The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Mtu anaona kabisa pale wanalipa vizuri kuliko hapa. Badala ya kuhamia wanakolipa vizuri anataka wamuongezee pesa nyingi akiwa pale pale na uzalishaji ule ule[emoji3][emoji3]
Aisee unatakiwa kuhama ndugu.
Kwamba dereva anayemuendesha raisi alipwe sawa na dereva anayemuendesha afisa wa halmashauri?[emoji3][emoji3]
Au dereva wa Tanapa alipwe sawa na dereva wa halmashauri [emoji2960]
Hebu kaa chini fikiria kidogo reasons behind, kwanini mshahara uko tofauti?
Aisee unatakiwa kuhama ndugu.
Kwamba dereva anayemuendesha raisi alipwe sawa na dereva anayemuendesha afisa wa halmashauri?[emoji3][emoji3]
Au dereva wa Tanapa alipwe sawa na dereva wa halmashauri [emoji2960]
Hebu kaa chini fikiria kidogo reasons behind, kwanini mshahara uko tofauti?