Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ya leo, misaada ya kibinadamu itaendelea tu.Hii ya lini kwani? Si mlisema mabeberu wamekataa kutoa msaada kwa ajili ya Lisu kushindwa uchaguzi?
Kwa hiyo ni aina gani ya misaada hawatoi?Hii ya leo , misaada ya kibinadamu itaendelea tu
Isiyo ya kibinadamuKwa hiyo ni aina gani ya misaada hawatoi?
Wazungu wana huruma sana ! Mungu awazidishieHapo watakwambia hao ni wadau wa maendeleo,subiri waseme kura ziliibwa utaisikia mabeberu hao,mara vita vya kiuchumi na porojo zingine
Huku watu wananunu gari za mil 450+
Hivi kuna misaada ambayo si ya kibinadamu? Hata ujenzi wa barabara unalenga kuhudumia binadamu. Sijui ni misaada ipi ambayo si ya kibaindamu?Isiyo ya kibinadamu
Shida sio Rais nimfumo hata Rais huwoni magari yake. Umasikin kitu kibaya Sana masikini mara nyingi akipata ni shida. Hawa wamesahau walipo toka na wanaanza kuila nchi Kwa magari ya kifahari.Hapo watakwambia hao ni wadau wa maendeleo,subiri waseme kura ziliibwa utaisikia mabeberu hao,mara vita vya kiuchumi na porojo zingine
Huku watu wananunu gari za mil 450+
πππ HAKUNA KITU KAMA HICHO, WAZUNGU HAWANA HURUMA NA MTU MWEUSIWazungu wana huruma sana ! Mungu awazidishie
Pamoja na unyama wake, akijikoki walete tuHii ya lini kwani? Si mlisema mabeberu wamekataa kutoa msaada kwa ajili ya Lisu kushindwa uchaguzi?
Ulitaka watoto wetu wajisaidie vichakani hadi lini ?Watu wabaya jamani....yaani hata wamarekani wameona wampuuze Mr Tundu...! Pamoja na mikelele yote ile aliyopiga....Yetu Macho.
Wangejenga choo cha kazi gani ?πππ HAKUNA KITU KAMA HICHO, WAZUNGU HAWANA HURUMA NA MTU MWEUSI
... misaada ya kibinadamu inamlenga mhusika moja kwa moja; sio ile inayoingizwa "fuko kuu" halafu inaenda kununua wasaliti au kuibia kura.Hivi kuna misaada ambayo si ya kibinadamu? Hata ujenzi wa barabara unalenga kuhudumia binadamu. Sijui ni misaada ipi ambayo si ya kibaindamu?
Wanabembeleza uhusiano, chezea Magu wewe. Watakubali wenyewe hakuna kubembeleza beberu, wakafie mbele hukowangejenga choo cha kazi gani ?