Ukienda kwa mfano NSSF lazima wa update taarifa hasa Jina liendane na nida na watalazimisha majina yaliyomo nida ndiyo yatumike na kama nida wamekosea Jina hapo ndio shida itakapoanzia. Mi nimepatwa na Hilo lakini namshukuru Mungu nimemalizana naoMajina ya NIDA yanahusiana vipi na mafao,nadhani mafao wanaangalia barua yako ya ajira na hiyo barua ya mwisho plus check Number.
Haijakukuta wewe ndio maana unaongea hivyoWastaafu huwa mnasumbuliwa sana sijui ni uzee au wengi wenu uelewa wa mambo ni mdogo
Tofauti ipo hivi (barik daudi godi) jina lingine ni (joseph daudi godi) hilo la juu ni jina langu lakuzaliwa kabisa ila kutokana na hilo jina linafanania na lakike ndio nikaona nibadilishe ndio nikajiita hilo jina la pili.Ila hayo majina hapo sio ni mfano tu.Andaa Affidavit of proof of names uwapelekee halafu usikilizie watasemaje? Kwani yametofautiana sana kwa mfano labda cheti kimoja kina jina la Abdullah Juma wakati NIDA ina Juma Ramadhan?
From Bariki to Joseph mbona mbali sana? Hapo inakua watu wawili tofauti mkuu Ni kweli lazima wakusumbue,ingekua labda badala ya Bariki imeandikwa Barki ungeapa tu mahakamaniissue ipo hivi (Bariki daudi godi)Hili ni jina langu la kuzaliwa (Joseph daudi godi)Hili ndio nimependa kujipa mwenyewe.Kwa sababu hili jina langu lakuzaliwa yanaendana na la kike sana lipo kikeni sasa mimi nimeona sio jambo jema ndio nikaanza kubadilisha kila document ninayosomea naandika jina jipya kasoro kitambulisho cha nida tu bhasi.Huo ni mfano.Tu jinsi ilivyo
Hebu mkuu jaribu kufuatilia hii taarifa uone itakusaidiaje kwenye kubadilisha majina yako kwenye NIDA. Kuna namba za simu hapo.Habari wapendwa,
Nina shida katika ya majina kitambulisho cha (NIDA) na (NSSF) majina sawa ila katika barua yangu ya ukomo wa (ajira) na (certificate) majina tofauti na ya hivyo vitambulisho cha NIDA na NSSF.
Nimeongea na mwajiri wangu anisaidie kubalisha kwenye barua na certificate anasema haiwezekani.
NIDA, mahakaman, aridhi, gazeti nimeshaenda lakini bado nahangaika.
Nifanyeje ili niweze kupata mafao yangu?
Je Ulifanikiwa Kubadili Jinakubadili jina Nida Sio jambo la mchezo kama unavyosema briefly mimi ni mhanga wa kubadili jina Nida
Sent using Jamii Forums mobile app
bado sikufanikiwa kuna cheti cha kidato cha nne naangaikia mkuuJe Ulifanikiwa Kubadili Jina
Nje ya mada,kwanini ardhi inatumika kwenye ussue ambayo haihusiani na mambo ya ardhi?Anza mchakato wa kukubali hayo majina mengine kama yako:-
Nenda ofisi ya ardhi wakupatie abc Nenda ofisi ya wakili (advocate) kuna nyaraka watakuandalia ya kuhusu hayo majina yako mengine; watapeleka kwa ajili ya kuapa Rudisha hiyo nyaraka ardhi ikiwa na picha zako, watagonga mihuri na utalipia kiasi kidogo Utapewa nyaraka za kutambua hayo majina Ambatanisha kwenye madai yako ya mafao Baada ya hapo, huyo anayekuambia hustaili kulipwa, mtaje jina hapa jukwaani; kwa sababu kuna wengine wapo kazini hawajui kazi walizosomea.
Hilo tangazo ni magumashi.Hebu mkuu jaribu kufuatilia hii taarifa uone itakusaidiaje kwenye kubadilisha majina yako kwenye NIDA. Kuna namba za simu hapo.
Niliwauliza hilo swali na jibu walilonipa, lengo la kubadili jina lina madhara kwenye umiliki wa mali, na mali inaanzia kwenye ardhi; kama ni majengo n.kNje ya mada,kwanini ardhi inatumika kwenye ussue ambayo haihusiani na mambo ya ardhi?
Mkuu hebu tupe somo kwa sababu ni wengi wenye matatizo hayo.kubadili jina Nida Sio jambo la mchezo kama unavyosema briefly mimi ni mhanga wa kubadili jina Nida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimaliza vipi mkuu, wengi tuna shida hiyo.Ukienda kwa mfano NSSF lazima wa update taarifa hasa Jina liendane na nida na watalazimisha majina yaliyomo nida ndiyo yatumike na kama nida wamekosea Jina hapo ndio shida itakapoanzia. Mi nimepatwa na Hilo lakini namshukuru Mungu nimemalizana nao