Utumishi, Wizara ya Fedha na TAKUKURU kwanini mnaruhusu watumishi wa umma kukopea mishahara yao hadi Senti ya mwisho? Hamuoni kuwa inachangia Rushwa?

Utumishi, Wizara ya Fedha na TAKUKURU kwanini mnaruhusu watumishi wa umma kukopea mishahara yao hadi Senti ya mwisho? Hamuoni kuwa inachangia Rushwa?

we acha tu Ndugu,. mabenki yanashindana kukopesha watumishi, hivyo wanakwangua hadi Senti ya mwisho! almradi Chao kinarudi!
mfano mtu mwenye mshahara wa laki sita, akikatwa mkopo laki nne, lakini mbili inakatwa katwa mifuko ya jamii na bodi ya Mikopo ya elimu kinachobaki hapo Ni Senti hakitoshi hata nauli kuja kazini!
Hakuna kitu kama hicho,ni sheria kabisa makato ya mkopo hyatakiwi kuzidi 1/3 ya mshahara...,
 
Unashangaa kukatwa mshahara wote hiyo haitoshi watu wanakopa tena kwenye visakosi vya mitaani ambapo wanashikilia kadi ya benki, hivyo kinachobakia baada ya benk kukata nacho kinamezwa na sakosi.

Maisha ni magumu kuliko unavyoelewa.
umeona eeeh
 
Mkuu una hoja nzuri sana, sema humu kuna mapepo ya kubisha kila kitu.

Ulichokiongea ni ukweli mtupu.
 
Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!

Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!

Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?

Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Una hoja nzuri sana
 
Mkuu una hoja nzuri sana, sema humu kuna mapepo ya kubisha kila kitu.

Ulichokiongea ni ukweli mtupu.
kuna watu wabishi tu, sijui wanaona faida kubisha; Hawajui Kama Mikopo mikubwa inachangia Sana kupunguza uadilifu kwa watumishi wa umma!
pia mishahara imewekwa kwa mahesabu maalum ili yamtoshe mwajiliwa kujikimu ili asipende rushwa, Sasa Kama anachukua mkopo pesa yote inakatwa unafikili atakataa rushwa? mbaya zaidi Mtumishi huyo ananunua gari hela ya mafuta unadhan Atapata wapi Kama si-kuforce rushwa au Umalaya?
 
kuna watu wabishi tu, sijui wanaona faida kubisha; Hawajui Kama Mikopo mikubwa inachangia Sana kupunguza uadilifu kwa watumishi wa umma!
pia mishahara imewekwa kwa mahesabu maalum ili yamtoshe mwajiliwa kujikimu ili asipende rushwa, Sasa Kama anachukua mkopo pesa yote inakatwa unafikili atakataa rushwa? mbaya zaidi Mtumishi huyo ananunua gari hela ya mafuta unadhan Atapata wapi Kama si-kuforce rushwa au Umalaya?
Mikopo inaweza kukufanya uwe maskini maisha yako yote. Ni kifungo.

Ila pia ukitaka kufanikiwa kwa haraka ni lazima ukope.

Maana yake ni nini? Kopa ukiwa na sababu na malengo. Hapo ndo watu wana feli na hapo ndo nchi zinafeli.
 
Mikopo inaweza kukufanya uwe maskini maisha yako yote. Ni kifungo.

Ila pia ukitaka kufanikiwa kwa haraka ni lazima ukope.

Maana yake ni nini? Kopa ukiwa na sababu na malengo. Hapo ndo watu wana feli na hapo ndo nchi zinafeli.
kabisa mkuu
 
kuna watu wabishi tu, sijui wanaona faida kubisha; Hawajui Kama Mikopo mikubwa inachangia Sana kupunguza uadilifu kwa watumishi wa umma!
pia mishahara imewekwa kwa mahesabu maalum ili yamtoshe mwajiliwa kujikimu ili asipende rushwa, Sasa Kama anachukua mkopo pesa yote inakatwa unafikili atakataa rushwa? mbaya zaidi Mtumishi huyo ananunua gari hela ya mafuta unadhan Atapata wapi Kama si-kuforce rushwa au Umalaya?
Unachosema upo sahihi,huko kwenye mafaili ndicho ulichokikuta,huku mtaani ndio balaa,kuna vikundi na vicoba.
USHAURI:
Serikali iwakopeshe watumishi wake mikopo isiyo na riba ili wajikwamue na hali iliyowakuta ya upungufu mkubwa wa fedha katika kukabiliana na mahitaji yao.Pia Elimu ya ujasiria mali itolewe maeneo ya kazi kuwapa watumishi mbinu ya kujiongezea kipato.
 
Makato ya mkopo kwa mwezi hayatakiwi kuzidi 40% ya take home hiyo ni sheria
 
Unachosema upo sahihi,huko kwenye mafaili ndicho ulichokikuta,huku mtaani ndio balaa,kuna vikundi na vicoba.
USHAURI:
Serikali iwakopeshe watumishi wake mikopo isiyo na riba ili wajikwamue na hali iliyowakuta ya upungufu mkubwa wa fedha katika kukabiliana na mahitaji yao.Pia Elimu ya ujasiria mali itolewe maeneo ya kazi kuwapa watumishi mbinu ya kujiongezea kipato.
Wabishi hawaelewi.. mtu benki kakopa 50% ya mshahara. Bado huku mtaani kwenye microfinance ana mkopo bado kwenye vikoba, bado amekopa kwa marafiki zake.

Unakuta mtu ana mshahara wa milioni moja net. Lakini madeni ya mwezi si chini ya laki nane.
 
Wabishi hawaelewi.. mtu benki kakopa 50% ya mshahara. Bado huku mtaani kwenye microfinance ana mkopo bado kwenye vikoba, bado amekopa kwa marafiki zake.

Unakuta mtu ana mshahara wa milioni moja net. Lakini madeni ya mwezi si chini ya laki nane.
wanataka Sijui Hadi tuanze kutajana humu!
wanapinga tu lakini hizi tabia za kukopakopa zimezidi Sana mi naona hiki Ni chanzo Cha kupenda rushwa
 
Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!

Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!

Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?

Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!

Kwanza kabisa ningependa kumshukuru mungu aliyenipa uwezo wa kuweza kuja hapa na kuchangia mawazo yako Mtumishi mwenzangu
pili nikukumbushe kuhusu miiko ya kiutumishi iliyopo katika sheria ya utumishi wa umma no 8 ya mwaka 2002 na kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003 kwa pamoja na kanuni za maadili ya utendaji katika utumishi wa umma..kuhusu kutunza siri za umma na
Za kitumishi ni kosa kisheria kutoa kitu chochote ambacho kimenadiwa kuwa........
Narudi kwenye mada yetu hapo juu...

1.Si kweli kwamba Maofisi ya umma ya serikali kwa sasa kuna mafaili yanaitwa mafaili ya mishahara (labda kama ulizungumzia zamani) sawa -nafikiri ulizungumzia private sectors
na nikukumbushe kuwa kwa sasa salary slip zinapatikana electronically katika tovuti ya wizara ya fedha idara ya azina kitengo cha ICT (TEHAMA) kwenye tovuti yao na mtumishi mwenye uhitaji ufungua account na kujiunga ...unless unafanya kazi kitengo hicho au wewe ni afisa utumishi unaingia kwenye LAWSON

2.Ukomo wa mabaki ya mshahara baada ya kukopa ni 33.3% ya mshahara wote na mwisho wa kukopa kwa system nzima ya Lawson hairuhusu kukatwa makato zaidi ya 66.7% ya mshahara wa mtu (hiyo nakupa elimu chukua)

3.Nafikiri hizi si zama za sheria na kujituma napata mashaka na wajibu wako kazini

Mwisho nikukumbushe kuwa kuandika, kunakili au kutoa takwimu za uongo ,zinazopotosha watu ni kinyuma cha SHERIA YA MAKOSA YA KIMTANDAO Ya mwaka 2015 ibara ya 16 Asante!
 
Mkuu usiwe mbishi! Mambo mengi Sana yenye utaratibu mbona yanafanyika kinyume na utaratibu?!
au nikupe mifano mikubwa!?
Taratibu za manunuzi ya serikali zinasemaje? mbona tunatekeleza miradi mingi kwa maagizo?
Hata kwenye mishahara Ni hivyo hivyo, waajili wanaidhina Mikopo ya watu hivyo hivyo juu kwa juu!
We mzushi hakuna anayeweza kuingiza makato ya mkopo yakakubali kwenye lawson below moja ya tatu labda yafanywe na hazina
 
Mimi bodi ya mkopo waliponitia kidole nilibakiwa na 160,000/= hapo Nina mke na mtoto, kodi ya pango, nauli ya kazini na mengine mengi. Maisha yana siri nyingi sana
Halafu ukienda kuacha Kadi kwenye visacoss vya mitaani kuna watu wanajitia kushangaa. Mtoa mada Iko siku atapitia haya hatakuja kuandika mashudu.
 
Halafu ukienda kuacha Kadi kwenye visacoss vya mitaani kuna watu wanajitia kushangaa. Mtoa mada Iko siku atapitia haya hatakuja kuandika mashudu.
Acha kabisa nilitamani kwenda bodi niombe wanipunguzie makato
 
Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na chenji kwenye AKAUNTI?

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Hii nchi bwana....

Socialism kila mahali....

Socialism ilitokea kutokana na wivu kwa walionacho maana walitumia jasho lao kupata walichopata,na masikini kawa masikini sababu ya uzembe wake..

Kwavile masikini ni wengi,na wivu ni mwingi,wakaona wajenge dude linaloitwa serikali libebe mali za hawa wenye mali,wapewe wao bure!

Kwa hili,watu kukopa...unasema government knows whats best for people zaidi ya hao people wenyewe?

Alimradi kuna mutual agreement,na kikafanyika voluntary exchange bila coercision na within the laws of the country sidhani kuna mamlaka zaidi ya mtu binafsi kuamua!

Mtu kaamua kukopa kwa hiyari yake na anajua anachokifanya,then serikali inageuza watu wazima kama watoto ina decide how these people think and run their personal lives?

Watu wapo responsible for their own actions....wananchi wafundishwe how to run their lives and they are accountable for own actions only and not of others.....

Alikopa kwa kutokutumia akili consequences zimpate yeye yeye na familia yake,not others!

Oooh,akipata shida mfanyakazi serikali itapata hasara kupotelewa na mfanyakazi,jibu ni yes apotee ataajiriwa mwingine mwenye kujielewa....

Sijui rushwa itakua kubwa,kazi ya serikali ni kuchunguza na kufungulia wala rushwa kesi,sio kazi yako..ni kazi ya serikali hiyo!

Yaani wananchi washakua watoto sasa!
 
Acha watu wakope wafanye yao miaka 5 no mabadiliko ya mshahara huu utawala bora wa ajabu sana mtu yupo nyumba ya kupanga, watoto wasome wale bado nauli daaa! mtoa mada jitathmini upya hao uliowataja wote njaa kali na wao Wana kopa kama kawa
 
Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)

Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na chenji kwenye AKAUNTI?

Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Wanakopa ili kujaza gaps zilizoachwa na private sectors kwenye chain ya uchumi.
Leo hii watumishi wa umma ndio wanaofanya vizuri katika sekta binafsi kwani hata wanapoanguka wanainuka tena /(wanakopesheka)
 
Back
Top Bottom