Utofauti kati ya kumbukumbu zinazohifadhiwa kwenye ubongo(Brain) na kumbukumbu zinazohifadhiwa na akili (Mind)

Utofauti kati ya kumbukumbu zinazohifadhiwa kwenye ubongo(Brain) na kumbukumbu zinazohifadhiwa na akili (Mind)

Akili (Mind) ni sehemu iliyopo ndani ya Soul(Roho) ni sehemu ambayo haionekani kwa macho ya nyama. But it's present
Ngoja nikusaidie kuhusu hili tamko Akili kwa uchache ili siku nyingine usikosee. Tamko Akili kiasili kwa lugha yetu ya Kiswahili limetoholewa toka katika lugha ya Kiarabu. Kwa waarabu tamko hili lilikuwa linatumika kumaanisha kamba anayofungiwa mnyama(kama vile mbuzi) ili asitoke nje ya eneo alilopo.

Kutokana na kitendo hiki,maana ya Akili ikapatikana. Ndiyo maana hata kwetu sisi Waswahili ili usikosee katika jambo fulani huwa unaambiwa au kuulizwa "Tumia akili mzee" au "Hivi kwanini hutumii akili katika jambo kadha ?" au "Hapo si utumie akili kijana" na mifano mingine mingi. Yaani hitimisho lake ni kuwa ni uwezo alio pewa mwanadamu ili kumuepusha na makosa katika maamuzi au utendaji wa jambo fulani,hii ndiyo akili.

Swali ni nini Akili,akili ni uwezo wa kuzuia au kizuizi kinachomfanya mwanadamu asikosee katika jambo fulani. Kwahiyo uwezo huu unapatikana katika Moyo huku ukishirikiana na Ubongo,yaani kuna uhusiano mkubwa sana kati ya Ubongo na Moyo katika maamuzi,kumbukumbu na maarifa.

Ama kuhusu Roho,roho ni uhai,katika mwili roho haina sehemu maalumu. Ndiyo maana roho inapotoka kiumbe husemwa kimekufa na roho ikiingia kiumbe huwa hai.

Ndiyo maana kwenye Uhai kwa mwanadamu utakutana na Ubongo na Moyo.
 
Hivi bado haujapata jibu la akili ni nini? Sio mara ya kwanza naona unauliza.
Nasubiri kusoma comments zenu.
Jibu la akili ni nini,nalijua ila naona mtoa maada bado hajaijua akili ni nini,ndiyo maana mada yake inakuwa na upotoshaji mwingi.

Swali la msingi,la kujiuliza ambalo si mimi pekee nimejiuliza kuna mtu huko mwanzo ameuliza,akili inatunza vipi kumbukumbu ?
 
Mnanisimitisha kuona kwamba mmeacha kujadili mada mnamjadili mtoa mada. This isn't a Personal post, ni post ya kuelimishana na pale mtu anapokua ana mawazo mbadala dhidi ya yale ya mtoa mada basi ruhusa kuyachangia ili sote tujifunze... I'm not that Smart panty guy.
Napenda tu kushea mawazo yangu juu ya vile navyoelewa na kufikiria vitu.
Kwenye kutokukujadili mtoa mada ni kuihujumu elimu na adabu zake.

Imeonekana ya kuwa mtoa mada upo katika muendelezo wa kukosea kulingana na mada zako zilizo tangulia kuhusu akili,ubongo na roho yaani bado hujabadilika.

Niliwahi kukwambia unatakiwa uwe makini sana katika marejeo yako,kisha uwe unafikiria sana unacho kiwaza au unachokifikiria.

Akili si sehemu kama unavyosema bali akili ni uwezo au kizuizi kutokana na makosa.
 
It's simple akili ipo(Mind)Ipo ndani ya Soul. Soul ipo ndani ya Ubongo. It's a software part in the brain that can't be seen...But you can feel and see its Function/Role
Ni kama vile Nafsi/Spirit ipo ndani ya Moyo ila huwezi kuiona

Nadhani nimekujibu
Hijanijibu bado na huwezi kunijibu.
Roho isn't a real thing ni imaginary zako na wenzako wengine tu.

Kama roho iko ndani ya ubongo ni nani amewahi kuiona na kwa kutumia device gani? Unaweza kujibu kwa kusema roho ni non materialistic and how did you know ni none materialistic?

Hauna proof ya chochote ukiandikacho
We can prove that x-ray machines zinafanya kazi kwa sababu they show us mifupa iliyovunjika au objects ngumu zilizomezwa. This is aProof!

I can prove to you that pombe inaweza kukusababishia intoxication ikitumiwa kwa viwango tofauti kwa kukualika bar.

Infallible. Inarguable.
 
Mind is not a storage facility for it is not a physical organ but rather, a logical processing tool. Hakuna storage yoyote inayoweza kufanyika kwenye mind. Hicho kitu hakipo leo na hata milele.
Kiwa mfano, mtu anaweza akawa na Ubongo usio na akili, kwa mfano mtu kichaa, lakini mtu hawezi kuwa na akili bila ya kuwa na ubongo. Leo umeniangusha sana kwenye post yako hii
Couson i didn't see this aisee.
Barikiwa
 
Hivi bado haujapata jibu la akili ni nini? Sio mara ya kwanza naona unauliza.
Nasubiri kusoma comments zenu.
Watabisha pia kua .
Ukiwa unaangalia kawaida huwezi kuliona pua mpaka utulie uangalie kwa umakini ndio utaliona. Kwanini? Macho yanaliona pua ila ubongo wako unalipuuza (ignoring) pua lako ili lisikuzibe kuona mbele yako.. hii inasaidia watu wenye mapua makubwa tuone vizuri, Kwa umbali uliopo Kati ya pua na Macho na pua lilivyokaa basi tusingewez kuona mbele.

So akili hupuuza tu kuliona pua lako na sio kwamba halionekani na macho.
Kitu hiki kinafanyika tena Kwenye Miwani na Darubini
Ukivaa miwani ule mstari unaotenganisha kioo kimoja na kingine huwezi kuuona unakua kama haupo ila upo bali ubongo wako una Ignore hiyo mistari ili uone vizuri sio kuona vipande vipande.
Bado nachunguza kwanini jicho langu la kushoto ndio liko active sana kuliko la kulia!
[Mimi nikivaa miwani natumia jicho la kushoto kuona ]
 
Nilikuwa natamani kujua how Quantum physics is concerned!
Swali zuri sana, naimani nitaifungua akili yako

I'll define it for you kwa opinion zangu, i say that quantum physics is the study of everything that has ever been in existence or is yet to be or lies in our extreme imaginations.

Nimekujibu braza?
 
Watabisha pia kua .
Ukiwa unaangalia kawaida huwezi kuliona pua mpaka utulie uangalie kwa umakini ndio utaliona. Kwanini? Macho yanaliona pua ila ubongo wako unalipuuza (ignoring) pua lako ili lisikuzibe kuona mbele yako.. hii inasaidia watu wenye mapua makubwa tuone vizuri, Kwa umbali uliopo Kati ya pua na Macho na pua lilivyokaa basi tusingewez kuona mbele.

So akili hupuuza tu kuliona pua lako na sio kwamba halionekani na macho.
Kitu hiki kinafanyika tena Kwenye Miwani na Darubini
Ukivaa miwani ule mstari unaotenganisha kioo kimoja na kingine huwezi kuuona unakua kama haupo ila upo bali ubongo wako una Ignore hiyo mistari ili uone vizuri sio kuona vipande vipande.
Bado nachunguza kwanini jicho langu la kushoto ndio liko active sana kuliko la kulia!
[Mimi nikivaa miwani natumia jicho la kushoto kuona ]
😝😝😝😝
So Ubongo wetu una ignore roho na akili vinakuwa kama havipo ila kiuhalisia vipo?

If the answer is yes prove by showing us hiyo roho na akili viko wapi ndani ya mwili
 
Mimi nasema akili inapatikana katika moyo (Yaani mahali ilipo akili ni kwenye MOYO) ila moyo na ubongo vinashirikiana katika upangaji mambo katika sehemu zake na kumbukumbu pia.
Wewe jamaa nilivyosoma comment zako nikajua unauelewa mpana kumbe nawewe ni mweupe kiasi hiki? Akili zinakaa kwenye moyo?


Hujawahi kuona mtu anakuambia tumia akili huku anapoint kichwani kwake?
 
Wewe jamaa nilivyosoma comment zako nikajua unauelewa mpana kumbe nawewe ni mweupe kiasi hiki? Akili zinakaa kwenye moyo?


Hujawahi kuona mtu anakuambia tumia akili huku anapoint kichwani kwake?
Kwenye moyo kunakaa nafsi tu!!!
 
😝😝😝😝
So Ubongo wetu una ignore roho na akili vinakuwa kama havipo ila kiuhalisia vipo?

If the answer is yes prove by showing us hiyo roho na akili viko wapi ndani ya mwili
Daah mate unataka tu ubishi.... Nadhani ungeanza kusoma mada yangu ya mental illusion projection ungeelewa huo mfano
 
Swali zuri sana, naimani nitaifungua akili yako

I'll define it for you kwa opinion zangu, i say that quantum physics is the study of everything that has ever been in existence or is yet to be or lies in our extreme imaginations.

Nimekujibu braza?
Hiyo ndio definition ya quantum physics? Asee mnanitisha mkuu kama hujui kitu uwe unauliza uxuelimishwe au uwe unajisomea usiwe una assume
 
Hujawahi kuona mtu anakuambia tumia akili huku anapoint kichwani kwake?

Nimecheka sana aisee.

Maelezo yangu yapo wazi sana. Akili mahala pake ni moyoni ila ima uhusiano na ubongo. Inaonekana hukuelewa nilicho kimaanisha.

Sehemu ya maamuzi na kufanya mipango ni moyoni. Mtu kuonyesha ya kichwani haimaanishi ya kuwa akili ipo kwenye ubongo. Mangapi yapo sehemu nyingine lakin yanafanya kazi sehemu nyingine.

Inaonekana hata maana ya Akili utakuwa huijui.
 
Kwenye moyo kunakaa nafsi tu!!!
Si kweli.

Nafsi ni Roho na Mwili. Na kuna wakati Nafsi huwa ina maana ya Roho. Haya ni mambo mapana kidogo. Tuliache hili kwanza.

Mambo haya pia huwa mepesi kama ukijihusisha na lugha japo kwa uchache,mathalani kwenye lugha kuna Nafsi ya kwanza umoja na wingi,nafsi ya pili umoja na wingi,na nafsi ya tatu umoja na wingi. Tukisema "Mimi" hii ni nafsi ya kwanza umoja. Hii inajumuisha nwili na roho.
 
Dini ni kirusi hatari sana, yaani mtu anasema kwenye moyo kuna nafsi? Mwingine anasema kwenye moyo kuna roho, mwingine anasema kwenye moyo kuna akili?

Watu wanafanyiwa surgery za moyo, wengine wanawekewa pacemaker wengine wanapata heart attack, hizo nafsi na roho hazijawahi kuonekana wala kusaidia chochote,

Ni wazi hapa jukwaani kuna wajinga wengi sitauliza chochote tena maana wengi mpo poisoned na religion vitu mnavyo ongea ni vya kisayansi ninyi mnaingiza mambo ya kufikirika,

Hii ni hatari kwa ustawi wa taifa, afadhali niwe najisomea vitabu kuliko kumuuliza mtu mwenye fikra mfu
 
Swali zuri sana, naimani nitaifungua akili yako

I'll define it for you kwa opinion zangu, i say that quantum physics is the study of everything that has ever been in existence or is yet to be or lies in our extreme imaginations.

Nimekujibu braza?
Yeah, umenijibu vema..
Nauliza tena, kwann bandiko la jamaa lionekane lina flaws na ukatoa hoja kuwa vijana wa "quantum physics hawa"😁 , that means to some extent quantum physics inatudanganya?
 
Hiyo ndio definition ya quantum physics? Asee mnanitisha mkuu kama hujui kitu uwe unauliza uxuelimishwe au uwe unajisomea usiwe una assume
Mkuu,
Unaweza changia pia...what do you know about quantum physics?
 
Back
Top Bottom