UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

Kinachouma na kukera hapa ...ni jinsi Kamanda Lisu anavyopuuzwa....! Kwa taflani ile aliyoiwasha ilitakiwa Marekani na Wale EU wafunge kabisa balozi zao na kusepa ili mzee Magu ajione kasuswa sasa kinyume wanaendelea kusaidia..! Basi aombe wasaidie hata kuboresha vile vibanda k'ndoni ufipa...!!!
Yaani hapa ndio unaona umeficha aibu iliyoko mbele yako?
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Mijitu inatamba kuwa tumenunua madege, sgr, flyover nk wakati tunashindwa hata kujijijengea vyoo mpaka tusaidiwe na beberu
 
Shida sio Rais nimfumo hata Rais huwoni magari yake. Umasikin kitu kibaya Sana masikini mara nyingi akipata ni shida. Hawa wamesahau walipo toka na wanaanza kuila nchi Kwa magari ya kifahari.
Raisi wa wanyonge aliwahi kuahidi kupiga mnada mashangingi na maboss kutumia pickup sijui alishia wapi
 
Hii ya lini kwani? Si mlisema mabeberu wamekataa kutoa msaada kwa ajili ya Lisu kushindwa uchaguzi?
Hawajatoa pesa, wamejenga wenyewe. Hapo yanakabidhiwa majengo ili yachakae tena

Wangetoa pesa zingeeenda kwingine
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Awaangazie mwanga wa milele wenye ngozi nyeusi
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
dona kantri inajengewa vyoo na wanaowaita "mabeberu" , wanakatwa "govi" au mkono sweta, wanapewa chanjo bure, wanalipiwa bajeti ya nchi, madawa, dah alafu kuna lijitu macho yanamtoka kama mjusi kabanwa na mlango linasema "eti wanatuonea wivu" duh m, aliyeiloga afrika kafa.
 
Ila nadhani chuki yao ni ndogo ukiliinganisha na chuki ya mtu mweusi kwa mtu mweusi
Hivi uliiona ile video ya I CAN'T BREATH? Kule US wanabagua na kuwatesa black Americans! Usidanganyike kujifanya rafiki kwa mzungu. Mzungu atakukenulia meno ila moyoni ana chuki sana dhidi ya blacks.
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Amina ! Mabeberu oyeee !😁
 
Hivi uliiona ile video ya I CAN'T BREATH? Kule US wanabagua na kuwatesa black Americans! Usidanganyike kujifanya rafiki kwa mzungu. Mzungu atakukenulia meno ila moyoni ana chuki sana dhidi ya blacks.
Ila afadhali yule mzungu alifukuzwa kazi na yuko jela. Na kana hilo halitoshi wazungu kibao walishiriki maandamano ya kulaani tukio hilo.

Huku kwetu aliyemuua Akwilini bado anakula kuku. Hata viongozi wa dini hawaoni tatizo lolote lile ndio kwanza wanawaabudu watawala wanaoua watu au kubariki mauaji kila siku.
 
Ila afadhali yule mzungu alifukuzwa kazi na yuko jela. Na kana hilo halitoshi wazungu kibao walishiriki maandamano ya kulaani tukio hilo.

Huku kwetu aliyemuua Akwilini bado anakula kuku. Hata viongozi wa dini hawaoni tatizo lolote lile ndio kwanza wanawaabudu watawala wanaoua watu au kubariki mauaji kila siku.
Andiko lako limenitoa machozi !
 
Back
Top Bottom