Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,673
- 1,875
Ukienda kwa mfano NSSF lazima wa update taarifa hasa Jina liendane na nida na watalazimisha majina yaliyomo nida ndiyo yatumike na kama nida wamekosea Jina hapo ndio shida itakapoanzia. Mi nimepatwa na Hilo lakini namshukuru Mungu nimemalizana naoMajina ya NIDA yanahusiana vipi na mafao,nadhani mafao wanaangalia barua yako ya ajira na hiyo barua ya mwisho plus check Number.