Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

tena yapasa kujiuliza hao watumwa kibao kutoka EAST AFRICA na kusafirishwa kwa majahaz kwenda kwa majini magaidi KIZAZI CHAO KIPO WAPI??? mbona wa west africa kizazi chao kipo america?? historians naomba mnijibu

hawa waarab walikuwa ni wafanyabiasha (middlemen) ya watumwa kwahiyo waliwauza sekta zenye kuwahitaj kama kwenye viwanda, mashamba, n.k kwa kadir ya mahitaj ya nchi husika hivyo hawa hawakuwa wanawachukua kwaajili ya matumiz yao ila ni kwenda kuwauza kutokana na sehem kubwa ya uarabun ni jangwa hivyo mashamba ni shida
 
Nawapenda sana jamii ya Oriental wachina Korea na Japan pamoja na dini zao za ajab ajab kama shinto na budha. Hawa watu hawakuwadhuru waafrika na hawana time. Nå dini zao za a jab ajab hazina chuki kwa wengine. Mizungu na miarab nimikatili sana. Dini zao walizotuletea hazijatufanya hata tuwe wema. Bali zimetufanya tuwe na zamb zaidi na kuwa MAAMUMA WALIOKUBUHU! Huitaj ushaid ujue hili. Pumbavv zetu waafrika weus! !!
hawakupata tu nafasi. jamii nyingi duniani zimepitia utumwa sema weusi tumepitia hivi karibuni. unafikiri mnara wa babeli, mapiramidi ya misri na mexico, great wall of china na mahekalu ya wabudha na wahindu yangejengeka bila watumwa?.
 
wote wote wabaya tu, sio mwarabu wala mzungu! kwani wazungu walipochukua watumwa walikuwa bado hawajawa wakristo au?!
haiwezekani kupinga utumwa kwa kutumia bible. wamarekani hii hoja iliwashinda hadi wakaingia kwenye civil war.
 
mbona kama anaokolewa na mwanajeshi mwanamaji.
SlaveShackle_450x397.jpg
 
tena yapasa kujiuliza hao watumwa kibao kutoka EAST AFRICA na kusafirishwa kwa majahaz kwenda kwa majini magaidi KIZAZI CHAO KIPO WAPI??? mbona wa west africa kizazi chao kipo america?? historians naomba mnijibu

Hao waliuawa na walihasiwa pia wanawake hawakupelekwa huko uarabuni.
 
Yaliyopita si ndwele, tugange yaliyopo na yajayo.
 
A very deep thread, I hope itakua sticky

Tuna issues kwenye ubongo mkuu

I have always been asking myself, how come mwarabu mmoja au wawili wanaswaga watu mia?? lakini angekua mbantu ndio anaswaga wenzake, wangemgeuka na kumla nyama

We ahve demostrated a lot of inferiority kiasi kwamba ni vigumu kuamini kama we are not inferior
 
Unajua for most of us utumwa ni kama hadithi za kufikirika tu.., ni ngumu sana kuamini kwamba eti mwarabu mmoja mwenye bunduki ya kipuuzi anaweza akateka watu 100 wenye akili zao, akawafunga minyororo wote na kuwasafirisha for miles bila shida yoyote ile.., iliwezekanaje..????!!!

slaves510x492.gif

Watumwa ndani ya minyororo.., wameridhiiika wenyewe..., eti wanapigwa picha!

2006_2637.JPG

Mtoto mtumwa huko Zanzibar.., hapa anakula adhabu kali ya kusimama na gogo la kilo 30 kwenye jua kali bila viatu kwa muda usiopungua masaa 8 bila kula..., hii ni kwa kosa la kimbwa sana sitalitaja hapa.., linahusiana na yale mambo flani yale..

reward2.jpg

Hapa tunaona mbwa mmoja wa kizungu aliekuwa anaitwa T.H Williams akitoa tangazo linaloahidi donge nono la dollar 100 ya mwaka huo, (August 4, 1853) kwa yeyote atakaemrudisha mtumwa wake mrembo sana. Huyu binti Emily bila shaka alimlewesha kwa yale mambo yetu mpaka ana mtafuta kwa nguvu namna hii.

SlaveShackle_450x397.jpg

Hapa mtumwa akiwa kwenye maumivu makali sana. Sina uhakika sana.., ila inawezekana alikuwa natengenezewa bangili ya kufungwa mnyororo.., pia huyu mbwa wa kizungu inawezekana alikuwa anamtoboa enka.., u neva know..!
166367_o.jpg

Hii picha ndio imenifanya nianze kupata majibu ya swali langu.., yaani hao askari wanaowachunga wenzao kama ng'ombe wa maksai ni waafrika wenzetu kabisa...!!! hapa ni kwenye shamba la mpira (rubber plantation) lililokuwa likimilikiwa na wabelgiji na hao ni wakongoman..., haya ni mambo ya kimbwa kabisa. hiki ndicho CCM wanachotufanya watanzania kwa kutumika na watu wa pua ndefu na ndevu nyingi..!

Ulianza vizuri lakini kwa kuitaja CCM , unakusudia kujenga chuki miongoni mwa wananchi na nadhani unastahili kushughulikiwa na wanaodeal na wahaini.
 
Back
Top Bottom