Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
we acha tu Ndugu,. mabenki yanashindana kukopesha watumishi, hivyo wanakwangua hadi Senti ya mwisho! almradi Chao kinarudi!
mfano mtu mwenye mshahara wa laki sita, akikatwa mkopo laki nne, lakini mbili inakatwa katwa mifuko ya jamii na bodi ya Mikopo ya elimu kinachobaki hapo Ni Senti hakitoshi hata nauli kuja kazini!
Sheria ipo hivyo,Ila maafisa utumishi huwa wanapigwa sound hasa kwa watu wa ngazi za juu huku ,Kuna watu nawafahamu wanapokea elfu 60 Yani mtu kakopa m .40Hapa JF kuna watu wazushi ukiwemo wewe Mleta mada. Kwa taarifa yako Mtumishi akikopa makato yakaathiri 1/3 ya Gross pay yake makato hayapitishwi kamwe na huo mkopo hauchukui ng'oo. Rejea taarifa ya CAG ya mwaka huu kipengele cha Mishahara huwezi kukuta hoja kama hiyo.
Kama yupo mtumishi wa aina hiyo anayekatwa mpaka kubaki na elfu 5 unayosema tatizo laweza kuwa ALISHUSHWA MSHAHARA AKIWA TAYARI KAKOPA na hivyo kuathiri uhalisia, ANAKATWA DENI LA SERIKALI KUREJESHA FEDHA ZA HASARA AU WIZI, AMEBADILISHWA CHEO AU TAASISI KUTOKA KIKUBWA KUJA KIDOGO.
Huko serikalini upo mfumo ambao hauwezi kuruhusu mtumishi kukopa zaidi ya 1/3 labda kama kwa sasa haupo lkn najua kwa sasa ndio uppo imara huenda kutokana na maendeleo ya ICT.
Mimi bodi ya mkopo waliponitia kidole nilibakiwa na 160,000/= hapo Nina mke na mtoto, kodi ya pango, nauli ya kazini na mengine mengi. Maisha yana siri nyingi sanaSheria ipo hivyo,Ila maafisa utumishi huwa wanapigwa sound hasa kwa watu wa ngazi za juu huku ,Kuna watu nawafahamu wanapokea elfu 60 Yani mtu kakopa m .40
Hilo haliwezekani tu kwa wachovu na watu wa halmashauri
Kwa mtumishi sishangai ,Ila ukimsimulia raia ataona uongo tu,wanajuaga tunalipwa labda million 2, 3 hahahaMimi bodi ya mkopo waliponitia kidole nilibakiwa na 160,000/= hapo Nina mke na mtoto, kodi ya pango, nauli ya kazini na mengine mengi. Maisha yana siri nyingi sana
Mh Kikwete nitamkumbuka sana, kila mwaka alikuwa anaongeza kitu kama laki hivi hii ilisaidia kupunguza msotoKwa mtumishi sishangai ,Ila ukimsimulia raia ataona uongo tu,wanajuaga tunalipwa labda million 2, 3 hahaha
Kama na ofisi ya umma na wana cheque number, Lawson haiwezi kukubali zaidi ya 2/3 ya mshahara kama makato. La bda utufafanunulie zaidi. Na pia inakuwaje mtu kama wewe una access na mafaili confidential?Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!
Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!
Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?
Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Swala la 1/3 liko wazi kbs na linafanya kazi vzr, mleta mada ana hulka flani...Hapa JF kuna watu wazushi ukiwemo wewe Mleta mada. Kwa taarifa yako Mtumishi akikopa makato yakaathiri 1/3 ya Gross pay yake makato hayapitishwi kamwe na huo mkopo hauchukui ng'oo. Rejea taarifa ya CAG ya mwaka huu kipengele cha Mishahara huwezi kukuta hoja kama hiyo.
Kama yupo mtumishi wa aina hiyo anayekatwa mpaka kubaki na elfu 5 unayosema tatizo laweza kuwa ALISHUSHWA MSHAHARA AKIWA TAYARI KAKOPA na hivyo kuathiri uhalisia, ANAKATWA DENI LA SERIKALI KUREJESHA FEDHA ZA HASARA AU WIZI, AMEBADILISHWA CHEO AU TAASISI KUTOKA KIKUBWA KUJA KIDOGO.
Huko serikalini upo mfumo ambao hauwezi kuruhusu mtumishi kukopa zaidi ya 1/3 labda kama kwa sasa haupo lkn najua kwa sasa ndio uppo imara huenda kutokana na maendeleo ya ICT.
Bodi ya mkopo ndio wanaweza kuchukua hadi 1/3Swala la 1/3 liko wazi kbs na linafanya kazi vzr, mleta mada ana hulka flani...
kweli?!!! sikuwa nafikiria kama mishahara inaguswa hivyo kipindi hiki, binafsi mi ni mtumishi pia na kuna wakati nilikwama kupita maelezo hadi nikakimbilia maboto. cha ajabu ni kuwa walinijibu sikopesheki kwa kiasi hicho nilichotaka sababu 1/3 haiukubali. nilishangaa maana niwajuavyo maboto/bayport kama ingelikuwa inawezekana basi lazima wangenipiga hela.........hawaachi fursa hiyoMkuu usiwe mbishi! Mambo mengi Sana yenye utaratibu mbona yanafanyika kinyume na utaratibu?!
au nikupe mifano mikubwa!?
Taratibu za manunuzi ya serikali zinasemaje? mbona tunatekeleza miradi mingi kwa maagizo?
Hata kwenye mishahara Ni hivyo hivyo, waajili wanaidhina Mikopo ya watu hivyo hivyo juu kwa juu!
Sheria za mikopo hautakiwi kukatwa zaidi ya 50% ya mshahara , hao watakuwa wamekopa kwenye vikoba na sio bank.Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!
Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!
Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?
Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Mkuu pole sana, inaelekea jamaa kununua gari imekuuma sana hadi umemtungia uzihalafu Mikopo yenyewe Ni kununulia magari yasiyozalisha hahahah dah,
Usitegemee Mshahara kwa mfano mtu amekopa amenunua hiace anaingiza kila cku huo si ni Mshahara mwingine. Unataka watu wabweteke wategemee Mshahara. Inategemea umekopa kufanyia ninJana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!
Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!
Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?
Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Labda huko local government.Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!
Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!
Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?
Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Hizo salary slip za watu umeziona wapi?, acha kupotosha kama kenge!Jana ijumaa nilikuwa napitia mafaili ya mishahara kwenye ofisi (X) ya umma!
Asilimia kubwa watumishi wa umma wamechukua Mikopo ya pesa nyingi kiasi wengine hukatwa hadi asilimia 98% ya mshahara yao!
Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na elf 5 kwenye AKAUNTI?
Nimepitia salary slip nyingi watu wengi wanapokea hadi elfu kumi na mbili kwa mwezi!
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Huyu itakuwa ana stationary anaprint salary slip za watumishi.Mkuu una wadhifa gani kufungua hadi strong room na kuanza kuperuzi mafaili ya watu?
Hata hivyo kwenye faili hakuna salary sleep, wewe umejuaje yote hayo?
Hivi kimantiki ruhusa ya kukopa na kuidhinisha mwisho wa kiwango cha kukopa si kinatolewa ns mwajiri?
Hapo mfanyakazi maskini ana kosa gani?