Utumishi, Wizara ya Fedha na TAKUKURU kwanini mnaruhusu watumishi wa umma kukopea mishahara yao hadi Senti ya mwisho? Hamuoni kuwa inachangia Rushwa?

Utumishi, Wizara ya Fedha na TAKUKURU kwanini mnaruhusu watumishi wa umma kukopea mishahara yao hadi Senti ya mwisho? Hamuoni kuwa inachangia Rushwa?

we acha tu Ndugu,. mabenki yanashindana kukopesha watumishi, hivyo wanakwangua hadi Senti ya mwisho! almradi Chao kinarudi!
mfano mtu mwenye mshahara wa laki sita, akikatwa mkopo laki nne, lakini mbili inakatwa katwa mifuko ya jamii na bodi ya Mikopo ya elimu kinachobaki hapo Ni Senti hakitoshi hata nauli kuja kazini!

huu ni uongo. unaongea kwa assumption tuu. huo mkopo nani anaupitisha??
 
Fedha yako haina kazi, Iko siku utakopa usomeshe watoto, ulipe Kodi, hospital na kutunza wazee nyumbani, hutaandiki utumbo ulioandika.
 
Unashangaa kukatwa mshahara wote hiyo haitoshi watu wanakopa tena kwenye visakosi vya mitaani ambapo wanashikilia kadi ya benki, hivyo kinachobakia baada ya benk kukata nacho kinamezwa na sakosi.

Maisha ni magumu kuliko unavyoelewa.
 
Hapa JF kuna watu wazushi ukiwemo wewe Mleta mada. Kwa taarifa yako Mtumishi akikopa makato yakaathiri 1/3 ya Gross pay yake makato hayapitishwi kamwe na huo mkopo hauchukui ng'oo. Rejea taarifa ya CAG ya mwaka huu kipengele cha Mishahara huwezi kukuta hoja kama hiyo.
Kama yupo mtumishi wa aina hiyo anayekatwa mpaka kubaki na elfu 5 unayosema tatizo laweza kuwa ALISHUSHWA MSHAHARA AKIWA TAYARI KAKOPA na hivyo kuathiri uhalisia, ANAKATWA DENI LA SERIKALI KUREJESHA FEDHA ZA HASARA AU WIZI, AMEBADILISHWA CHEO AU TAASISI KUTOKA KIKUBWA KUJA KIDOGO.
Huko serikalini upo mfumo ambao hauwezi kuruhusu mtumishi kukopa zaidi ya 1/3 labda kama kwa sasa haupo lkn najua kwa sasa ndio uppo imara huenda kutokana na maendeleo ya ICT.
Sheria ipo hivyo,Ila maafisa utumishi huwa wanapigwa sound hasa kwa watu wa ngazi za juu huku ,Kuna watu nawafahamu wanapokea elfu 60 Yani mtu kakopa m .40

Hilo haliwezekani tu kwa wachovu na watu wa halmashauri
 
Sheria ipo hivyo,Ila maafisa utumishi huwa wanapigwa sound hasa kwa watu wa ngazi za juu huku ,Kuna watu nawafahamu wanapokea elfu 60 Yani mtu kakopa m .40

Hilo haliwezekani tu kwa wachovu na watu wa halmashauri
Mimi bodi ya mkopo waliponitia kidole nilibakiwa na 160,000/= hapo Nina mke na mtoto, kodi ya pango, nauli ya kazini na mengine mengi. Maisha yana siri nyingi sana
 
Mimi bodi ya mkopo waliponitia kidole nilibakiwa na 160,000/= hapo Nina mke na mtoto, kodi ya pango, nauli ya kazini na mengine mengi. Maisha yana siri nyingi sana
Kwa mtumishi sishangai ,Ila ukimsimulia raia ataona uongo tu,wanajuaga tunalipwa labda million 2, 3 hahaha
 
Mtumishi yoyote wa Umma, ili afanikiwe walau kujenga kibanda, kununua gari, kubuni biashara mkopo hauepukiki.

Kufikiria eti , akikopa mkopo mkubwa na kupokea pesa ndogo mwisho wa mwezi basi huyo ni mla rushwa ni kuwakosea adabu watumishi.

Kama unaoushahidi kwa hilo peleka unakolalamikia, watumishi wengi magari yao yanatumika kutoa huduma kwa umma huku wakiwa na hiyo mikopo.
 
Kwa mtumishi sishangai ,Ila ukimsimulia raia ataona uongo tu,wanajuaga tunalipwa labda million 2, 3 hahaha
Mh Kikwete nitamkumbuka sana, kila mwaka alikuwa anaongeza kitu kama laki hivi hii ilisaidia kupunguza msoto
 
Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!

Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!

Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?

Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Kama na ofisi ya umma na wana cheque number, Lawson haiwezi kukubali zaidi ya 2/3 ya mshahara kama makato. La bda utufafanunulie zaidi. Na pia inakuwaje mtu kama wewe una access na mafaili confidential?
 
Watumishi wa umma utawajua tu

Majungu na fitna hadi mitandaoni
 
Hapa JF kuna watu wazushi ukiwemo wewe Mleta mada. Kwa taarifa yako Mtumishi akikopa makato yakaathiri 1/3 ya Gross pay yake makato hayapitishwi kamwe na huo mkopo hauchukui ng'oo. Rejea taarifa ya CAG ya mwaka huu kipengele cha Mishahara huwezi kukuta hoja kama hiyo.
Kama yupo mtumishi wa aina hiyo anayekatwa mpaka kubaki na elfu 5 unayosema tatizo laweza kuwa ALISHUSHWA MSHAHARA AKIWA TAYARI KAKOPA na hivyo kuathiri uhalisia, ANAKATWA DENI LA SERIKALI KUREJESHA FEDHA ZA HASARA AU WIZI, AMEBADILISHWA CHEO AU TAASISI KUTOKA KIKUBWA KUJA KIDOGO.
Huko serikalini upo mfumo ambao hauwezi kuruhusu mtumishi kukopa zaidi ya 1/3 labda kama kwa sasa haupo lkn najua kwa sasa ndio uppo imara huenda kutokana na maendeleo ya ICT.
Swala la 1/3 liko wazi kbs na linafanya kazi vzr, mleta mada ana hulka flani...
 
Mkuu usiwe mbishi! Mambo mengi Sana yenye utaratibu mbona yanafanyika kinyume na utaratibu?!
au nikupe mifano mikubwa!?
Taratibu za manunuzi ya serikali zinasemaje? mbona tunatekeleza miradi mingi kwa maagizo?
Hata kwenye mishahara Ni hivyo hivyo, waajili wanaidhina Mikopo ya watu hivyo hivyo juu kwa juu!
kweli?!!! sikuwa nafikiria kama mishahara inaguswa hivyo kipindi hiki, binafsi mi ni mtumishi pia na kuna wakati nilikwama kupita maelezo hadi nikakimbilia maboto. cha ajabu ni kuwa walinijibu sikopesheki kwa kiasi hicho nilichotaka sababu 1/3 haiukubali. nilishangaa maana niwajuavyo maboto/bayport kama ingelikuwa inawezekana basi lazima wangenipiga hela.........hawaachi fursa hiyo
 
Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!

Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!

Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?

Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Sheria za mikopo hautakiwi kukatwa zaidi ya 50% ya mshahara , hao watakuwa wamekopa kwenye vikoba na sio bank.
 
Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!

Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!

Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?

Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Usitegemee Mshahara kwa mfano mtu amekopa amenunua hiace anaingiza kila cku huo si ni Mshahara mwingine. Unataka watu wabweteke wategemee Mshahara. Inategemea umekopa kufanyia nin
 
Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!

Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!

Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?

Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Labda huko local government.
Maana mambo yao yanaendeshwa ki local zaidi.
Huku sisi sheria na kanuni zinazingatiwa.
Ila kama alikopa akiwa na akili timamu na anakatwa yeye mwenyewe tulia
 
Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!

Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!

Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?

Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Hizo salary slip za watu umeziona wapi?, acha kupotosha kama kenge!
 
Mkuu una wadhifa gani kufungua hadi strong room na kuanza kuperuzi mafaili ya watu?
Hata hivyo kwenye faili hakuna salary sleep, wewe umejuaje yote hayo?
Hivi kimantiki ruhusa ya kukopa na kuidhinisha mwisho wa kiwango cha kukopa si kinatolewa ns mwajiri?
Hapo mfanyakazi maskini ana kosa gani?
Huyu itakuwa ana stationary anaprint salary slip za watumishi.
 
Back
Top Bottom