Mungu yupi unayemzungumzia hapa? Maana yeye JPM aliomba kuwa malaika mkuu akapewa, na sasa na yeye anajiona ni mungu.Jpm anampenda Mungu. Na hiki ndicho kinampa sifa kubwa Tanzania na duniani kwa ujumla
Be Serious Mkuu, Sifa za kijinga! Eti maombi yamezuia korona! and he is trumpeting it to the world, making us all look like fools!Watanzania najua baadhi yetu tunaweza ama tukawa hatujui 'Thamani' ya Rais Dkt. Magufuli au 'Umuhimu' wake Kwetu ila itoshe tu kusema kwamba pamoja na kwamba 'Kibinadamu' anaweza akawa na 'Mapungufu' yake kama niliyonayo Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila kwa Tanzania 'Kumpata' Kiongozi kama Yeye ( JPM ) ni kama vile Mwenyezi Mungu 'ametupendelea' sana tu.
Leo asubuhi kupitia Kipindi cha BBC News ( Africa ) kinachoruka Kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili ( Redioni ) nilibahatika kuwasikia Viongozi mbalimbali wa 'Kidini' na Wananchi kadhaa ( waliowawakilisha ) Wenzao ( Waganda ) katika 'Mjadala' mkubwa uliokuwa 'Mezani' wa Janga la CORONA na namna nzima ya 'Kukabiliana' nalo.
Mazunguzo ya 'Kimjadala' yalikuwa ni mengi na yenye 'Tija' na 'Mantiki' ila katika kila 'Mzungumzaji' aliyekuwa akichangia wote walikuwa 'wakimpongeza' sana Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli kwa 'Kupambana' Kwake juu ya Janga la CORONA huku 'wakimshutumu' wazi wazi Rais wao Mzee Museveni kuwa 'ameshindwa' na kwamba kazidiwa mbali na Rais Magufuli.
Mwishoni kabisa Wote 'walisikika' wakisema kuwa laiti kungekuwa kuna uwezekano wa 'Kukopana' Marais hata kwa muda fulani tu basi kwa 'Taabu' ambazo wanazipitia sasa 'Waganda' na Maisha magumu 'waliyonayo' tokea Janga hili la CORONA lianze huku 'wakizuiwa' Kufanya Shughuli zao mbalimbali za 'Kiuchumi' basi wangetuomba Watanzania 'tuwakopeshe' Rais wetu huyu Dkt. Magufuli.
Kwa 'Kuhitimisha' Kwao tu Viongozi hao wa 'Dini' na Wananchi wa Uganda 'wamemtaka' Rais wao Mzee Museveni 'ayaige' mengi ya Rais Wetu JPM.
Nami GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ninamalizia pia kwa kusema hebu Watanzania 'tujivunie' mno Rais Magufuli na 'tumsaidie' pale anapokosea.
Mpe credit hata kwa kujua kuwa tuna hiyo hali ya kitropic. Kuna watu wamefukuzana kwenye vyama kisa tu wengine wamekataa utapeli wa kujifungia ndani.Ishu ya corona tumebebwa na Hali ya kitropical sababu ya joto
Yule mwingine naye huko Machame hata jukwaa limekuwa chungu sababu ya issue ya Corona.Ingekuwa ni lile lijamaa la ng'ambo ya pili tungekuwa tumejifungia ndani hadi leo kwa jinsi linavyowashobokea wazungu.
Hata sijui vile vijigloves vyake vyeusi kavitupilia wapi.Yule mwingine naye huko Machame hata jukwaa limekuwa chungu sababu ya issue ya Corona.
Asingekuwa mbishi kwa mambo ya kijinga jinga anayoshauriwa na wapinzani angeifunga nchi kama wengine.Tatizo jpm ni mbishi mnoΓ²ooooo
Ishu ya corona tumebebwa na Hali ya kitropical sababu ya joto
Kenya, uganda, dubai hamna joto ee.... Remember kipind cha corona tanzania ilikuwa ni kipind cha mvua na baridi then ikaja baridi kali....Ishu ya corona tumebebwa na Hali ya kitropical sababu ya joto
Akili nyingi huondoa maarifaAsingekuwa mbishi kwa mambo ya kijinga jinga anayoshauriwa na wapinzani angeifunga nchi kama wengine.
Bora abaki mbishi mnoooo mambo yaende
Unamaanisha Tanzania ndio yenye hali ya kitropical peke yake?
Corona ipo Tanzania,ukienda Vatican upo,ukienda Israel upo tofauti ni kwamba huku kwetu hatutoi taarifa.
Mkuu ugonjwa haufichiki asee... Corona ni highly contagious na killing disease bro ugonjwa huo haufichiki kabisa
Tuwe tuna appreciate japo kidogo..
'Huwezi kumpenda Mungu ambaye humwoni wakati humpendi jirani yako unayemwona' imeandikwa kwenye Biblia ndo Amri kubwa kuliko zoteJpm anampenda Mungu. Na hiki ndicho kinampa sifa kubwa Tanzania na duniani kwa ujumla
Huko Corona inapaogopa?!Wakati wa coona si nilisikia alikimbilia Gbadolite?
Kenya, uganda, dubai hamna joto ee.... Remember kipind cha corona tanzania ilikuwa ni kipind cha mvua na baridi then ikaja baridi kali....
Kuna sehemu kama mbeya, iringa na njombe huwa kuna baridi muda mwingi mbona hawakufa
Tumpe ongera zake alitutoa uwoga na kutushawishi tumwombe Mungu...
Kule baridiHiyo tropical Kenya na Uganda hazimo?
Miujiza gani iliyotumikaHiyo tropical Kenya na Uganda hazimo?