zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Mwalimu anawalaani wote waliomkandaAmebaki kulalamika tuu π hapo alipoanguka anyanyuke na kusonga mbele kama injili π
Kuna comment moja hv anawalalamikia ccm π huyu ndugu yetu ameshachanganyikiwa πMwalimu anawalaani wote waliomkanda
CCM ndio waliomkanda huko PSRS au?Kuna comment moja hv anawalalamikia ccm π huyu ndugu yetu ameshachanganyikiwa π
N kuchanganyikiwa tuu, huyu mtoa mada hayupo sawa π matokeo yamemuathiriCCM ndio waliomkanda huko PSRS au?
Kukandwa na PSRS hakuzoeleki kachoma nauli kachoma hela halafu anaishia kukandwaN kuchanganyikiwa tuu, huyu mtoa mada hayupo sawa π matokeo yamemuathiri
Avumilie tuu hakuna namna πKukandwa na PSRS hakuzoeleki kachoma nauli kachoma hela halafu anaishia kukandwa
PSRS wanakanda watu mpaka kukitokea nyingine wakawaita sijui km watatamani kwenda wakikumbuka walivyokandwaAvumilie tuu hakuna namna π
Ndo maana Namshauri mtoa mada akubali kuwa amekosea na asonge mbelePSRS wanakanda watu mpaka kukitokea nyingine wakawaita sijui km watatamani kwenda wakikumbuka walivyokandwa
Kufeli usaili ndio kuteswa? π Bado hujasema jombaaaaLakini ni CCM Hawa Hawa wanaotutesa watanzania.
Jiajiri mzembe wewe.Nisiwachoshe. Kama mliamua kiwango Cha chini ni 50%, haya mambo ya kuishia 80% mmeyatoa wapi??
Kama huendelei na usaili bc ujue umefeli π tuliaNani kafail paper na wewe??
Pole sana ndugu, stress za kufeli zimekufanya unipakazie mambo ambayo ww mwnyw huna uhakika nazo πUkute wewe ndiyo wale wanaotembezwa sijuwi maandamano ya kumfanya ni nini Samia, yaani