Sawa mpendwa katika bwana , ila hakuna kitu utaaniambia kuhusu huo uwongo.Hapana lakini nakuambia kua jipe nafasi ya kujifunza ndugu yangu. Kua na maswali mengi juu ya Mungu ni vizuri maana hata yeye anataka tumjue na tumuelewe na tuwe na uhusiano nae, hivyo jipe nafasi. Usifunge kurasa Kwa kumkejeli. Kuna kesho
Huu NI mjadala Mkûu.Umechukua neno Moja, wewe una concept ya Biblia na ni nzuri Cha msingi sasa soma uongeze uelewa mzuri na umjue Mungu. Soma Genesis kwanza uanze kumjua Mungu baba, Mwana na Roho wote walifanya kazi ya Uumbaji.
Iyo story ni ya kitabu Cha Kumbukumbu ya Torati 5:9 na ni kuhusu baraka na laana walizotamkiwa wakimfata Mungu au kumuasi. Soma vizuri
Na baadaye akaahidi kutofanya jambo lile la ukatili dhidi ya wanadamu waovu.Karudie kusoma kwa utulivu mkuu.Kwa hiyo Mungu muweza wa yote mwenye upendo, alishindwa kuwabadilisha sodoma na gomora akaona awatie kibiriti kwa jazba?
Makenzie na eliya alie ua wale manabii alio ita wabaali hawana tofauti .Kwa hîyo Mtu akija akataka Kukuua akisema ametumwa na Mungu anakuwa yupo Sahihi?
Au Unamaanisha Kibwetere na Mackenzie WA Kenya walikuwa Sahihi Kuua au kusababisha Mauaji ya Watu?
Si kweli, kama wakumbuka vizuri Kuna kabila la Aron ambalo walikua makuhani Hawa walitenngwa Kwa ajili ya kanisa/hekalu la Mungu. Hawakuja wanajeshi Wala watu wa kufanya shughuli kama makabila mengine. Daudi kujenga lile hekalu haikumpendeza Mungu kutokana na utumishi wake ulikua ni mwingine, si kwenye nyumba ya Mungu.Kuua NI Kuua Mkûu.
Alafu zîpo Sheria za Kuua Mtu lakini yeye hakuzizingatia Sana isipokuwa Kwa aina fulanifulani ya Watu aliowaona wapakwa mafuta.
Kama Kuua kwake kungekuwa Kwa Haki Mungu angemruhusu Kujenga Hekalu
Daudi baada ya kumuua Goliati alikua karibu na Mfalme Saul, na baada ya kukimbia Ikulu alikua na jeshi lake ambalo Kwa muda liliongezeka sana hata kua watu zaidi ya 600. Kumbuka hata kabla ya kua mfalme alikua akiwaua wafilistine Kwa miaka mingi. Ndie mfalme Mungu anamuelezea alikua akiukimblilia Moyo wake. Alitanua mipaka ya nchi ya israel sana kama ambavyo Mungu alimuahidi Ibrahimu, Daudi alimtii Mungu na Mungu Alimfanikisha katika vita vyake
Mkuu nasoma sna unakumbuka hadithi ya kina Kora na wenzake walimezwa na ardhi baada ya Mungu kuchukia😁Na baadaye akaahidi kutofanya jambo lile la ukatili dhidi ya wanadamu waovu.Karudie kusoma kwa utulivu mkuu.
Mungu haui mtu, anachukua, Kwa sababu kiroho ni kutoka katika ulimwengu huu na kwenda ulimwengu mwingine.Kwa hîyo Mtu akija akataka Kukuua akisema ametumwa na Mungu anakuwa yupo Sahihi?
Au Unamaanisha Kibwetere na Mackenzie WA Kenya walikuwa Sahihi Kuua au kusababisha Mauaji ya Watu?
Si kweli, kama wakumbuka vizuri Kuna kabila la Aron ambalo walikua makuhani Hawa walitenngwa Kwa ajili ya kanisa/hekalu la Mungu. Hawakuja wanajeshi Wala watu wa kufanya shughuli kama makabila mengine. Daudi kujenga lile hekalu haikumpendeza Mungu kutokana na utumishi wake ulikua ni mwingine, si kwenye nyumba ya Mungu.
Naam.Walifanya machukizo mbele za Mungu kwa makusudi.Mkuu nasoma sna unakumbuka hadithi ya kina Kora na wenzake walimezwa na ardhi baada ya Mungu kuchukia😁
Kama kufa nikurudi kwake ilikuaje adhabu ya adamu na hawa baada ya kula tunda ikawa ni kufa?Mungu haui mtu, anachukua, Kwa sababu kiroho ni kutoka katika ulimwengu huu na kwenda ulimwengu mwingine.
Na kama ni kusudio la Mungu yatfanyika tu, ya Nini niogope kufa wakati narudi kwake. Kuishi ni Kwa ajili yake, kufa ni kuruddi kwake
Mungu haui mtu, anachukua, Kwa sababu kiroho ni kutoka katika ulimwengu huu na kwenda ulimwengu mwingine.
Na kama ni kusudio la Mungu yatfanyika tu, ya Nini niogope kufa wakati narudi kwake. Kuishi ni Kwa ajili yake, kufa ni kuruddi kwake
Wakauliwa sio ? Na ni baada ya kisa cha sodoma na gomora ambacho ulidai hatatoa adhabu tena sio?Naam.Walifanya machukizo mbele za Mungu kwa makusudi.
Kuna kusoma Biblia kama kitabu, na kusoma neno la Mungu. Aliesoma Neno na kulisikia na kuliweka ndani yake like neno lazima limbadilishe.Huu NI mjadala Mkûu.
Unaposema nisome Unamaanisha kitu gàni?
Biblia nimeisoma yôte hiyo uliyonayo zaidi ya mara tatu. Nikasoma na vitabu àmbavyo viliondolewa kwèñye hiyo Biblia
Maneno haya ni ya kiimani tu ambayo pia ni chaka la utapeli.Kuna kusoma Biblia kama kitabu, na kusoma neno la Mungu. Aliesoma Neno na kulisikia na kuliweka ndani yake like neno lazima limbadilishe.
Bado una concepts haujasoma.
Unasahau Daudi wakati anapigana na Goliath alikua ni mdogo tu, alikaa zaidi ya miaka kumi ndio ahadi ya Mungu juu yake ya kua mfalme ikatimia. Alikua askari. Soma biblia kakaDaudi hakuwahi kuwa Askari.
Hata hakuwahi kupata Mafunzo ya Askari.
Ndio maana Ndugu Zake pàmoja na Mfalme Sauli walimzuia asipigane na Goliathi
Kuwa na Jeshi haimaanishi wewe NI Askari
Kama kufa nikurudi kwake ilikuaje adhabu ya adamu na hawa baada ya kula tunda ikawa ni kufa?
Kuna kusoma Biblia kama kitabu, na kusoma neno la Mungu. Aliesoma Neno na kulisikia na kuliweka ndani yake like neno lazima limbadilishe.
Bado una concepts haujasoma.
Bado haujasoma ukaelewa mkuu.Umeenda mbele ukarudi nyuma.Adhabu zipo tu hadi leo hii.Wakauliwa sio ? Na ni baada ya kisa cha sodoma na gomora ambacho ulidai hatatoa adhabu tena sio?
Unasahau Daudi wakati anapigana na Goliath alikua ni mdogo tu, alikaa zaidi ya miaka kumi ndio ahadi ya Mungu juu yake ya kua mfalme ikatimia. Alikua askari. Soma biblia kaka