Hiyo ni statistical projection tu.Inaweza isiwe ni utabiri, lakini hii scenario utaiitaje?
Metafacts gani zinashabihiana kwa asilimia 99? Umepimaje ukapata asilimia 99? Unahakikishaje hizo habari zimetabiriwa na hazijarejewa?Kanithibitishia kumbe ni lijinga, kati ya watu bilioni 8 mmoja aje na metafacts zinazoshabihiana kwa asilimia 99 hii ni maajabu hata probability haijui huyo.
Mimi au wewe? Halafu sio Hodi ni Wodi.We si umetoroka hodi ya machizi na umepokonya simu ya muuguzi
Wakati chizi anakamatwa alijifanya kuwa mkosoajiMimi au wewe? Halafu sio Hodi ni Wodi.
Hoja si Trump Kupigwa Risasi, ila details zilizotengenezwa ambazo Zina match pakubwa na zile ambazo zimetokea. Angetabiri kuwa Trump angepigwa risasi, sidhani kwa akili zangu ningekuja kupost, lakini angalia kwa makini alivyotengeneza detais juu ya matukio yatakayotokea. Si rahisi, na ni nearly impossible, Mimi na wewe tunalielewa Hilo.Hiyo ni statistical projection tu.
Ni kama vile unavyoweza kumwambia mkulima anayeishi sehemu yenye nyoka wengi na kufanya kazi vichakani kuwa katika maisha yake kuna uwezekano siku moja akagongwa na nyoka.
It is a matter of statistical projection.
Mimi nimeshangaa Trump kawezaje kumaliza urais miaka minne bila kupigwa risasi. Nimeshangaa sana.
Hivi Umechanganyikiwa au? Au ndio Shetani nae kaingia kazini, ubaya Shetani hana urafiki na watu wanaojipendekeza kwake. Maana tayari ni debe tupuWakati chizi anakamatwa alijifanya kuwa mkosoaji
Wakati anakamatwa yeye ndio alikuwa anaonekana kama mjibu mzuriHivi Umechanganyikiwa au? Au ndio Shetani nae kaingia kazini, ubaya Shetani hana urafiki na watu wanaojipendekeza kwake. Maana tayari ni debe tupu
Details gani? Amezitabiri lini? Unajuaje alizitabiri yeye na si kwamba kazirejea baada ya tukio? Unajuaje kwamba katabiri tu na hajapanga yeye?Hoja si Trump Kupigwa Risasi, ila details zilizotengenezwa ambazo Zina match pakubwa na zile ambazo zimetokea. Angetabiri kuwa Trump angepigwa risasi, sidhani kwa akili zangu ningekuja kupost, lakini angalia kwa makini alivyotengeneza detais juu ya matukio yatakayotokea. Si rahisi, na ni nearly impossible, Mimi na wewe tunalielewa Hilo.
HEHEHEHE huyu ndie Atheist, Dah umejishusha thamani, vingine ungesema no comments walau watu wangekuona una kitu, unajitutumua mwisho unadhalilika mbele ya werevu.Hujaelewa somo.
Marekani kuna bunduki zaidi ya milioni 433. Na kuna watu takriban milioni 333.
Hizi ni zilizopo mikononi mwa raia tu.
Idadi ya bunduki imezidi idadi ya watu.
Tukigawana kila mtu anapata bunduki moja na bunduki milioni mia moja zinabaki.
Kila siku watu wanapigwa risasi.
Na Trump anachukiwa sana na watu wengi sana.
Sasa hapo unahitaji kuwa genius kutabiri kwamba kuna siku moja mtu mmoja atampiga risasi Trump?
Brother, nimetuma link kama uthibitisho, au YouTube algorithms zinadanganya? Hiyo ni miezi minne kabla, si Leo Wala Jana kaka yanguDetails gani? Amezitabiri lini? Unajuaje alizitabiri yeye na si kwamba kazirejea baada ya tukio? Unajuaje kwamba katabiri tu na hajapanga yeye?
Kwanza kabisa, nani kakwambia nina haja ya kuonekana mjuzi hapa?HEHEHEHE huyu ndie Atheist, Dah umejishusha thamani, vingine ungesema no comments walau watu wangekuona una kitu, unajitutumua mwisho unadhalilika mbele ya werevu.
Walete kati. Ushapagawa weweDetails gani? Amezitabiri lini? Unajuaje alizitabiri yeye na si kwamba kazirejea baada ya tukio? Unajuaje kwamba katabiri tu na hajapanga yeye?
Unakimbia kujibu maswali.Walete kati. Ushapagawa wewe
1. Ametabiri nini?Brother, nimetuma link kama uthibitisho, au YouTube algorithms zinadanganya? Hiyo ni miezi minne kabla, si Leo Wala Jana kaka yangu
OK basi kama ni ushamba subiri nikutumie link hii hapa.Unakimbia kujibu maswali.
1. Ametabiri nini?
2. Ametabiri lini?
3. Unahakikishaje katabiri kabla na hajarejea baada ya tukio?
4. Unahakikishaje katabiri na hajapanga yeye?
OK basi kama ni ushamba subiri nikutumie link hii hapa.
View: https://youtu.be/Ey0qVzG8_vU?si=1ePlC37_U8EGcrd7Haya
1. Ametabiri vingi, lakini hoja ya mezani ni kuwa Trump atakoswakoswa na risasi ya sikio (akiwa amelishika sikio la kulia) risasi ambayo ilipita cms away kupasua kichwa na kupiga sikio. Cha ajabu zaidi nimeona ni miniseconds kabla ya risasi haijafyatua ubongo wake, ttukuletee picha ya mjongeo ya Trump jinsi alivyonusurika kufa?
2. Nikiangalia hiyo video ni zaidi ya miezi mitatu, wewe Kiranga una lipi la kusema juu ya hili, au Youtube nayo inahujumiwa?
3. Hapa jitafakari kisha utajijibu mwenyewe
4. Alietabiri na alietenda tukio ni watu wawili tofauti, hawana mahusiano hata kidogo, tusubiri ripoti ya kiuchunguzi.
Sikuelewi, tafadhali kuwa mstaarabu, utaheshimika. Ukiendelea na Ujinga wako nitaku ignore, ni hayo tu kwa sasa.Wakati anakamatwa yeye ndio alikuwa anaonekana kama mjibu mzuri
Hehehe haya sasa ndio maajabu ya Kiranga, nitakufundisha kanuni hii, pale unapoona umeharibu kaa kimya, maana kadri unavyozidi kujitutumua ndivyo unavyozidi kudhalilika, haya basi tuonyeshe metadata za video hii ikionyesha kuwa hii ni edited video tuonyeshe pia original source ya video amabyo ni prior kabla ya tukio la shambulizi kutokea. Maana tunaweza kwenda kuishtaki Youtube na kulipa mabilioni ya fedha (wewe Kiranga ni popoma na pia ni layman, hutaweza kuelewa hili).Hivi wewe hujui kwamba Youtube video inaweza kuwa edited?
Yani kitendo kwamba aliyetabiri na aliyetenda kitendo (ambaye ameshauawa) ni watu wawili tofauti kishakukubalisha kwamba hawananuhusiano?
Too disappointed kaka. Basi Mimi sina cha kukujibu.1. Ametabiri nini?
2. Ametabiri lini?
3. Unahakikishaje katabiri kabla na hajarejea baada ya tukio?
4. Unahakikishaje katabiri na hajapanga yeye?