Uthubutu: Kijana atakayeelezea jinsi atakavyoizalisha elfu 50 ndani ya mwezi mmoja nitamkopesha bila riba

Hiyo 50000 naenda mnadani napoint handbag Kali za mtumba kila moja Bei 10000. Napata pochi Tano nazipiga picha safii natupia insta kwenye fekero langu la udaku kila moja 25000X5 napata 125000. Hizo nauwakika ndani ya week zimekwisha .

Naelewa hii biashara inalipa nishaifanya Sana ila Sasa nimeacha muda wa kupoint Sina inabidi udamke alfajir sana
 
Mkuu kama kweli upo serious, elfu 50 unashindwa kuipata hata kwa ndugu au rafiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wakianza kukopesha inabidi hiyo huduma waisajili,lasivyo unaweza ukafilisiwa (binadamu ni kinyonga)
 
Safi ukipata uendeleze biashara
 
Sio kwamba unataka kuiba wazo la watu? Kama ulichoandika ndio nia yako hongera sana maana hata wenye mitaji lakini ni wavivu wa kufikiri watafaidika

Precisely my thought. Yale yale ya Kusaga aliemwendea Mengi na wazo la kuanzisha kituo cha radio na television mangi akaanzisha yeye kwa kutumia wazo hilo hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…