Ww mzawa wacha chuki na.waarabu hao wazungu waliowatesa waafrika amerika kaskazini,kusini,jamaica haiti,Trinidad, Honduras, brazil,cuba,cape verde,porto Rico, Bahamas,colombia,san salvador,equador,brazil,Venezuela, Argentina na nk ni wazungu ww na.wakaleta misalaba yao kwa nguvu ya upanga tazama filamu Roots kunta kunte, ukienda bara la arabu utaona wenyw asili ya waafrika ni.wafalme,ma price, na matajiri wakubwa nenda QAtar,Saudi Arabia,Oman, KuwAit, Bahrain nenda au uliiazia walio enda watu weusi wenye asili ya uafrica wana hadhi gani huko? Hata dubai wakaone wana hadhi kubwa sasa waaarabu haqakuchukua watumwa kulima mashamba, ila chuki ya uarabu imepandikizwa watu waone wabaya,sasa mbona dini yao mnaikubali basi muache uislaam kila muafrika anaekwaza ma uarabu aache dini hio atafute dini nyengine huwezi ukaupenda uislaam ukamchukia alieuleta