Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Utofauti wa Mwafrika na watu wengine hauko kwenye rangi tu, hata akili. Mtu mweusi kapunjwa akili

Sasa kwa nini waliomba kuchimbiwa na wafadhili kama sio upungufu wa akili tunaozumguzia hapa! Hii ndio mada!
Tuna vyoo vya shimo! Tumekunya maporini! All was fine according to your mentality! Why call mfadhili?
Akili zetu zina giza! Ni tusi kubwa ambalo tumejitukanisha wenyewe!
Au huelewi bado huelewi mada yetu!
Mada yetu ni kuwa tuna akili finyu! Kweli unaletewa msaada wa kuchimbiwa choo! Kiwe cha kukaa au shimo! Tuna uduni wa kufikiri!

Hao ndio viongozi wetu Serikalini hadi bungeni.
Ndio maana inashangaza shughuli za Serikali zinasimama kwenda kupokea Ndege!
Ingelikuwa ni ndege ya kwanza Tanzania maybe!

Huo kwamba kuna giza fulani katika kufikiri kwetu! Aidha ilitoka kwa Muumba au tulimiss kitu kwenye evolution process!
 
Mada yetu ni kuwa tuna akili finyu! Kweli unaletewa msaada wa kuchimbiwa choo! Kiwe cha kukaa au shimo! Tuna uduni wa kufikiri!
Hao ndio viongozi wetu Serikalini hadi bungeni.
Ndio maana inashangaza shughuli za Serikali zinasimama kwenda kupokea Ndege!
Ingelikuwa ni ndege ya kwanza Tanzania maybe!
Huo kwamba kuna giza fulani katika kufikiri kwetu! Aidha ilitoka kwa Muumba au tulimiss kitu kwenye evolution process!
Unasikia, ila usiniweke na hiyo "tuna akili finyu" Simo humo. Sasa kama wewe unaona nisawa, aidha ubaki huko na wenye akili finyu au uhame Nchi.

Kuna ukweli, ambao unaelezea juu juu, kama upo. Ndugu weka wapi basi wahitadhi walijenga Vyoo. Taja eneo, taja mkandarasi, weka takwimu.. hela ngapi, mikoa au wilaya ngapi

zilitumika na wewe unaona tungefanya nini? Nini mbadala wako?
Zaidi ya hapo hayo uliobandika ni misamiati ya ukimbari. You are dissing.
Amani
 
Unasikia, ila usiniweke na hiyo "tuna akili finyu" Simo humo. Sasa kama wewe unaona nisawa, aidha ubaki huko na wenye akili finyu au uhame Nchi.

Kuna ukweli, ambao unaelezea juu juu, kama upo. Ndugu weka wapi basi wahitadhi walijenga Vyoo. Taja eneo, taja mkandarasi, weka takwimu.. hela ngapi, mikoa au wilaya ngapi

zilitumika na wewe unaona tungefanya nini? Nini mbadala wako?
Zaidi ya hapo hayo uliobandika ni misamiati ya ukimbari. You are dissing.
Amani
Yaani hujui tatizo la vyoo mashuleni tungefanya nini? Kwa hiyo na wewe ungeita wazungu wake watusaidie! hujauona huo mradi!!?
Huwezi kuukimbia upumbuvu, ni viongozi wanaotiwakilisha au tuliowachagua! Hadi tunakubali "toilet day"
Huoni ufinyu wetu akili? Sijui unakataa nini unakubali nini!
 
Yaani hujui tatizo la vyoo mashuleni tungefanya nini? Kwa hiyo na wewe ungeita wazungu wake watusaidie! hujauona huo mradi!!?
Huwezi kuukimbia upumbuvu, ni viongozi wanaotiwakilisha au tuliowachagua! Hadi tunakubali "toilet day"
Huoni ufinyu wetu akili? Sijui unakataa nini unakubali nini!
In support of the World Toilet Initiatives, which was made an official UN day in 2013, The Foundation For Tomorrow has joined the world in celebrating this day by donating 10 pit latrines to a primary school in Arusha that is in great need of new toilet facilities.

Sinon Primary is among the highest populated primary school in Tanzania, with over 3500 students. Before the support from The Foundation For Tomorrow; Sinon had a shortage of 126 toilets.

While working with Sinon Primary School through our Teacher Training program, TFFT realized that Sinon Primary School needed our help with more than just Teacher Training. This realization came following health threats facing students at Sinon Primary School due to a lack of safe sanitation infrastructure. Because of unsanitary toilet
 
In support of the World Toilet Initiatives, which was made an official UN day in 2013, The Foundation For Tomorrow has joined the world in celebrating this day by donating 10 pit latrines to a primary school in Arusha that is in great need of new toilet facilities. Sinon Primary is among the highest populated primary school in Tanzania, with over 3500 students. Before the support from The Foundation For Tomorrow; Sinon had a shortage of 126 toilets. While working with Sinon Primary School through our Teacher Training program, TFFT realized that Sinon Primary School needed our help with more than just Teacher Training. This realization came following health threats facing students at Sinon Primary School due to a lack of safe sanitation infrastructure. Because of unsanitary toilet
Upungufu wa vyoo unaita wafadhili wawape msaada! Kama sio ufinyu wa akili ni nini! Tena ni vyoo vya shimo! Hiyo ndio akili ya mtu mweusi!

Tumepata Uhuru Kama miaka 60 iliyopita! Hatuwezi kufanya watoto wetu wajisaidie!
Hii nini Kama sio untindio wa ubongo kitaifa!
Hiki ndio kiini cha mada hii!
 
Kwahiyo Wachaga walivumbuliwa na Wajerumani?🤣😆 very funny...
 
Pole Umekwazika bWana Cassava.leaves
Mimi sioni lelote lakumtusi "Mwafrika kwa Ujumla"

Surely na hiyo Taarifa ya Sijui vyoo 126 au 10 sioni kwanini unitusi "Mwaafrika". makes no sense.
Lets call it what it is.

Dissing
 
Mwafrika anaenda kuangalia na kukagua changamoto ya matundu ya choo sjui majengo ya madarasa,gharama ambayo haifiki hata mln 70...
Sasa huo msusuru wa magari thamani zake aliyotumia kwenda hpo
Utakuta inagota mln 800

Ova
Inabidi tujitathimi! Ni kidonge kichungu kukimeza! Wafadhili kuja kutujengea choo cha shimo! Na hizo shule tunazojenga kweli tunasahau ku plan vyoo! Au pia ni reflection ya akili fupi! Shule ya watu 300! Unajenga vyumba sita vya choo! Na mkandarasi analipwa mambo yanaendelea!
Mpaka mzungu aje na "toilet day"
 
Pole Umekwazika bWana Cassava.leaves
Mimi sioni lelote lakumtusi "Mwafrika kwa Ujumla"

Surely na hiyo Taarifa ya Sijui vyoo 126 au 10 sioni kwanini unitusi "Mwaafrika". makes no sense.
Lets call it what it is.

Dissing
Kwa hiyo kuchimbiwa choo kweli unaona ina make sense kweli! Kama haikusumbui wewe, kwangu inanipa tabu sana!
Ni sawa sawa na mtu kunisaidia kununua underware ya mke wangu! Hii ndio lugha rahisi kama hunielewi!
 
Kwa hiyo kuchimbiwa choo kweli unaona ina make sense kweli! Kama haikusumbui wewe, kwangu inanipa tabu sana!
Ni sawa sawa na mtu kunisaidia kununua underware ya mke wangu! Hii ndio lugha rahisi kama hunielewi!
Mkuu Pole kama unaona kusema " Mtu mweusi kapunjwa akili" inakuumiza! Lakini huo ndio ukweli wenyewe! Sio Tanzania tu ni pattern katika nchi nyingi za Kiafrika !
Mababu zetu tunaweza kuwasemehe labda! Lakini miaka 60 ya Uhuru tunafanya upuuzi huo huo!

Mwafrika hafikiri mbele! Hafikiri madhara au ningesema consequences za anachofanya sasa kina matokeo gani baadaye!

Rais mwenye PHD anayetaka nchi kuwa donor country! Anasimamisha shughuli za serikali, wakuu wa serikali wanasafiri kuja Dar just kupokea ndege! Utasemaje!
Sasa unajiuliza huko anakotaka twende tutafika kweli kwa mtindo huu!
Ndio tunasema tumepunjwa akili!
 
Nyie wenyewe ndio mambumbu maana kila kitu kina wakati wake!
Soma history ya mtu mweusi!

Na acha kabisa mambo ya kujiponda nafsi yako au hujui kuwa midomo inaumba?
Muamerika mweusi na shida zote alizopitia hukuti anaongea upumbavu na ujinga huu!
Hakika wewe ni totally fool na kila ukiamka asubuhi unawaza ujinga imbecile [emoji3062]
 
Kutaka kujua hilo angalia wamarekani weusi walivyokuwa wajinga pesa zao zinaishia kwenye kuvaa dhahabu kwenye Meno, cheni shingoni na magari ya kifahari yaani huwa mara najiuliza mwenyewe kuwa hawa jamaa Wana Akili kweli? Wamezaliwa Marekani lakini bado Akili zao ni fupi mno ndiyo maana jela zote za Marekani zimejaa watu weusi.

Acha ujinga nenda kaishi marekani for five years ndio uje hapa kuwajadili [emoji3062]
Toa uharo wako, eti pyeee!
Mtu mzima ovyooooooo [emoji35]
 
Usijiamini na ID fake kumbuka ni mkuu wa Nchi hata mimi nina machungu yangu na viongozi ila siwezi kufikia hatua kama yako coz ni muhimu kulinda heshima ya mtu anayeheshimika na wengi.

Na kuna watu wapo tayari kwa lolote lile ili kulinda heshima yake hata kama bila malipo.
Kweli. Haifai kudhalilisha mtu yoyote humu na hasa kiongozi mkuu.

Ili kujenga hoja ikakubalika siyo sawa hata kidogo kutumua lugha chafu. Wote tukemee tabia hiyo.

Hapa tunajishangaa kwanini waafrika tupo kama hivi tulivyo?

Ushahidi mmoja wapo ni huu wa kupost vitu hasi.
 
Umeishia darasa la ngapi

Jiulize wewe kwanza, hivi unajua kuna msichana mwamerika mweusi ame gundu kidonge cha kutibu Kabisa cancer badala ya chemotherapy!
Wewe akili yako ni shallow ya 1 +1=2 hivyo sina haja ya kubishana na wewe [emoji2959]
Log off[emoji15]
 
Kutaka kujua hilo angalia wamarekani weusi walivyokuwa wajinga pesa zao zinaishia kwenye kuvaa dhahabu kwenye Meno, cheni shingoni na magari ya kifahari yaani huwa mara najiuliza mwenyewe kuwa hawa jamaa Wana Akili kweli? Wamezaliwa Marekani lakini bado Akili zao ni fupi mno ndiyo maana jela zote za Marekani zimejaa watu weusi.
Ndio matumizi ya pesa mkuu.
 
Back
Top Bottom