white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Burundi wao wameanza utaratibu mpya kuwa ni amri hata wafanyakazi wanaofanya kazi kwenye mashirika ya UN, yaliyopo burundi azima mishahara yao ilingane na watumishi wengine wa serikali!!!kwani kazi wanazofanya huko hata wenzao walioko serikalini wanaweza zifanya!!Africa kuna vituko sana!!Kwahiyo kila mtu akifanya kazi katika hizo taasisi, nani atafanya kazi katika hizi Halmshauri zetu?