Mnatuhubiria ndio maana tunahojiNa ndiyo maana,hakuna dini inayolazimisha awaye yote kuingia imani kwa lazima.Ukiona ni njema unachoma ndani.Ukiona ni miyeyusho unasepa kispoti.Rahisi tu na si kuanzisha malumbano.
Atakuja hapa analalamika hatarr yaani dronedrake ukigusia kuhusu nyeto jamaa anahisi kama yeye ndo kapewa jukumu la kutetea CHAPUTA an anachukulia as personal issuedronedrake aione hii
Kabla ya dini Africa watu walikua wanakula kwa mwongozo upi?Kwa wenye imani,ruhusa huwaongoza kula au kutokula.
Kwahyo unakubali kabisa et ""kabisa mkuu"""Kabisa mkuu
Haujasoma Biblia na kuelewa, una chukua neno Moja na kufunga kitabu, usibaki kua kipofu. Hukumu ya Dhambi zamani ilikua ni kifo, kabla ya ujio wa Yesu, Wal watu ambao Mungu aliagiza Kila kitu kiuliwe walikua Wana tambika Kwa miungu yao Kwa kuwachoma watoto wao moto wakiwa hai, waliwachuna watu ngozi wakiwa hai na mambo mengi ya kinyama. Mungu hulipiza kisasi mpaka Kizazi Cha nne. Si Kwa hao tu, hata Kwa watoo wa Saul na wajukuu waliuliwa wote Kwa mauaji ya baba Yao alivyowaua makuhani miaka iyo.Biblia haina chochote cha kunifundisha kuhusu hilo swala, rejea hadithi ya Mungu alipo agiza wana waisraeli waue vitoto vichanga na mifugo kwa maadui wa Israel!!!
Pia rejea wazaliwa wa kwanza katika hadithi ya farao na musa walipo uwawa kwa agizo la Mungu
Hizo hadithi zinajichanganya zenyewe kuhusu hilo swala.
Ukihubiriwa ni kusikiliza na kuitika amen.Unatoa sadaka na kurudi maskani kuchunga mifugo kwa sisi wa kijijini hapa.Ila,kama umeenda kupata darasa la mafunzo maalum ya imani husika,una nafasi ya kuhoji/kuuliza maswali ya kuupata ukweli.Mnatuhubiria ndio maana tunahoji
Si kula kila kitu walichokiona tu,hata wao kwa wao walibugiana.Cannibals.Kabla ya dini Africa watu walikua wanakula kwa mwongozo upi?
Asant3 pastor ze dozeirKisayansi Yai na sperm ni cell inayoishi hivyo huitwa LIVING things.
Wale wanaodai kua mtoto ambae hajazaliwa si binadamu ni wauaji kama wauaji wengine. Samahani Kwa kuwaumiza Moyo, lakini Mimba ni mbegu hai mbili zilizokutana na kuumba kiumbe kamilifu yani binadamu. Utoaji wa Mimba ni uuaji wa kiumbe hai.
wanasayansi walifanya uchunguzi kupima maumivu watoto hupitia wanaotolewa Mimba na inaonyesha wazi watoto wale Wana feel extreme pain hata wakiwa tumboni.
MWISHO nanukuu neno la kwenye Biblia
Zaburi 139:16 BHN
[16] Wewe uliniona hata kabla sijazaliwa, uliandika kila kitu kitabuni mwako; siku zangu zote ulizipanga, hata kabla ya kuweko ile ya kwanza.
Kama Mungu alitujua tukiwa Bado tumboni na kupanga siku zetu zote za maisha yetu, Kwa Nini basi binadamu mwingine aje atoe uhai wa kiumbe hiki Cha Mungu.
Usitoe MIMBA
Hakuna cha kuelewa , biblia ni kitabu chenye mikanganyiko , ambacho kinatetewa kwa vitisho vya jehanam na ahadi ya mbinguni .Haujasoma Biblia na kuelewa, una chukua neno Moja na kufunga kitabu, usibaki kua kipofu. Hukumu ya Dhambi zamani ilikua ni kifo, kabla ya ujio wa Yesu, Wal watu ambao Mungu aliagiza Kila kitu kiuliwe walikua Wana tambika Kwa miungu yao Kwa kuwachoma watoto wao moto wakiwa hai, waliwachuna watu ngozi wakiwa hai na mambo mengi ya kinyama. Mungu hulipiza kisasi mpaka Kizazi Cha nne. Si Kwa hao tu, hata Kwa watoo wa Saul na wajukuu waliuliwa wote Kwa mauaji ya baba Yao alivyowaua makuhani miaka iyo.
Yesu alipokuja alitutoa katika laana za familia na hukumu za namna iyo.
Iyo ni natural death of cell, kama ambavyo red blood cell hufa, U skin cells. Lakini kiumbe kiliumbwa kile ni kikamilifuHuenda hata mwanamke siku zake ni mauwaji! Kwa nini? Yai lina uhai, linatakiwa liungane na mbegu ya kiume ili uhai kamili upatikane. Ina maana kila mwezi anauwa chromosomes 23.
Ukweli ni kwamba hizo ni hadithi tu za hapo mashariki ya kati , ambazo zimeleta utengano kwa sisi watu weusi na kubaguana kwa misingi ya dini na hata madhehebu.Ukihubiriwa ni kusikiliza na kuitika amen.Unatoa sadaka na kurudi maskani kuchunga mifugo kwa sisi wa kijijini hapa.Ila,kama umeenda kupata darasa la mafunzo maalum ya imani husika,una nafasi ya kuhoji/kuuliza maswali ya kuupata ukweli.
Iyo ni natural death of cell, kama ambavyo red blood cell hufa, aU skin cellHuenda hata mwanamke siku zake ni mauwaji! Kwa nini? Yai lina uhai, linatakiwa liungane na mbegu ya kiume ili uhai kamili upatikane. Ina maana kila mwezi anauwa chromosomes 23.
😠Kuua ni dhambi ila inapobidi tunaua tu
Hiyo unayoichukulia kuwa ni changamoto ya utengano na kubaguana ndiyo hasa ile nguvu iitwayo imani.Ukweli ni kwamba hizo ni hadithi tu za hapo mashariki ya kati , ambazo zimeleta utengano kwa sisi watu weusi na kubaguana kwa misingi ya dini na hata madhehebu.
Kisayansi Yai na sperm ni cell inayoishi hivyo huitwa LIVING things.
Wale wanaodai kua mtoto ambae hajazaliwa si binadamu ni wauaji kama wauaji wengine. Samahani Kwa kuwaumiza Moyo, lakini Mimba ni mbegu hai mbili zilizokutana na kuumba kiumbe kamilifu yani binadamu. Utoaji wa Mimba ni uuaji wa kiumbe hai.
wanasayansi walifanya uchunguzi kupima maumivu watoto hupitia wanaotolewa Mimba na inaonyesha wazi watoto wale Wana feel extreme pain hata wakiwa tumboni.
MWISHO nanukuu neno la kwenye Biblia
Zaburi 139:16 BHN
[16] Wewe uliniona hata kabla sijazaliwa, uliandika kila kitu kitabuni mwako; siku zangu zote ulizipanga, hata kabla ya kuweko ile ya kwanza.
Kama Mungu alitujua tukiwa Bado tumboni na kupanga siku zetu zote za maisha yetu, Kwa Nini basi binadamu mwingine aje atoe uhai wa kiumbe hiki Cha Mungu.
Usitoe MIMBA
Dini zote za kigeni walitumia mabavu kuzilazimisha Watu wazifuate Mpaka kufikia Hapa tulipo Dini ndîo imeua Watu wengi Kuliko kitu chochote baàda ya vita.Na ndiyo maana,hakuna dini inayolazimisha awaye yote kuingia imani kwa lazima.Ukiona ni njema unachoma ndani.Ukiona ni miyeyusho unasepa kispoti.Rahisi tu na si kuanzisha malumbano.