Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Aisee ni kweli,hata mimi nashangaa
 
Kama tunavyowashangaa wahenga wetu na tukishakuwa wahenga kadhalika kizazi kijacho kitatushangaa
 
Ila kiukweli hawa wazungu, waarabu yaan jehanam inawahusu walikuja na din na kufanya vitu kinyume na maandiko walifanya uasi mkubwa kiasi kwamba si waamin hats wakihubiri in Mara kumi dini zetu za kiafrika
 
Haya mambo yanauma sana lakini kwenye historia inasema waliwachukua watumwa kutoka maeneo tofautitofauti ili isiwe rahisi kujiunga na kupambana utumwa.
 
Nakupa tano mkuu... Unapokuwa ndani ya jamii kwa wakati huo bila ya kuelimishwa Kuna uwezekano mkubwa kitu cha ajabu kisicho cha kawaida huonekana ni cha kawaida tu. Ila muda ukipata na uelewa kuongezeka ndipo mshangao huja.. Kwa nn tulifanya hivi!
 
Waarabu walifanya biashara ya watumwa kwa kuwa wanunuzi walikuwa ni wazungu ndio maana hatuoni nchi ya watumwa kama zilivyo nchi nyingi za America kwa mfano Jamaica, Haiti, Brazil, Argentina n.k
 
Any one who is not confident, likes cheap and easy life and does not know his position in this world, can be a slave.
 
Hivi kwanini Chifu mkwawa alipigana vita na wajerumani?

 
Museveni ni kati ya viongozi wa kiafrica wasio na mipango yoyote ya maana kwa nchi zao .
 
Umeandika ukweli tulijatawala wenyewe hadi leo kuna watu wako hivyo kujipendekeza kwa viongozi na kuwanyanyasa walio chini yao
 
Huwezi kuwa mkweli ikiwa hutataja warabu ambao diyo walikuwa makatili na vinara wa kuchukua watumwa East Aafrica. Kinyume cha hapo, una agenda zako binafsi zisizo na maslahi wala tija kwa taifa.
Kati ya wareno na waarabu nani alikua mwenye roho mbaya,acha kukariri ww dogo
 
Mzungu/Mwarabu hawezi akafanya lolote lile kwa faida ya mtu mweusi.., sana sana ataficha ukweli na kukudanganya kwamba anakusaidia..., ni uongo tu.., CCM inabidi wazinduke..., nafuu tuka-deal na wachina tu..,
Bora mwarabu kuliko mzungu,anakufyonza damu yako huku anapuliza pasipo kujijua.
 
Dah watanzania bana 2napenda kulalama wakati cc ndiyo wabaguzi wa kumwaga. Ebu cheki Waarabu wako kimyaa wanaendeleza kujenga mataifa yao,,,,,,,cc 2mebaki kila day kuwalaumu na kuwasema vibaya.

WATANZANIA TUAMKE AISE,,,NA CO KILA CKU KULALAMA TU BILA ADVANTAGE YOYOTE.
 
Kati ya wareno na waarabu nani alikua mwenye roho mbaya,acha kukariri ww dogo

Wareno walikuwa na nia mbaya mno mkuu.kwa mtu anayeijuwa historia na asiekuwa na chuki kwa waarabu nazani ataeleza yote. Navyojua waarabu ndiyo walikuja kuwatimuwa hao wareno maana ilifikia hali mbaya wanataka kuikalia zanzibar kimabavu.

Waarabu yatakiwa 2wape heshima kubwa mno.
 
Mhuu nilisoma uchunguza wa nchi zenye wasomi zaid na weng afrika tzania hata kumi bora hatumo ni kias gani sie n vilaza wa mwisho duuuuu!!!
 
Kwani kipimo cha uzuri wa roho zenu waafrika ni nini? maana naona watu wamekazana kusema wazungu na waarabu wana roho mbaya.
 
Kati ya wareno na waarabu nani alikua mwenye roho mbaya,acha kukariri ww dogo

Dogog ni wewe!. Waarabu hadi leo ni maktili duniani hakuna, labda kwa sababu ni walemavu wa viungo kwa kuwa ni inbred. Hao wareno wanafanya nini? Usitafute faraja "waarabu na wafuasi wao ni mashetani na wataendelea kuwa mashsetani hadi watakapokiri kwamba ao ni mashetani na kutafuta mabadiliko".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…