa carbon wa kuunda molecules mbalimbali zenye utata wa kikemia zinazohitajika kwa uhai.
What if ikitokea kwenye gimba jingine mfano Titan maisha yakiwa kwenye Silicon based?

Maana kule bahari Yao ni Methane na ipo kwa mfumo wa kimiminika?

Nadhani hoja ya watu kumdicredit Mungu ipo kwenye mifano halisi.

Kule kwenye vitabu vya dini ya Ibrahim wanasema binadamu ndio aliumbwa lakini wanyama na Mimea alisema au kutamka vitokee na vikatokea.

Ila ukiwafatilia wanyama namaanisha kingdom Animalia na hasa Mammalia utagundua hawana tofauti kubwa hasa foetus.

Ulaji wa vyakula sisi tupo kundi la Omnivorus na wanyama kama Nguruwe hivyo hatuna huo uspecial.

Kitu pekee ni Intelligence ya human lakini the rest ni sawasawa na ndugu zetu.
 
Dah!! Unless hujui physics mzee. Energy haipotei kama unachange from one state to another let say
Energy A = 200J

Change from A to B
A = B + heat Energy.
Soma vizuri The laws of thermodynamics.



Thermodynamics Laws Explained.



The laws of thermodynamics are a set of principles that govern the behavior of energy and matter in the universe. There are four laws of thermodynamics, with the first three being the most well-known and important.

First Law of Thermodynamics: Conservation of Energy
The first law of thermodynamics states that energy cannot be created or destroyed, only converted from one form to another. In other words, the total energy of a closed system (such as the universe) remains constant. This law is also known as the law of conservation of energy.

Second Law of Thermodynamics: Entropy
The second law of thermodynamics states that the entropy of an isolated system (one that does not exchange matter or energy with its surroundings) tends to increase over time, meaning that the system becomes more disordered and less useful. This law is also known as the law of entropy.

Third Law of Thermodynamics: Absolute Zero
The third law of thermodynamics states that as the temperature of a system approaches absolute zero (0 Kelvin or -273.15 degrees Celsius), the entropy of the system approaches a minimum value. This law is also known as the law of unattainability.

Fourth Law of Thermodynamics: Zeroth Law
The fourth law of thermodynamics is the zeroth law, which states that if two systems are in thermal equilibrium with a third system, they are in thermal equilibrium with each other.

Together, the laws of thermodynamics provide a framework for understanding the behavior of energy and matter in the universe. They are fundamental to many fields of science and engineering, including chemistry, physics, and mechanical engineering.
Upo sahihi hasa kama kwenye kupotea maana inachange into another form.
Hongera kwa kunisahihisha
 
Ni binadamu ndio kazitengeneza eti Alfa na omega.
Yupo kila sehemu(omnipresent)
Ana uwezo wa kila kitu.

Halafu ukiwauliza anafananaje hawajui.
[emoji23] inshangaza sana mkuu wanasema mungu amekamilika hakosei na anajua kila kitu. Huku biblia inasema mungu alijutia kumfanya Sauli mfalme kwa maana hiyo hakujua maovu ambayo Sauli atafanya
 
What if ikitokea kwenye gimba jingine mfano Titan maisha yakiwa kwenye Silicon based?

Maana kule bahari Yao ni Methane na ipo kwa mfumo wa kimiminika?

Nadhani hoja ya watu kumdicredit Mungu ipo kwenye mifano halisi.

Kule kwenye vitabu vya dini ya Ibrahim wanasema binadamu ndio aliumbwa lakini wanyama na Mimea alisema au kutamka vitokee na vikatokea.

Ila ukiwafatilia wanyama namaanisha kingdom Animalia na hasa Mammalia utagundua hawana tofauti kubwa hasa foetus.

Ulaji wa vyakula sisi tupo kundi la Omnivorus na wanyama kama Nguruwe hivyo hatuna huo uspecial.

Kitu pekee ni Intelligence ya human lakini the rest ni sawasawa na ndugu zetu.
Ndiyo maana nikasema kuna kipindi inabidi tukubali kuna vitu hatuvijui and humbly tuendelee kujifunza.

Kuumba kwa kutamka na kuumba kwa kutengeneza wala hakuna tofauti yoyote, haimaanishi kwamba kuwe na tofauti kubwa kati ya viumbe walioumbwa kwa kutamka na viumbe walioumbwa kwa kutengenezwa.

Mfano, Kama Mungu aliweza kuumba hivyo viumbe wengine kwa kutamka tu basi inaonyesha angeamua kumuumba Mtu kwa kutamka pia ingewezekana, so haimaanishi kwamba lazima kuwe na tofauti kubwa kwenye maumbile ya Jamii tofauti tofauti za viumbe hai walioumbwa kwa kutamkwa na Mtu.
 
Tuseme sina uhakika binadamu ndio waliotengeneza hizo sifa. Niambie Sasa hizo sifa zilitokea wapi?
Hizo Sifa, watu wamezijua kupitia Revelations (ufunuo) kutoka kwa Originator mwenyewe....mfano Zaburi(Daudi),Taurat(Musa), Injili(Yesu)& Qur'an(Mohammad).

So, hapo ni juu yako...kama huwaamini hao waliofunuliwa hivyo vitabu basi hata hizo Sifa walizoeleza huwezi kuziamini.
 
Ndiyo maana nikasema kuna kipindi inabidi tukubali kuna vitu hatuvijui and humbly tuendelee kujifunza.

Kuumba kwa kutamka na kuumba kwa kutengeneza wala hakuna tofauti yoyote, haimaanishi kwamba kuwe na tofauti kubwa kati ya viumbe walioumbwa kwa kutamka na viumbe walioumbwa kwa kutengenezwa.

Mfano, Kama Mungu aliweza kuumba hivyo viumbe wengine kwa kutamka tu basi inaonyesha angeamua kumuumba Mtu kwa kutamka pia ingewezekana, so haimaanishi kwamba lazima kuwe na tofauti kubwa kwenye maumbile ya Jamii tofauti tofauti za viumbe hai walioumbwa kwa kutamkwa na Mtu.
Kumbuka alifinyanga udongo na kupulizia pumzi yake ndio ilivyoandikwa.

Lakini ukiangalia ufanyaji kazi wa mwili kati ya human na other mammals ni the same yote inaendeshwa na hormone.

Yote inakufa na kuoza.

Yote inashambuliwa na magonjwa

Yote Ina malfunction kama kufeli kwa moyo au figo

Hivyo unagundua walioandika waliamua kujipakulia minyama na kujisifia jamii Yao ya wanyama na kuwadunisha jamii nyinginezo kama Simba.

Ninachoamini Homo Sapiens ni sehemu ya mazingira kama walivyo wengine.
 
Hizo Sifa, watu wamezijua kupitia Revelations (ufunuo) kutoka kwa Originator mwenyewe....mfano Zaburi(Daudi),Taurat(Musa), Injili(Yesu)& Qur'an(Mohammad).

So, hapo ni juu yako...kama huwaamini hao waliofunuliwa hivyo vitabu basi hata hizo Sifa walizoeleza huwezi kuziamini.
Sababu kubwa kwanini siwezi kuwaamini wote wanapokea revelations kutoka kwa originator kama ulivyosema, huyo originator ni mmoja lakini anawapa revelations zinazopingana kwanini afanye hivyo?

Mfano msingi wa ukristo ni Imani katika yesu aliechukua mfumo wa binadamu, akasulubiwa ili awakomboe wenye dhambi. Niambie mkuu Quran inakubaliana na hili?
 
Kumbuka alifinyanga udongo na kupulizia pumzi yake ndio ilivyoandikwa.

Lakini ukiangalia ufanyaji kazi wa mwili kati ya human na other mammals ni the same yote inaendeshwa na hormone.

Yote inakufa na kuoza.

Yote inashambuliwa na magonjwa

Yote Ina malfunction kama kufeli kwa moyo au figo

Hivyo unagundua walioandika waliamua kujipakulia minyama na kujisifia jamii Yao ya wanyama na kuwadunisha jamii nyinginezo kama Simba.

Ninachoamini Homo Sapiens ni sehemu ya mazingira kama walivyo wengine.
Nadhani sio lazima kuwe na tofauti kubwa kati ya Aliyeumbwa kwa kufinyangwa na walioumbwa kwa kutamkwa....

Kwanini tusidhani kwamba Muumbaji aliamua tu kuwapa Sifa sawa with tiny differences hao viumbe wote?

Hata Mimi naona utofauti mkubwa kati ya Mtu na Jamii nyingine za viumbe hai ni kwamba Mtu yeye amepewa akili nyingi, ndiyo maana ana Uwezo wa kuongoza viumbe hai wengine.
 
Soma mzee nilichokiandika. Usinilishe kitu ambacho sijasema. Ubaya husomi. Na vitu vyote nimevieleza hapo mwanzo.
Also nikaeleza kuwa kwa mujibu wa Imani Mungu yupo mahali popote. Nikaeleza vivyo hivyo energy ipo kwenye all objects.
Sasa mpaka hapo hujang'amua tu kitu ninachokiongelea?
God cannot be created or destroyed. Also Law of conservation of energy inasema vivyo hivyo.

Sasa hapa bado sijaeleweka?

Unajua
Unataka kusema God= Nishati(Energy)?
huyu jamaa mwenyewe hajui anasema ninj
 
Hakuna uthibitisho wa kisayansi wa kuwapo kwa Mungu katika uzi huu.

Mimi naweza kutoa uthibitisho wa kisayansi kwamba Mungu perfect hayupo.

God is supposedly the most perfect entity. God is the fullness of perfection.

In Physics, perfection in any state is measured by entropy. Refer to the second law of thermodynamics.

Using entropy and the second law of thermodynamics, as entropy increases, order decreases,perfection decreases.

So, the most perfect state of being is the one with 0 entropy.

So if God exists, God has 0 entropy.

So, in science, what does it mean to have 0 entropy?

In science, having the ultimate 0 entropy means non-existence. Once any entity moves from non-existence to existence, it increases entropy from 0 to something, it moves from perfection to some imperfection.

What does this mean in terms of God? This means, in scientific terms, in terms of entropy, the perfect God does not exist. That God has 0 entropy, and therefore, is in non-existence, therefore, that God does not exist.

I have provided a full scientific account, using entropy and the second law of thermodynamics, to show you that a perfect God does not exist.

QED.
 
So tell me what's the source of the beginning of universe.
No one knows..

We are all predicting the source through Science and Religion,

But none of them has been able to come up with clear and exactly answers, proofs and evidences on how the universe begun.
 
Hakuna uthibitisho wa kisayansi wa kuwapo kwa Mungu katika uzi huu.

Mimi naweza kutoa uthibitisho wa kisayansi kwamba Mungu perfect hayupo.

God is supposedly the most perfect entity. God is the fullness of perfection.

In Physics, perfection in any state is measured by entropy. Refer to the second law of thermodynamics.

Using entropy and the second law of thermodynamics, as entropy increases, order decreases,perfection decreases.

So, the most perfect state of being is the one with 0 entropy.

So if God exists, God has 0 entropy.

So, in science, what does it mean to have 0 entropy?

In science, having the ultimate 0 entropy means non-existence. Once any entity moves from non-existence to existence, it increases entropy from 0 to something, it moves from perfection to some imperfection.

What does this mean in terms of God? This means, in scientific terms, in terms of entropy, the perfect God does not exist. That God has 0 entropy, and therefore, is in non-existence, therefore, that God does not exist.

I have provided a full scientific account, using entropy and the second law of thermodynamics, to show you that a perfect God does not exist.

QED.
Nadhani hapa kidogo umeenda nje ya mada.

Hebu nikuulize kidogo.
How energy become to exist?
Refer the first Law of thermodynamic.
 
Back
Top Bottom