mbudunge
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,735
- 1,089
Mkuu! Unae mdai kakudanganya mwambie hakuna mtumishi anayekopea mshahara wake mpaka abaki na sifuriKuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na chenji kwenye AKAUNTI?
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!