Mkuu! Unae mdai kakudanganya mwambie hakuna mtumishi anayekopea mshahara wake mpaka abaki na sifuriKuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na chenji kwenye AKAUNTI?
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Lakini kuna watu wamekatwa Bodi ya Mikopo mpaka kinachobaki kwenye mshahara wao ni chini ya Tsh.100,000 (LAKI MOJA), wewe unaona ni sahihi. Mbona hawajazingatia hiyo 1/3?Hapa JF kuna watu wazushi ukiwemo wewe Mleta mada. Kwa taarifa yako Mtumishi akikopa makato yakaathiri 1/3 ya Gross pay yake makato hayapitishwi kamwe na huo mkopo hauchukui ng'oo. Rejea taarifa ya CAG ya mwaka huu kipengele cha Mishahara huwezi kukuta hoja kama hiyo.
Kama yupo mtumishi wa aina hiyo anayekatwa mpaka kubaki na elfu 5 unayosema tatizo laweza kuwa ALISHUSHWA MSHAHARA AKIWA TAYARI KAKOPA na hivyo kuathiri uhalisia, ANAKATWA DENI LA SERIKALI KUREJESHA FEDHA ZA HASARA AU WIZI, AMEBADILISHWA CHEO AU TAASISI KUTOKA KIKUBWA KUJA KIDOGO.
Huko serikalini upo mfumo ambao hauwezi kuruhusu mtumishi kukopa zaidi ya 1/3 labda kama kwa sasa haupo lkn najua kwa sasa ndio uppo imara huenda kutokana na maendeleo ya ICT.
Kuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na chenji kwenye AKAUNTI?
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Chadema tu hao! LOLahsante sana, nilikuwa nafahamu kitu kama hiki. tatizo kubwa sana linalotunyemelea/kutuharibu watu siku hizi ni kuwa wengi ni kama vile tupo katika ushindani wa kuanzisha mada ili tuwe labda wa kanza kusema hiko kitu.......matokeo ndo hivi tunaleta mada ambazo hazijachunguzwa kwa undani kabisa
haiwezekani, labda uko mitaani ndio kuna wakopeshaji wa asilimia 50 kwa mwezi huchukua kadi za watumishi. huku ndio takukuru wanakotakiwa kupita ingawa na wenyewe wanapigwa piaMkuu usiwe mbishi! Mambo mengi Sana yenye utaratibu mbona yanafanyika kinyume na utaratibu?! au nikupe mifano mikubwa!?
Taratibu za manunuzi ya serikali zinasemaje? mbona tunatekeleza miradi mingi kwa maagizo?
Hata kwenye mishahara Ni hivyo hivyo, waajili wanaidhina Mikopo ya watu hivyo hivyo juu kwa juu!
Nadhan kuna kanuni fulani kwenye utumishi wa umma inawazuia majaji/mahakimu kutokukopa sana, kwa sababu hizo kazi zina mihela ya rushwa mingi sana pengine kuliko Nazi nyingine yoyote,ukiondoa tra-forodhakuna watu wabishi tu, sijui wanaona faida kubisha; Hawajui Kama Mikopo mikubwa inachangia Sana kupunguza uadilifu kwa watumishi wa umma!
pia mishahara imewekwa kwa mahesabu maalum ili yamtoshe mwajiliwa kujikimu ili asipende rushwa, Sasa Kama anachukua mkopo pesa yote inakatwa unafikili atakataa rushwa? mbaya zaidi Mtumishi huyo ananunua gari hela ya mafuta unadhan Atapata wapi Kama si-kuforce rushwa au Umalaya?
usiwapangie jinsi ya kuishi,wengine wana vyanzo vingine tofauti na mshaharaKuna watu wamechukua Mikopo mikubwa sana na ndani ya mkopo hiyo wameongeza mikopo mingine tena juu kwa juu (inaitwa TOP-UP)
Sipo hapa kumpangia mtu Matumizi ya Mikopo yake; lakini swali langu je hao watumishi wanaokatwa mishahara yao yote kwa mikopo wanaishije kwa kubakiwa na chenji kwenye AKAUNTI?
Naomba utumishi, wizara ya fedha na TAKUKURU pigeni marufuku Mikopo holela kwa watumishi umma haina afya kimaadili!
Uliishi vipi mkuu? Uliweza hata kuwa na mood ya kazi?Mimi bodi ya mkopo waliponitia kidole nilibakiwa na 160,000/= hapo Nina mke na mtoto, kodi ya pango, nauli ya kazini na mengine mengi. Maisha yana siri nyingi sana
Mshahara wangu basic 1,235,000/=. Lakini takehome bila mkopo wowote ni 890,000/=. Inayobaki yote yote ni makato mbalimbali. Kodi ya mapato peke yake 223,000/=. Nitaachaje kukopa na ku topup. Wewe una posho za ziada nje ya mshahara. Mimi zaidi ya kudaiwa michango ya mwenge na ujenzi wa sekondari za serikali, sina posho yoyote.
Acha ujinga, fanya yako.
Kopa huku lipa kule, azima huku rudisha kule, zikitokea kazi za data entry unaomba nikipata kazini naaga ugonjwa na cheti cha daktari wiki 2 kazi imeisha unarudi yaani Fujo tupu sikuwa na mood ya kazi kabisa.Uliishi vipi mkuu? Uliweza hata kuwa na mood ya kazi?