Sidhani kama itasumbua kwa sababu ukistaafu haupeleki vyeti vya taaluma, nahisi utapeleka barua ya ajira + salary + na hiyo Nida. Sasa hivyo vyote vikifanana majina hakuna shida, ila sina uzoefuMf mie
NSSF,kazini, NIDA, DL,Bank kuna majina ma3
Vyeti vya shule kuna ma2
Haitonisumbua lolote huko mbele?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app