UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

UTU: Ubalozi wa Marekani wasaidia ujenzi wa vyoo vya kisasa kwenye shule za Iringa na Morogoro

... misaada ya kibinadamu inamlenga mhusika moja kwa moja; sio ile inayoingizwa "fuko kuu" halafu inaenda kununua wasaliti au kuibia kura.
Hiyo ni akili ndogo, BTW upinzani wote ni wasaliti, hasa CHADEMA. Wanangalia matumbo yao
 
Hii ya lini kwani? Si mlisema mabeberu wamekataa kutoa msaada kwa ajili ya Lisu kushindwa uchaguzi?
"Kuna mambo yanatia abu sana.Hii ni nchi ambayo inajisifu ni matajiri sana na wananunua madege kila kukicha ,mara uchui wa kati sijui nini mnashindwa kujenga vyoo
Meko Mwizi na Tapeli sana ndiyo maana anajificha kwenye mambo ya uzalendo wakati hana uchungu na hii nchi huyu MHUTU" _ Kigogo
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Wamarekani watusaidie kupaka rangi jengo la Ufipa!
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Tupo bussy na mindege.

Tano tena
 
Hapo watakwambia hao ni wadau wa maendeleo,subiri waseme kura ziliibwa utaisikia mabeberu hao,mara vita vya kiuchumi na porojo zingine

Huku watu wananunu gari za mil 450+
 

Attachments

  • 20201124_182411.jpg
    20201124_182411.jpg
    21.4 KB · Views: 1
Msaliti LISU amesalitiwa mwenyewe na Mabeberu.
Kinachouma na kukera hapa ...ni jinsi Kamanda Lisu anavyopuuzwa....! Kwa taflani ile aliyoiwasha ilitakiwa Marekani na Wale EU wafunge kabisa balozi zao na kusepa ili mzee Magu ajione kasuswa sasa kinyume wanaendelea kusaidia..! Basi aombe wasaidie hata kuboresha vile vibanda k'ndoni ufipa...!!!
 
"Kuna mambo yanatia abu sana.Hii ni nchi ambayo inajisifu ni matajiri sana na wananunua madege kila kukicha ,mara uchui wa kati sijui nini mnashindwa kujenga vyoo
Meko Mwizi na Tapeli sana ndiyo maana anajificha kwenye mambo ya uzalendo wakati hana uchungu na hii nchi huyu MHUTU" _ Kigogo
Hebu tulia kwanza, naona una mihemko sana.
 
Hiyo ni akili ndogo, BTW upinzani wote ni wasaliti, hasa CHADEMA. Wanangalia matumbo yao
... akili ndogo ni walioshindwa kujenga matundu ya vyoo ndani ya miaka 59 ya uhuru hadi wasaidiwe na mabeberu huku wakitembelea VX-R V8!
 
... sijui tumelaaniwa na nani yarabi! Hata vyoo? How comes choo cha shule kinaachwa hadi kifikie hali inayoonekana kwenye picha ya kwanza? Mkuu wa wilaya yupo; afisa elimu wilaya yupo; DED yupo; mbunge yupo; (wote hao ni mwendo wa VX-R V8); maafisa kata wapo; kamati za shule zipo; wazazi wapo; mwalimu mkuu yupo; walimu wapo; tatizo nini? Kazi yao nini? Kula mishahara?

Hadi beberu atoke maelfu ya maili huko kugundua kuna vyoo vya shule nchini Tanzania vimechoka? Nchi hii haina tatizo la fedha tena; lilishakuwa historia tangu awamu ya tano iingie madarakani! Wapinzani walokuwa wanatuchelewesha hawapo tena!
Sasa bado vyoo vilivyomo katika shule na hosteli za ghorofa! Katika karne hii tunashindwa kuhudumia vyoo vyenye kutumia maji na tumerudi kwenye kutumia "matundu" kujisaidia. Itafika mahali tutaanza kutenga mapori ya kujisaidia. Bila aibu, dunia ya leo, kiongozi kweli anazungumzia upungufu wa MATUNDU ya vyoo!

Amandla...
 
Ukitaka kujua akili ya masikini hapo mtaani kwenu, jaribu tu kununua nyama za kutosha kisha mpe mmojawapo akawagawie wenzake. Vipaumbele vya CCM ni vya kimasikini sana.
 
Mzungu ametambua mahitaji ya vyoo kwa watoto wetu, Wazungu wabarikiwe.
 
Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo

Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho

View attachment 1656831

Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .

View attachment 1656832

Mungu wabariki Wazungu
Kuna thread unasoma unaona kabisa mtu hajacum ana miaka mitatu
 
Back
Top Bottom