Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 393
- 735
- Thread starter
- #281
Kwahiyo mfano hapo alipoweka milioni 100 ambayo nisawa na vipande 11,000+ it means 11,000 mara 1 so anapata elfu 11,000/- kwa kuweka milioni miamoja huu ni undezi wa aina gani?!
Hata hesabu ya kugawanya inakushinda!! Utajua vp maswala ya uwekezaji?? Nimeshangaa sana. Yaani 100,000,000 gawanya na 114 unapata 11,000?? Ama kweli!!!