UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

Na nyie mtumie akili badala ya kuimba mapambio ya kumsifu Jiwe usiku na mchana!!
Kumbe shida yako ni mapambio? Pole sana tu. Watu kama nyie ndio mlitungiwaga Methali: Bahati ya mwenzio usithubutu kujilalia mlango wazi. Mbona Mr Mzungu wenu mlianza kumkweza sana tu hata kabla hayafanya lolote la maana? Umejisahaulisha haraka kiasi hichi zile slogan zenu za "NI YEYE"!?? Na hapo ndiyo kwanza alikuwa angali akisaka tonge chamani!
 
Yaani we acha tu!!
Kwa kuanzia ni kuwa vyoo vimejengwa kwa msaada wa USAID
sasa hii Tanzania sio masikini inatoka wapi? kkbbbkkke😡😡😡
Nilitamani kukujibu nikakumbuka watu sampuli yako huwa hawaelewagi chochote chenye maana.
 
Ulitaka watoto wetu wajisaidie vichakani hadi lini ?
Hivi hua unafikiri,kwa kutumia kiungo gani?
Jamii yote iliylzunguka hiyo shule yenye choo kibovu imeshindwa kujenga?
Kijiji,kata,tarafa,wilaya,kite huko Kuna maafisa husika,hicho choo hawakukiona mpaka mmarekan kaja?.
Unaandika tu,hivyo hivyo.
 
Mkuu Eythrocyte nakupongeza kwa kuanza kubadilika na kuachana na ile milengo ya upingaji wa kila kitu, angalau sasa umeanza kuweka post zinazoonyesha kuwa unajihusisha na mahitaji halisi wa jamii. Hongera mkuu.
Tuko pamoja 🤛👍🏾✌🏿🤝
Pongezi zako nazikataa ni za kinafiki
 
Hivi hua unafikiri,kwa kutumia kiungo gani?
Jamii yote iliylzunguka hiyo shule yenye choo kibovu imeshindwa kujenga?
Kijiji,kata,tarafa,wilaya,kite huko Kuna maafisa husika,hicho choo hawakukiona mpaka mmarekan kaja?.
Unaandika tu,hivyo hivyo.
Mkuu uzi huu uangalie kwa jicho la 3 , kwa hayo macho yako mawili uliyozaliwa nayo huwezi kuelewa chochote
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo.

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho.

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho.

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
hahahahahahah ndo vya KISASA
 
Hapo watakwambia hao ni wadau wa maendeleo, subiri waseme kura ziliibwa utaisikia mabeberu hao, mara vita vya kiuchumi na porojo zingine

Huku watu wananunu gari za mil 450+
Waafrika ni wapumbavu Sana. Hadi choo Cha shule tujengewe huku mtu mmoja anamsafara wa magari 100!
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo.

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho.

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho.

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Mbona vimepakwa rangi ya dawasco,ina maana walikosa rangi nyingine ?
 
Waafrika ni wapumbavu Sana. Hadi choo Cha shule tujengewe huku mtu mmoja anamsafara wa magari 100!
Na wazungu wanatukejeli tu,mpaka picha ya choo tulichosaidiwa kujengwa inawekwa kwenye tovuti ili waweke kumbukumbu ya kuwakata midomo
 
Um
Sijui tumelaaniwa na nani yarabi! Hata vyoo? How comes choo cha shule kinaachwa hadi kifikie hali inayoonekana kwenye picha ya kwanza? Mkuu wa wilaya yupo; afisa elimu wilaya yupo; DED yupo; mbunge yupo; (wote hao ni mwendo wa VX-R V8); maafisa kata wapo; kamati za shule zipo; wazazi wapo; mwalimu mkuu yupo; walimu wapo; tatizo nini? Kazi yao nini? Kula mishahara?

Hadi beberu atoke maelfu ya maili huko kugundua kuna vyoo vya shule nchini Tanzania vimechoka? Nchi hii haina tatizo la fedha tena; lilishakuwa historia tangu awamu ya tano iingie madarakani! Wapinzani walokuwa wanatuchelewesha hawapo tena!
Umenena vema ila umesahau kuwa hao walimu na wajumbe wa kamati za shule ukiona wanapojistili hicho choo cha shule ni bora, ktk mazingira hayo hawawezi kuona umuhimu wa vyoo bora kwa wanafunzi 🎃
 
Sijui tumelaaniwa na nani yarabi! Hata vyoo? How comes choo cha shule kinaachwa hadi kifikie hali inayoonekana kwenye picha ya kwanza? Mkuu wa wilaya yupo; afisa elimu wilaya yupo; DED yupo; mbunge yupo; (wote hao ni mwendo wa VX-R V8); maafisa kata wapo; kamati za shule zipo; wazazi wapo; mwalimu mkuu yupo; walimu wapo; tatizo nini? Kazi yao nini? Kula mishahara?

Hadi beberu atoke maelfu ya maili huko kugundua kuna vyoo vya shule nchini Tanzania vimechoka? Nchi hii haina tatizo la fedha tena; lilishakuwa historia tangu awamu ya tano iingie madarakani! Wapinzani walokuwa wanatuchelewesha hawapo tena!

Umeandika kwa hisia kali, pole sana.

Hilo ndo lengo la mabeberu! kushika hisia za walengwa ili waendelee kutucolonize kifikra

Hivi unafikiri kwao hakuna maskini wa kutupwa tena ambao hata hawajui kesho yao kama wataishi?!
Hujiulizi kwanini wasiaaidie huko?!

Beware misaada yao ndo umaskini wetu.
 
Back
Top Bottom