Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

Ukienda kwa mfano NSSF lazima wa update taarifa hasa Jina liendane na nida na watalazimisha majina yaliyomo nida ndiyo yatumike na kama nida wamekosea Jina hapo ndio shida itakapoanzia. Mi nimepatwa na Hilo lakini namshukuru Mungu nimemalizana nao
Ulimaliza vipi mkuu? tupe elimu kidogo.
 
Kwani transaction za mafao zilikuwa kati ya jina la ajira na mfuko wa jamii au jina la NIDA na mfuko wa jamii?
Wakati wanapokea michango wala hawakuhitaji yote hayo. Bungeni lilishaongelewa. Yaani una statement ya michango yako huko lakini wanataka uende kwa muajiri akujazie. Loh.
 
Mf mie
NSSF,kazini, NIDA, DL,Bank kuna majina ma3

Vyeti vya shule kuna ma2

Haitonisumbua lolote huko mbele?
Sasa we dogo Depal otomatikali hao ni watu wawili tofauti kabisa. Na ukikutana na mtu anaejua shelia,hata ufanyeje. Fanya fasta uanze process
 
Mf mie
NSSF,kazini, NIDA, DL,Bank kuna majina ma3

Vyeti vya shule kuna ma2

Haitonisumbua lolote huko mbele?
Nssf hawataki vyeti vya shule so hakuna shida .Issue ni Nida na Taarifa za Nssf zifanane na pia ata kama zinatofautina kuna viapo tu
 
Back
Top Bottom