Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Changu wa Madale wazungu walishakufanyia kitu mbaya?Kuwa makini na wazungu we jimama,usimuige mtoa mada utaumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changu wa Madale wazungu walishakufanyia kitu mbaya?Kuwa makini na wazungu we jimama,usimuige mtoa mada utaumia.
Yaani hapa ndio unaona umeficha aibu iliyoko mbele yako?Kinachouma na kukera hapa ...ni jinsi Kamanda Lisu anavyopuuzwa....! Kwa taflani ile aliyoiwasha ilitakiwa Marekani na Wale EU wafunge kabisa balozi zao na kusepa ili mzee Magu ajione kasuswa sasa kinyume wanaendelea kusaidia..! Basi aombe wasaidie hata kuboresha vile vibanda k'ndoni ufipa...!!!
We iga utakuja kupata majibu.Alafu jiheshimu.Changu wa Madale wazungu walishakufanyia kitu mbaya?
Ambayo ni ya "Kinyama" yaani!Isiyo ya kibinadamu
Mijitu inatamba kuwa tumenunua madege, sgr, flyover nk wakati tunashindwa hata kujijijengea vyoo mpaka tusaidiwe na beberuTaarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu
Raisi wa wanyonge aliwahi kuahidi kupiga mnada mashangingi na maboss kutumia pickup sijui alishia wapiShida sio Rais nimfumo hata Rais huwoni magari yake. Umasikin kitu kibaya Sana masikini mara nyingi akipata ni shida. Hawa wamesahau walipo toka na wanaanza kuila nchi Kwa magari ya kifahari.
Hawajatoa pesa, wamejenga wenyewe. Hapo yanakabidhiwa majengo ili yachakae tenaHii ya lini kwani? Si mlisema mabeberu wamekataa kutoa msaada kwa ajili ya Lisu kushindwa uchaguzi?
Awaangazie mwanga wa milele wenye ngozi nyeusiTaarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu
Hebu tueleweshe wewe mwenye kujuaKuna tofauti Kati ya waathirika wa maendeleo na Mabeberu
Ila nadhani chuki yao ni ndogo ukiliinganisha na chuki ya mtu mweusi kwa mtu mweusi😂😂😂 HAKUNA KITU KAMA HICHO, WAZUNGU HAWANA HURUMA NA MTU MWEUSI
dona kantri inajengewa vyoo na wanaowaita "mabeberu" , wanakatwa "govi" au mkono sweta, wanapewa chanjo bure, wanalipiwa bajeti ya nchi, madawa, dah alafu kuna lijitu macho yanamtoka kama mjusi kabanwa na mlango linasema "eti wanatuonea wivu" duh m, aliyeiloga afrika kafa.Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu
Hivi uliiona ile video ya I CAN'T BREATH? Kule US wanabagua na kuwatesa black Americans! Usidanganyike kujifanya rafiki kwa mzungu. Mzungu atakukenulia meno ila moyoni ana chuki sana dhidi ya blacks.Ila nadhani chuki yao ni ndogo ukiliinganisha na chuki ya mtu mweusi kwa mtu mweusi
Amina ! Mabeberu oyeee !😁Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu
Wanafunzi wajisaidie haja zao kwa raha!😄wangejenga choo cha kazi gani ?
Ila afadhali yule mzungu alifukuzwa kazi na yuko jela. Na kana hilo halitoshi wazungu kibao walishiriki maandamano ya kulaani tukio hilo.Hivi uliiona ile video ya I CAN'T BREATH? Kule US wanabagua na kuwatesa black Americans! Usidanganyike kujifanya rafiki kwa mzungu. Mzungu atakukenulia meno ila moyoni ana chuki sana dhidi ya blacks.
Haishangazi nchi yenye uchumi wa kati kuwa na shule zenye vyoo kam hivyo?Watu wabaya jamani....yaani hata wamarekani wameona wampuuze Mr Tundu...! Pamoja na mikelele yote ile aliyopiga....Yetu Macho.
Andiko lako limenitoa machozi !Ila afadhali yule mzungu alifukuzwa kazi na yuko jela. Na kana hilo halitoshi wazungu kibao walishiriki maandamano ya kulaani tukio hilo.
Huku kwetu aliyemuua Akwilini bado anakula kuku. Hata viongozi wa dini hawaoni tatizo lolote lile ndio kwanza wanawaabudu watawala wanaoua watu au kubariki mauaji kila siku.
" Nchi yetu ni tajiri "Pesa haiongei bana...wenye pesa wanafanya yao