Utofauti kati ya kumbukumbu zinazohifadhiwa kwenye ubongo(Brain) na kumbukumbu zinazohifadhiwa na akili (Mind)

Mind is not a storage facility for it is not a physical organ but rather, a logical processing tool.
Daah... It is. Na shemu inayohusika ni hiyo niliyotaja.
Mkuu labda unipe elimu kuhusu Conscious mind, unconscious mi na subconscious mind... Please tupe elimu tujifunze
Hakuna storage yoyote inayoweza kufanyika kwenye mind. Hicho kitu hakipo leo na hata milele.
Hapa umetumia hisia na nadharia tu na sio tafiti
Kiwa mfano, mtu anaweza akawa na Ubongo usio na akili, kwa mfano mtu kichaa, lakini mtu hawezi kuwa na akili bila ya kuwa na ubongo. Leo umeniangusha sana kwenye post yako hii
Hapana. Naomba kwqnza unieleze kitu kimoja kimoja nilichouliza hapo juu
 
You can not create something from nothing
Storage facility sio lazima iwe physical. Mfano kwenye Web browser yako kuna Cookies ambazo ni details za matumizi yako ya internet je kwenye hiyo browser yako kuna physical storage????
 
Ni kweli kabisa.
Kwanini useme kumbu kumbu zinahifadhiwa kwenye mind? Au pengine hukuelewa mind ni nini?
Nadhani kuna kitu unamiss mkuu.. au hukusoma mada nzima Kiongozi.
Nimeeleza kabisa kwamba ubongo ndio hutunza kumbukumbu lakini pia akili hutunza kumbukumbu. Na akili inaweza kuAccess kumbukumbu zilizopo kwenye ubongo ila ubongo hauwezi ku access kumbukumbu za zilizopo kwenye akili
Kiufupi akili haihusiani na roho wala mizimu,
Akili ipo kwenye roho.. sio masula ya mizimu
akili ni kitendo cha ubongo kuchakata taarifa na kuendesha mambo ya kibaolojia na yasiyo ya kibaiolojia ili kumsaidia mtu kwenye maisha yake ya kila siku.
Sijui umenielewa mkuu?

All in all unaposema kumbu kumbu zinakaa kwenye akili it is illogical
Mmhhh.. kuna kitu unakosa mkuu. Nadhani ni Utofauti kati ya Mind,braina,soul, spirit nk..
 
Reactions: SMU
Hiyo description ya mind - soul ni ya mwaka 1600's enzi hizo sayansi ya mionzi haijagunduliwa namaanisha CT SCAN, MRI na vipo vingine kama BRAIN ELECTRO ENCEPHALOGRAM,

Zamani wanasayansi waliamini mind ni spirit, yaani mtu anaipata kiroho, plato yeye aliamini mind ni gods, yaani ni sawa na hizi nadharia za mleta thread,

Baadae daktari mmoja aliyemfanyia upasuaji wa ubongo mgonjwa, aliondoa uvimbe kwenye sehemu ya ubongo wa mbele, baadae mgonjwa alivopona akawa na tatizo la kupoteza kumbu kumbu, sasa hapo ndio wakaanza ku reason if mind is a spirit why huyu mgonjwa kapoteza kumbu kumbu baada ya kuondoa sehemu ya ubongo? Jibu likawa mind inakaa kwenye ubongo mind sio spirit,

Baadae ndio wakaanza kufanya study mbali mbali za watu walioumia maeneo mbali mbali ya ubongo ndio waka conclude kuwa mind ipo kwenye ubongo sio roho

Sijui umenielewa hapo?
 
Reactions: SMU
Mate huko unaelekea kwenye Thalamus na limbic system
 
Popote pale duniani Wanasaikolojia watakueleza kwamba subconscious mind kazi yake ni kurekodi na kutunza kumbukumbu ya kila kitu kinachomtokea mwanandamu.. anaekataa hili ni ubishi wake tu
 
Thalamus ni kisehemu ndani ya ubongo wa mwanandamu ambacho kila upande kimezungukwa na kitu kiitwacho Paleomammalian Cortex kwa lugha rahisi hufahamika kama Limbic System, Limbic System ni mfumo ambao kazi yake ni kuratibu mfumo wa Tezi na mfumo wa Autonomic Nervous System, Autonomic Nervous System (ANS) ni mfumo ambao huratibu mambo mbalimbali ila moja ya jambo ambalo huratibiwa na mfumo huu ni Emotions yaani vile mtu anavyojisikia.

Emotions ni kama vile hasira,upendo,ujivuni, wasiwasi, uogo, huruma, kuchanganyikiwa nk . ANS ndio inaratibu hisia moja ya hisia hizo ni
 
Great post.
Uzuri wa post zako mtu anatakiwa atulie ndio aelewe na akiisha elewa anajifunza kitu kikubwa sana. Hats off.

Hii mada umeileta wakati sahihi kwangu, thank you for this.
Sasa kuna uwezekano wa ku reprogram subconscious mind? Maana inaonekana negative thought zina nguvu sana, kuliko positive.
 
Great post.
Uzuri wa post zako mtu anatakiwa atulie ndio aelewe na akiisha elewa anajifunza kitu kikubwa sana. Hats off.
🌹🌹🌹😘😘
Hii mada umeileta wakati sahihi kwangu, thank you for this.
Sasa kuna uwezekano wa ku reprogram subconscious mind? Maana inaonekana negative thought zina nguvu sana, kuliko positive.
Naam mkuu unaweza kuziprogram. Hapo sasa ndio unaweza ku-Utilize subconscious and Nature kukupatia kila kitu unachohitaji.
Wengi hudharau hii njia maybe wanaona inachukua muda mrefu ila inafanya kazi vizuri sana
 
Akili inahifadhi vipi Kumbukumbu ?

Akili ni nini hasa ?
 
Hadi utakapoeleza akili ni nini na inapatikana sehemu gani ya mwili ndio nitaweza kujadili hoja zako.

Otherwise iwe utofauti kati ya kumbukumbu zinazohifadhiwa kwenye roho na ubongo na hiyo roho inapatikana wapi ndani ya mwili!
Mtoa mada laiti angejua akili ni nini ? Nina hakika asingeandika hiki alicho kiandika.

Swali lako ulilo uliza ni miongoni mwa maswali kongwe yaani maswali ya tangu na tangu. Watu wazamani walikuwa wanauliza maswali makuu matatu :

1. Akili katika mwili wa mwanadamu iko wapi ? Waliuliza swali hili baada ya kujua Ubongo ni nini na Moyo ni nini ? Baada ya hapo wakaja na swali hili :

2. Je akili ipo kwenye Ubongo au Moyo ?

3. Je mtu anapataje maarifa na yanakaa wapi maarifa ?

Nakumbuka nilishawahi kumpa nasaha mtoa mada awe anaangalia wapi anatoa maarifa yake au wapi anachukua mawazo yake.

Ni vigumu sana kuijadili Akili wakati hujui Akili ni nini...?
 
Ni kijana wa Quantum Physics anayejihisi ana maarifa sana.
Simdharau ila hajafahamu kwamba huwa hatuendi hivyo
 
Nitajie kumbu kymbu zinazokaa kwenye mind according to your theory nikupe proof kuwa akili inapatikana kwenye ubongo

Nitajie mkuu
Mimi nasema akili inapatikana katika moyo (Yaani mahali ilipo akili ni kwenye MOYO) ila moyo na ubongo vinashirikiana katika upangaji mambo katika sehemu zake na kumbukumbu pia.
 
Ni kijana wa Quantum Physics anayejihisi ana maarifa sana.
Simdharau ila hajafahamu kwamba huwa hatuendi hivyo
Watu wa Quantum Physics sijui kwanini hawajihusishi na uhalisia na kuhoji mambo kama yalivyo.

Kijadili mambo haya yanataka umakini mkubwa sana.
 
I wish siku ulete post namna ya ku reprogram Da'vinci.
 
Mnanisimitisha kuona kwamba mmeacha kujadili mada mnamjadili mtoa mada. This isn't a Personal post, ni post ya kuelimishana na pale mtu anapokua ana mawazo mbadala dhidi ya yale ya mtoa mada basi ruhusa kuyachangia ili sote tujifunze... I'm not that Smart panty guy.
Napenda tu kushea mawazo yangu juu ya vile navyoelewa na kufikiria vitu.
Ni kijana wa Quantum Physics anayejihisi ana maarifa sana.
Simdharau ila hajafahamu kwamba huwa hatuendi hivyo

Watu wa Quantum Physics sijui kwanini hawajihusishi na uhalisia na kuhoji mambo kama yalivyo.

Kijadili mambo haya yanataka umakini mkubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…