Hiyo ni akili ndogo, BTW upinzani wote ni wasaliti, hasa CHADEMA. Wanangalia matumbo yao... misaada ya kibinadamu inamlenga mhusika moja kwa moja; sio ile inayoingizwa "fuko kuu" halafu inaenda kununua wasaliti au kuibia kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni akili ndogo, BTW upinzani wote ni wasaliti, hasa CHADEMA. Wanangalia matumbo yao... misaada ya kibinadamu inamlenga mhusika moja kwa moja; sio ile inayoingizwa "fuko kuu" halafu inaenda kununua wasaliti au kuibia kura.
Msaliti LISU amesalitiwa mwenyewe na Mabeberu.Hatukatai misaada isiyokuwa na mizengwe....isipokuwa Lissu sasa sijui itakuwaje?
"Kuna mambo yanatia abu sana.Hii ni nchi ambayo inajisifu ni matajiri sana na wananunua madege kila kukicha ,mara uchui wa kati sijui nini mnashindwa kujenga vyooHii ya lini kwani? Si mlisema mabeberu wamekataa kutoa msaada kwa ajili ya Lisu kushindwa uchaguzi?
Wamarekani watusaidie kupaka rangi jengo la Ufipa!Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu
Ufadhili wa mabeberu...wabomoe choo chao tutajenga wenyewe, hela ya ndege tunayo tukose ya choo...hehehehhe
nje ya madaWamarekani watusaidie kupaka rangi jengo la Ufipa!
Tupo bussy na mindege.Taarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu
Hapo watakwambia hao ni wadau wa maendeleo,subiri waseme kura ziliibwa utaisikia mabeberu hao,mara vita vya kiuchumi na porojo zingine
Huku watu wananunu gari za mil 450+
Kinachouma na kukera hapa ...ni jinsi Kamanda Lisu anavyopuuzwa....! Kwa taflani ile aliyoiwasha ilitakiwa Marekani na Wale EU wafunge kabisa balozi zao na kusepa ili mzee Magu ajione kasuswa sasa kinyume wanaendelea kusaidia..! Basi aombe wasaidie hata kuboresha vile vibanda k'ndoni ufipa...!!!Msaliti LISU amesalitiwa mwenyewe na Mabeberu.
Hebu tulia kwanza, naona una mihemko sana."Kuna mambo yanatia abu sana.Hii ni nchi ambayo inajisifu ni matajiri sana na wananunua madege kila kukicha ,mara uchui wa kati sijui nini mnashindwa kujenga vyoo
Meko Mwizi na Tapeli sana ndiyo maana anajificha kwenye mambo ya uzalendo wakati hana uchungu na hii nchi huyu MHUTU" _ Kigogo
Kwani hii misaada ina mashariti ya kibeberu? Maana haturuhusu mashariti ya kibeberu,kama kuruhusu ushoga.Hii ya leo , misaada ya kibinadamu itaendelea tu
... akili ndogo ni walioshindwa kujenga matundu ya vyoo ndani ya miaka 59 ya uhuru hadi wasaidiwe na mabeberu huku wakitembelea VX-R V8!Hiyo ni akili ndogo, BTW upinzani wote ni wasaliti, hasa CHADEMA. Wanangalia matumbo yao
Sasa bado vyoo vilivyomo katika shule na hosteli za ghorofa! Katika karne hii tunashindwa kuhudumia vyoo vyenye kutumia maji na tumerudi kwenye kutumia "matundu" kujisaidia. Itafika mahali tutaanza kutenga mapori ya kujisaidia. Bila aibu, dunia ya leo, kiongozi kweli anazungumzia upungufu wa MATUNDU ya vyoo!... sijui tumelaaniwa na nani yarabi! Hata vyoo? How comes choo cha shule kinaachwa hadi kifikie hali inayoonekana kwenye picha ya kwanza? Mkuu wa wilaya yupo; afisa elimu wilaya yupo; DED yupo; mbunge yupo; (wote hao ni mwendo wa VX-R V8); maafisa kata wapo; kamati za shule zipo; wazazi wapo; mwalimu mkuu yupo; walimu wapo; tatizo nini? Kazi yao nini? Kula mishahara?
Hadi beberu atoke maelfu ya maili huko kugundua kuna vyoo vya shule nchini Tanzania vimechoka? Nchi hii haina tatizo la fedha tena; lilishakuwa historia tangu awamu ya tano iingie madarakani! Wapinzani walokuwa wanatuchelewesha hawapo tena!
Kuwa makini na wazungu we jimama,usimuige mtoa mada utaumia.Mzungu ametambua mahitaji ya vyoo kwa watoto wetu, Wazungu wabarikiwe.
Kuna thread unasoma unaona kabisa mtu hajacum ana miaka mitatuTaarifa inayosambaa inaonyesha kwamba maboresho hayo yamefanyika kwanye shule 25 za Mikoa ya Iringa na Morogoro , ambapo wanafunzi elfu 14 wametajwa kunufaika na mpango huo
Mojawapo ya choo kilivyoonekana kabla ya Maboresho
View attachment 1656831
Hapa chini ni muonekano mpya baada ya Maboresho .
View attachment 1656832
Mungu wabariki Wazungu