Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
we acha tu Ndugu,. mabenki yanashindana kukopesha watumishi, hivyo wanakwangua hadi Senti ya mwisho! almradi Chao kinarudi!
mfano mtu mwenye mshahara wa laki sita, akikatwa mkopo laki nne, lakini mbili inakatwa katwa mifuko ya jamii na bodi ya Mikopo ya elimu kinachobaki hapo Ni Senti hakitoshi hata nauli kuja kazini!
huu ni uongo. unaongea kwa assumption tuu. huo mkopo nani anaupitisha??