Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Ila jamani mimi niliishi Uarabuni miaka 3. Kiukweli waarabu wengi hawana u binadamu hasa kwa mtu mweusi. Bado wanaona mtu mweusi ni mtumwa tu. Nimeshuhudia mabinti wengi wadogo kutoka Africa hasa kutoka Ethiopia wanapoletwa uarabuni, ukiwakuta Airport kwakweli utaguswa tu maana nilishuhudia walikuwa kama 50 wanaongozwa kama ng, ombe na waliingizwa kwenye chumba kimoja nakufungiwa kumsubiria wakala aliyewaleta ili aje akamilishe taratibu za immigration halafu awagawe kwa watu walioweka order ya House girl. Na kinachofanyika huyo Agent anachukuwa Passport zao ili wasiweze kutoroka. Hivyo hata apate mateso kiasi gani hataweza kuondoka hadi wakala aliyewaleta akubali. Na hata maslahi yake yote yanalipwa kwa huyo wakala ndipo alipwe yeye kiasi atakachopangiwa na huyo wakala. Nilikuta kesi nyingi za nyuma za kuteswa na wengine kufariki kwakutupwa ngorofani na wake za matajiri zao wanapokuwa na hisia kuwa huenda wakafanya mapenzi na waume zao. Na kwavile nimeshaishi na wazungu basi kwa mtazamo wangu naona angalau Mzungu anathamini Utu na ubinadamu hata kama atakunyonya. Pia tukumbuke kuwa japokuwa biashara ya utumwa iliwanufaisha wazungu na waarabu lakini ni wazungu ndio walioanzisha campaign yakukomesha biashara hiyo. Mwarabu hakuwa hata na wazo hilo

166367_o.jpg


Jee, umeiona hii picha? kuna mzungu au Mwaarabu hapo?
 
Thread ilianza vizuri ila mwanzishi akaharibu kuingiza siasa, matusi na dini.

Halafu, yeye ndo anaesistiza waafrika waungane wakati tayari amechagua mzungu kuwa zimwi limjualo huku akiwaza ni mpango wa 'bwana' wa hiyo dini ya magharibi kwa yeye kuendelea kuwa mtumwa.

Utumwa hautaisha kamwe kwa kuendelea kuwa na mawazo duni kama hayo. Ukombozi wa fikra ni muhimu sana kuliko hata kuungana. Bila mtu kuona ufahari kuenzi tamaduni zake, ataendelea kuwa duni na kila siku kuhisi kalaaniwa.

Jithamini, jibidishe kujitegemea nawe utaheshimika.

HAKUNA LAANA KATU!! Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea.... Mwerevu na ang'amue!
 
Kuamini kuwa hakuna historia ya Mwaafrika zaidi ya kuwa ni mtumwa ni mpangilio wa kum "brainwash" Mwaafrika na kumfanya ajione duni (inferior) siku zote.

Naamini kuwa historia ya Mwafrika ni zaidi ya utumwa ambao tunaaminishwa kuwa ni historia pekee iliopo na kwa ujuha wa wengi wetu tunaamini hilo kabisa (ushahidi, tazama kwa makini hii nyuzi). Mfumo wetu wa elimu tumeurithi kwa hao hao wanaotaka kutuaminisha kuwa Mwaafrika si lolote si chochote hadi hii leo.

Fungukeni muijuwe historia ya ukweli na mtaelewa kwamba hata watawala wa Kiafrika wa zamani walikuwa wana watumwa.

Ukiiingia historia kwa umakini utabaini kuwa ustaarabu wa awali duniani ulikuwa Afrika, mahekalu na majumba makubwa makubwa yalikuwa Afrika na watawala walikuwa Waafrika na watumwa walikuwa Waafrika na wengineo pia hapa hapa Afrika.

Waafrika walitawala mpaka baadhi ya Asia kwa miaka na miongo kadhaa na kuwa na watumwa wa kila aina (Soma kisa cha Queen of Sheba).

Soma vizuri historia ya Vasco Da Gama alipokuja, msafara wake uliikuta Kilwa imeendelea, ina majumba ya ghorofa yenye rangi, wakati Uropa walikuwa hawajui rangi ni nini, walikuta Waafrika wanatawala na wanafanya biashara mpaka China, wakati Uropa hata njia ya kwenda India tu walikuwa hawaijui.

Walikuta tayari Kilwa mpaka Sofala utawala wa Kiafrika wanatumia sarafu za dhahabu wakati wao hawakutegemea hilo. Walikuta Kilwa watu wanavaa hariri wakati wao walikuwa hawajui hariri ni nini! Isitoshe walikuta watu wanatumia sahani za kauri kutoka China (chinaware) wakati wao ndio mara ya kwanza wamezionea kauri Kilwa.

Walikuta majumba yanapambwa kwa tiles za vigae, kuanzia sakafu mpaka kuta mpaka dari ushahidi ni mabaki ya majumba Kilwa, (Kilwa ruins) ambayo mabaki hayo yamewekwa, yamefanywa kuwa kumbukumbu za kihistoria duniani (world historical heritage).

Yote hayo hatuyaoni wala hatuna haja ya kuyaona wala kuyachunguza zaidi kwa kuwa mrengo wa elimu tuliowachiwa na wakoloni (wazungu) na ndiyo tunayoiendeleza, umetufunika vichwa vyetu na kutujaza ujinga tujione kuwa Waafrika ni duni.

Bila kufunguwa vichwa vyetu na kuisaka na kuitafuta historia ya zaidi ya Mwaafrika kuwa ni mtumwa tu, hatutafunguka na tutaendelea kuwa Watumwa.

Nionavyo, utumwa wa Mwaafrika uko ndani ya vichwa zaidi, vilivyorubuniwa kuwa duni kwa kuaminishwa kuwa historia pekee iliopo ya Mwaafrika ni mtumwa. Naamini Afrika kuna historia kubwa zaidi ya utumwa.

Sijui kwanini mnaingizwa mkenge na wazungu ili mjione kuwa Waafrika siku zote ni duni na nyie mnaingia kichwa kichwa!

Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu
 
Wazungu kweli walitupatia yaaani wanaume woooote hao wanaongozwa na mzungu mmoja tu hata kugoma hawagomi ? mmmmmmmmmmmh kweli akili ni zaidi ya nguvu za misuli
 
Kuamini kuwa hakuna historia ya Mwaafrika zaidi ya kuwa ni mtumwa ni mpangilio wa kum "brainwash" Mwaafrika na kumfanya ajione duni (inferior) siku zote.

Naamini kuwa historia ya Mwafrika ni zaidi ya utumwa ambao tunaaminishwa kuwa ni historia pekee iliopo na kwa ujuha wa wengi wetu tunaamini hilo kabisa (ushahidi, tazama kwa makini hii nyuzi). Mfumo wetu wa elimu tumeurithi kwa hao hao wanaotaka kutuaminisha kuwa Mwaafrika si lolote si chochote hadi hii leo.

Fungukeni muijuwe historia ya ukweli na mtaelewa kwamba hata watawala wa Kiafrika wa zamani walikuwa wana watumwa.

Ukiiingia historia kwa umakini utabaini kuwa ustaarabu wa awali duniani ulikuwa Afrika, mahekalu na majumba makubwa makubwa yalikuwa Afrika na watawala walikuwa Waafrika na watumwa walikuwa Waafrika na wengineo pia hapa hapa Afrika.

Waafrika walitawala mpaka baadhi ya Asia kwa miaka na miongo kadhaa na kuwa na watumwa wa kila aina (Soma kisa cha Queen of Sheba).

Soma vizuri historia ya Vasco Da Gama alipokuja, msafara wake uliikuta Kilwa imeendelea, ina majumba ya ghorofa yenye rangi, wakati Uropa walikuwa hawajui rangi ni nini, walikuta Waafrika wanatawala na wanafanya biashara mpaka China, wakati Uropa hata njia ya kwenda India tu walikuwa hawaijui.

Walikuta tayari Kilwa mpaka Sofala utawala wa Kiafrika wanatumia sarafu za dhahabu wakati wao hawakutegemea hilo. Walikuta Kilwa watu wanavaa hariri wakati wao walikuwa hawajui hariri ni nini! Isitoshe walikuta watu wanatumia sahani za kauri kutoka China (chinaware) wakati wao ndio mara ya kwanza wamezionea kauri Kilwa.

Walikuta majumba yanapambwa kwa tiles za vigae, kuanzia sakafu mpaka kuta mpaka dari ushahidi ni mabaki ya majumba Kilwa, (Kilwa ruins) ambayo mabaki hayo yamewekwa, yamefanywa kuwa kumbukumbu za kihistoria duniani (world historical heritage).

Yote hayo hatuyaoni wala hatuna haja ya kuyaona wala kuyachunguza zaidi kwa kuwa mrengo wa elimu tuliowachiwa na wakoloni (wazungu) na ndiyo tunayoiendeleza, umetufunika vichwa vyetu na kutujaza ujinga tujione kuwa Waafrika ni duni.

Bila kufunguwa vichwa vyetu na kuisaka na kuitafuta historia ya zaidi ya Mwaafrika kuwa ni mtumwa tu, hatutafunguka na tutaendelea kuwa Watumwa.

Nionavyo, utumwa wa Mwaafrika uko ndani ya vichwa zaidi, vilivyorubuniwa kuwa duni kwa kuaminishwa kuwa historia pekee iliopo ya Mwaafrika ni mtumwa. Naamini Afrika kuna historia kubwa zaidi ya utumwa.

Sijui kwanini mnaingizwa mkenge na wazungu ili mjione kuwa Waafrika siku zote ni duni na nyie mnaingia kichwa kichwa!

Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu

Brainwashing haifanywi na wazungu pekee!
 
Kuamini kuwa hakuna historia ya Mwaafrika zaidi ya kuwa ni mtumwa ni mpangilio wa kum "brainwash" Mwaafrika na kumfanya ajione duni (inferior) siku zote.

Naamini kuwa historia ya Mwafrika ni zaidi ya utumwa ambao tunaaminishwa kuwa ni historia pekee iliopo na kwa ujuha wa wengi wetu tunaamini hilo kabisa (ushahidi, tazama kwa makini hii nyuzi). Mfumo wetu wa elimu tumeurithi kwa hao hao wanaotaka kutuaminisha kuwa Mwaafrika si lolote si chochote hadi hii leo.

Fungukeni muijuwe historia ya ukweli na mtaelewa kwamba hata watawala wa Kiafrika wa zamani walikuwa wana watumwa.

Ukiiingia historia kwa umakini utabaini kuwa ustaarabu wa awali duniani ulikuwa Afrika, mahekalu na majumba makubwa makubwa yalikuwa Afrika na watawala walikuwa Waafrika na watumwa walikuwa Waafrika na wengineo pia hapa hapa Afrika.

Waafrika walitawala mpaka baadhi ya Asia kwa miaka na miongo kadhaa na kuwa na watumwa wa kila aina (Soma kisa cha Queen of Sheba).

Soma vizuri historia ya Vasco Da Gama alipokuja, msafara wake uliikuta Kilwa imeendelea, ina majumba ya ghorofa yenye rangi, wakati Uropa walikuwa hawajui rangi ni nini, walikuta Waafrika wanatawala na wanafanya biashara mpaka China, wakati Uropa hata njia ya kwenda India tu walikuwa hawaijui.

Walikuta tayari Kilwa mpaka Sofala utawala wa Kiafrika wanatumia sarafu za dhahabu wakati wao hawakutegemea hilo. Walikuta Kilwa watu wanavaa hariri wakati wao walikuwa hawajui hariri ni nini! Isitoshe walikuta watu wanatumia sahani za kauri kutoka China (chinaware) wakati wao ndio mara ya kwanza wamezionea kauri Kilwa.

Walikuta majumba yanapambwa kwa tiles za vigae, kuanzia sakafu mpaka kuta mpaka dari ushahidi ni mabaki ya majumba Kilwa, (Kilwa ruins) ambayo mabaki hayo yamewekwa, yamefanywa kuwa kumbukumbu za kihistoria duniani (world historical heritage).

Yote hayo hatuyaoni wala hatuna haja ya kuyaona wala kuyachunguza zaidi kwa kuwa mrengo wa elimu tuliowachiwa na wakoloni (wazungu) na ndiyo tunayoiendeleza, umetufunika vichwa vyetu na kutujaza ujinga tujione kuwa Waafrika ni duni.

Bila kufunguwa vichwa vyetu na kuisaka na kuitafuta historia ya zaidi ya Mwaafrika kuwa ni mtumwa tu, hatutafunguka na tutaendelea kuwa Watumwa.

Nionavyo, utumwa wa Mwaafrika uko ndani ya vichwa zaidi, vilivyorubuniwa kuwa duni kwa kuaminishwa kuwa historia pekee iliopo ya Mwaafrika ni mtumwa. Naamini Afrika kuna historia kubwa zaidi ya utumwa.

Sijui kwanini mnaingizwa mkenge na wazungu ili mjione kuwa Waafrika siku zote ni duni na nyie mnaingia kichwa kichwa!

Miafrika Ndivyo Tulivyo - Nyani Ngabu

Vipi mbona hujataja na mabwana zako wa kiarabu walivyowachukua wazee wetu huko Arabuni na kuwahasi kwa kuwabana sehem za siri ili wasizae na kuongezeka?!
 
tena yapasa kujiuliza hao watumwa kibao kutoka EAST AFRICA na kusafirishwa kwa majahaz kwenda kwa majini magaidi KIZAZI CHAO KIPO WAPI??? mbona wa west africa kizazi chao kipo america?? historians naomba mnijibu
Mtumwa apelekwe nchi za arabuni akafanyekazi gain,enzi hizo?Wakati ni jangwa hakuna kilimo wala mifugo,watumwa walipelekwa America na ulaya kwenye mashamba.Ilipoingia teknolojia ya mashine,mtumwa hakuhitajika tena.Ndio wazungu wakajitia kupiga marufuku utumwa.Wapo watu weusi wengi nchi za kiarabu,lakini hawakwenda kama watumwa,walikwenda kutafuta maisha.Na wengi wamefanikiwa kimaisha.Kwa mfano Oman upon mji unaitwa Salalah,wapo wengi na ni mji wao,na wanamaendeleo makubwa sana.Na inasemekana kiongozi wa nchi ya Oman mama ake ni mtu mweusi.Na ni nchi pekee duniani,yenye wa Tanzania wengi,wenye kazi za kiserekali,na wengine ni mawaziri.Na vilevile ni nchi pekee duniani,kiswahili kuwa lugha ya pili kuzungumzwa na wananchi wake.Katika kila watu watano,watatu wanajuwa kiswahili.Na wa Tanzania walioko Oman hawajaacha utamaduni wao wa asili,makabila mengi ya Tanzania yako Oman.
 
Vipi mbona hujataja na mabwana zako wa kiarabu walivyowachukua wazee wetu huko Arabuni na kuwahasi kwa kuwabana sehem za siri ili wasizae na kuongezeka?!

Kwanza jifunze kuandika na kuongea Kistaarabu. Unaonyesha uko finyu sana hata Uarabu huujuwi ni nini.

Hata Igunga kuna Uarabuni.

Wauliza babu zako kwanini waliwashika wajomba zako wakawauza kwa shanga. Umeshajiuliza hilo?



Huyu pia ni Mwaarabu, jee ana tofauti na babu yako?
 
Mada nzur ila kuna watu humu wanaitumia kama mianya ya kukejel dini za watu...(mwarab kaleta din ya KIMBWA),huu si ustaarabu na point isiyo na fact jaman,hebu jaman tuwe wenye kupevuka kwa kuchangia chenye hoja na kilichostaarabikaa na chenye kujengaa...
 
Kwa sasa Utumwa wa Mwafrika ni wa Kifikra dhidi ya mtu mweupe, ndiyo maana Marais wote wa Kiafrika wakiapishwa tu wanakimbilia Uropa na Marekani hii inamaanisha bila wao hatuwezi.Miaka inavyokwenda uwezo wa watu weusi kujitambua unapungua tofauti na kipindi kile cha mababu zetu ambao walipigana kumuondoa mtu mweupe pamoja na kwamba waliteswa na kudharauliwa lakini mwishowe walijitambu wakasema sasa inatosha. Mwisho, kama tunataka kuondokana na utumwa wa fikra dhidi ya mtu mweupe ni vyema tuanze na vitu vidogo vidogo, kwanza tuyakatae majina yao. Maana tukisema tunapinga utumwa wakati bado tuna utumwa wa majina bado tutakuwa tunajidanganya, ni sawa na kusema huipendi nyama ila mchuzi wake unaunywa.
 
Ila jamani mimi niliishi Uarabuni miaka 3. Kiukweli waarabu wengi hawana u binadamu hasa kwa mtu mweusi. Bado wanaona mtu mweusi ni mtumwa tu. Nimeshuhudia mabinti wengi wadogo kutoka Africa hasa kutoka Ethiopia wanapoletwa uarabuni, ukiwakuta Airport kwakweli utaguswa tu maana nilishuhudia walikuwa kama 50 wanaongozwa kama ng, ombe na waliingizwa kwenye chumba kimoja nakufungiwa kumsubiria wakala aliyewaleta ili aje akamilishe taratibu za immigration halafu awagawe kwa watu walioweka order ya House girl. Na kinachofanyika huyo Agent anachukuwa Passport zao ili wasiweze kutoroka. Hivyo hata apate mateso kiasi gani hataweza kuondoka hadi wakala aliyewaleta akubali. Na hata maslahi yake yote yanalipwa kwa huyo wakala ndipo alipwe yeye kiasi atakachopangiwa na huyo wakala. Nilikuta kesi nyingi za nyuma za kuteswa na wengine kufariki kwakutupwa ngorofani na wake za matajiri zao wanapokuwa na hisia kuwa huenda wakafanya mapenzi na waume zao. Na kwavile nimeshaishi na wazungu basi kwa mtazamo wangu naona angalau Mzungu anathamini Utu na ubinadamu hata kama atakunyonya. Pia tukumbuke kuwa japokuwa biashara ya utumwa iliwanufaisha wazungu na waarabu lakini ni wazungu ndio walioanzisha campaign yakukomesha biashara hiyo. Mwarabu hakuwa hata na wazo hilo
Uliishi arabuni ipi?na nchi gani?Arabuni kuna nchi tofauti,kama unavyoona Afrika.
 
Huwezi kuwa mkweli ikiwa hutataja warabu ambao diyo walikuwa makatili na vinara wa kuchukua watumwa East Aafrica. Kinyume cha hapo, una agenda zako binafsi zisizo na maslahi wala tija kwa taifa.

Nikweli,lakini pia huwezi kuwaacha wazungu ambao walikuwa wateja wa hii biasha
 
Lakini nafuu yule alieachia kizazi kiendelee huko kwake..

Kanisa mpaka leo lina wahasi watumishi wake, unalijuwa hilo?

Jisomee (kama lugha haikupigi chenga), ewe punguani:

Joep Dohmen, an investigative journalist who investigated the Heithuis case, says sources told him that the surgical removal of testicles was regarded as a treatment for homosexuality and also as a punishment for those who accused clergy of sexual abuse.
Mr Heithuis was castrated at the age of 20 - in 1956 he had accused Catholic clergy of sexually abusing him in his Church run care home.
Children in institutional care, regardless of religious affiliation, in the Netherlands were at substantial risk of being abused during the period, the molestation rate was 20 per cent, twice that of elsewhere.

Read more: Dutch Catholic Church castrated 10 boys in the 1950s in effort to purge homosexuality | Daily Mail Online
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
 
Vipi mbona hujataja na mabwana zako wa kiarabu walivyowachukua wazee wetu huko Arabuni na kuwahasi kwa kuwabana sehem za siri ili wasizae na kuongezeka?!
Si kweli,kwa hiyo wataka kunambia waarabu walikuwa wanajuwa udaktari wa kuzuia uzazi?Kwa hiyo waarabu walikuwa mbele katika. Elimu ya Utibabu,kabla ya Taifa lolote duniani.
 
Back
Top Bottom