Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

Mf mie
NSSF,kazini, NIDA, DL,Bank kuna majina ma3

Vyeti vya shule kuna ma2

Haitonisumbua lolote huko mbele?
Sidhani kama itasumbua kwa sababu ukistaafu haupeleki vyeti vya taaluma, nahisi utapeleka barua ya ajira + salary + na hiyo Nida. Sasa hivyo vyote vikifanana majina hakuna shida, ila sina uzoefu

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Nenda kaape kwa mwanasheria ni jambo dogo sana hilo
 
Nenda stationary wata scan hizo barua na certificate watabadili majina tu yaendane na NIDA na NSSF mkuu ukikwama ni pm nikusadie

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
USSR! Sasa aku PM kwa lipi wewe mwongoze huku ili na wengine wapate faida, ila huko unakutaka naona umeingia kwenye ukishoka tamaa mbaya mno dadangu USSR!
 
Haiwezi kukuk
Mf mie
NSSF,kazini, NIDA, DL,Bank kuna majina ma3

Vyeti vya shule kuna ma2

Haitonisumbua lolote huko mbele?
kukusumbua sababu ZAMANI majina ya shule yalikuwa sio lazima matatu ila Cheti Cha kuzaliwa na ivyo ulivyoorodhesha ndio majina matatu
 
Itasumbua sana hata herufi Moja tu inatosha kukuzungusha mjini kubadili

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app

Itamsumbua vp wakati NSSF na Kazini majina ni hayohayo. Vyeti vya shule vitatumika wakati gani kwenye kufuatilia mapato? Hapo hakuna shida kwa huyu raia ambaye NSSF na Kazini majina ni hayohayo
 
Itasumbua sana hata herufi Moja tu inatosha kukuzungusha mjini kubadili

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Utabadili nyaraka zipi ikiwa zamani vyeti vilikuwa vinatolewa kwa majina mawili, na kwenye ajira na NIDA ukalazimishwa kuongeza jina la tatu?

Au nahisi itabidi upate nyaraka ya kisheria kukiri kwamba hayo majina yote ni yako! Kubadili majina haiwezekani ikiwa NIDA inataka majina matatu na vyeti vilishatolewa siku nyingi vikiwa na majina mawili tena ambavyo havina picha, NECTA watakubali kweli?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hapo sawa umeeleweka. Kuna member huko juu kadanganywa kwamba hadi majina ya vyeti vya taaluma lazima yaendane na barua ya ajira + NIDA.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Vyeti vya shule hutapeleka kwa watu wa madai.
Kama nida na taarifa za kazini ziko sawa tulia ule kuku
Mf mie
NSSF,kazini, NIDA, DL,Bank kuna majina ma3

Vyeti vya shule kuna ma2

Haitonisumbua lolote huko mbele?
 
Pamoja na uzembe wa kuandija majina kwa sasa, lakini miaka ya 2000 kushuka chini, wengi wao vyeti vya taaluma vina majina mawili kuanzia darasa la saba, kidato cha nne, mpaka chuo. Kwenye ajira wakambiwa lazima waongeze jina la tatu ambalo limo ndani ya cheti cha kuzaliwa. Na NIDA hivyo hivyo.

Sasa huyu hana kosa, inabidi apate nyaraka ya kisheria kuthibitisha majina ya kwenye vyeti vya taaluma (mawili) na ajira na NIDA (matatu) ni yake.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Niliuliza NIDA kuhusu kubadili majina nikaambiwa jambo mojawapo ni kutangaza kwenye gazeti la serikali, vipi ulipitia huo mchakato au ni shortcut?
 
Something is here to learn
 
Gazeti nimepata issue ni hapo n
Niliuliza NIDA kuhusu kubadili majina nikaambiwa jambo mojawapo ni kutangaza kwenye gazeti la serikali, vipi ulipitia huo mchakato au ni shortcut?
gazeti nimepata issue ni hapo nida wameniambia niandike tena barua kwenda kwa mkurugezi wa nida kuomba ridhaa ya kubadilisha hilo jina
 
Anza mchakato wa kukubali hayo majina mengine kama yako:-
  • Nenda ofisi ya ardhi wakupatie abc​
  • Nenda ofisi ya wakili (advocate) kuna nyaraka watakuandalia ya kuhusu hayo majina yako mengine; watapeleka kwa ajili ya kuapa​
  • Rudisha hiyo nyaraka ardhi ikiwa na picha zako, watagonga mihuri na utalipia kiasi kidogo​
  • Utapewa nyaraka za kutambua hayo majina​
  • Ambatanisha kwenye madai yako ya mafao​
  • Baada ya hapo, huyo anayekuambia hustaili kulipwa, mtaje jina hapa jukwaani; kwa sababu kuna wengine wapo kazini hawajui kazi walizosomea.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…