FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Unajua for most of us utumwa ni kama hadithi za kufikirika tu, ni ngumu sana kuamini kwamba eti mwarabu mmoja mwenye bunduki ya kipuuzi anaweza akateka watu 100 wenye akili zao, akawafunga minyororo wote na kuwasafirisha for miles bila shida yoyote ile, iliwezekanaje?
Watumwa ndani ya minyororo, wameridhiiika wenyewe, eti wanapigwa picha!
Mtoto mtumwa huko Zanzibar. Hapa anakula adhabu kali ya kusimama na gogo la kilo 30 kwenye jua kali bila viatu kwa muda usiopungua masaa 8 bila kula, hii ni kwa kosa la kimbwa sana sitalitaja hapa, linahusiana na yale mambo flani yale.
Hapa tunaona mbwa mmoja wa kizungu aliekuwa anaitwa T.H Williams akitoa tangazo linaloahidi donge nono la dollar 100 ya mwaka huo, (August 4, 1853) kwa yeyote atakaemrudisha mtumwa wake mrembo sana. Huyu binti Emily bila shaka alimlewesha kwa yale mambo yetu mpaka ana mtafuta kwa nguvu namna hii.
Hapa mtumwa akiwa kwenye maumivu makali sana. Sina uhakika sana, ila inawezekana alikuwa natengenezewa bangili ya kufungwa mnyororo, pia huyu mbwa wa kizungu inawezekana alikuwa anamtoboa enka, u neva know!
Hii picha ndio imenifanya nianze kupata majibu ya swali langu, yaani hao askari wanaowachunga wenzao kama ng'ombe wa maksai ni Waafrika wenzetu kabisa. Hapa ni kwenye shamba la mpira (rubber plantation) lililokuwa likimilikiwa na wabelgiji na hao ni wakongoman. Haya ni mambo ya kimbwa kabisa. hiki ndicho wanyanyasaji wanachotufanya watanzania kwa kutumika na watu wa pua ndefu na ndevu nyingi.
=========================
Update: 10/06/2023
www.jamiiforums.com
Mtoto mtumwa huko Zanzibar. Hapa anakula adhabu kali ya kusimama na gogo la kilo 30 kwenye jua kali bila viatu kwa muda usiopungua masaa 8 bila kula, hii ni kwa kosa la kimbwa sana sitalitaja hapa, linahusiana na yale mambo flani yale.
Hapa tunaona mbwa mmoja wa kizungu aliekuwa anaitwa T.H Williams akitoa tangazo linaloahidi donge nono la dollar 100 ya mwaka huo, (August 4, 1853) kwa yeyote atakaemrudisha mtumwa wake mrembo sana. Huyu binti Emily bila shaka alimlewesha kwa yale mambo yetu mpaka ana mtafuta kwa nguvu namna hii.
Hapa mtumwa akiwa kwenye maumivu makali sana. Sina uhakika sana, ila inawezekana alikuwa natengenezewa bangili ya kufungwa mnyororo, pia huyu mbwa wa kizungu inawezekana alikuwa anamtoboa enka, u neva know!
Hii picha ndio imenifanya nianze kupata majibu ya swali langu, yaani hao askari wanaowachunga wenzao kama ng'ombe wa maksai ni Waafrika wenzetu kabisa. Hapa ni kwenye shamba la mpira (rubber plantation) lililokuwa likimilikiwa na wabelgiji na hao ni wakongoman. Haya ni mambo ya kimbwa kabisa. hiki ndicho wanyanyasaji wanachotufanya watanzania kwa kutumika na watu wa pua ndefu na ndevu nyingi.
=========================
Update: 10/06/2023
Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023. ====== Leo Juni 10, 2023, Bunge la...