Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Mwafrica atajikomboa mwenyewe sio mdhungu wala mavi ya UN !
Akili kumkichwa jamani ehhh!
Walahi so sad uwiii
 
Utumwa mpaka leo upo,huoni dada zetu wanapishana saluni kuweka mawiving na mawigi,tena utaskia wanajisifia kabisa kuwa ananunua nywele za laki sita,peruvian/brazilian sijui
 
Hii ni mipango ya mungu mwaafrika aliumbwa kuwa mtumwa,ndo maana tunaweza himili Hali ngumu,ila wazungu walijichanganya tu kutupatia elimu
 
Watumwa wakiwa katika 'ZOO' kama wanyama na wazungu wanakuja kuwaangalia
Screenshot_2018-09-11-11-07-12.png
 
Historia iko wazi haijifichi japo wapo majuha wanaotaka iaminike vinginevyo:
1. Watumwa walikuwepo dunia nzima kwa kila kabila na ndio maana kulikuwa na ubwana na utwana.
2. Kwanini watumwa wa kiafrika hawako Arabuni? Watumwa walikuwa wakikamatwa na "machifu wao watukufu - mashujaa wetu!!!" Kisha wanawauza kwa Mwarabu (Agent) aliyewasafirisha hadi Bagamoyo kisha Zanzibar ambako Mzungu aliwachukua kuwapeleka kwenye uhitaji.
3. Manamba nao ulikuwa ni itumwa ila ni sifa njema tu
4. Wako watumwa wa kiarabu, kiyahudi, kihindi nk. pia walipelekwa utumwani lakini historia yetu inaishia Tanganyika...
Tukasome na tutulize akili zetu tutaelewa midundo na aina zake ndio maana mpaka leo tuko kwenye utumwa wa fikra
 
Huo ni mtazamo wako na chuki zako binafsi dhidi ya waarabu.
Umeandika kwa kuwa unajua kuandika tu lakini hukujibu na hukunipatia nilicho kihitaji.
Na sidhani kama unaweza kunipatia ukizingatia unasukumwa na mihemuko ya chuki
Utakuwa mwarabu wewe , nilipo waarabu wapo mna ubaguzi sana nyinyi watu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Because it is not true that Arabs enslaved millions of Africans and.exported them.to slavery into Arabia if you read Zanzibar ots History and it People by W.H. Ingrams you will find that before 1917 Zanzibar that includes the whole Zenj Empire officially had a population of 5000 Arabs only and that includes old, women and children. How comes that they could heard about 15million Africans to slavery without any resistance or fight?
Recent research shows that the white people and especially the missioneries distorted the whole history of East Africa to appear that slavery by Arabs (Muslims) was so huge and rampant and that they were the only sarviours of the black people.

Now note thos photos you just took why you dont see an Arab owner beside his stock of slaves. Was it an Arab who would take those photos? Ask yourselves why in all history books there are not a single photograph that shows an Arab with the slaves except drawings? If course there were bad Arabs who enslaved people like Wazungu amd Wahindi but do not be fooled that it was an official trade as an establishment and organized thing.

In almost 500 years Oman was colonised by the Portuguess and Arabs were fighting for their freedom. Thanks to Imam Saif ibn Sultan Al Yaarubi who fought against and sunk 200 Portuguese Armadas at the Oman Coast the Omanis got their freedom. At that time the Portuguese were invading the East Coast of Africa, pillaging their lands and burning houses and rapping their females andhearding Africans like cattle taking them into slavery.

When the East Africans heard of the heroic victory of the Omanis they asked Saif Bin Sultan to come to their rescue where he did and went back to Oman and leaving East Africa to their own system of chiefdoms and small Sultanates like that of Kilwa and Tumbatu. So where do yo get this attrocities done by Arabs? Why doesn't Tanzania honour Abushir bin Salim or Moh'd Khalfan Rumaliza as heroes during Heroes Day of Uhuru celebrations? These Arabs led African revolts against the Germans who were doing the same thing Wareno did enslaving Africans?
U are either an Arab or an African -Arabic slave defending his master



Hakuna namna ya kusafisha waarabu kutokuhusika kwenye utumwa, unataka picha za miaka 1800 nani kakwambia kulikuwa na camera ,hebu punguza ujinga ragiki angu


Sisi Africa hatuendelei kwasababu hatupendi ukweli tena dini hizi zimetiharibu vichwa and I'm sure u are a Muslim thinking defending Arabs from slavery is defending Islam that's too awkward my friend



Biashara ya utumwa ilifanywa basically na sisi wenyeee waafrica tulikuwa tunachukuana watumwa tunauzana kama bidhaa hilo tulikubali kabla hatujaanza kulaumu wazungu na waarabu .
Pili,kama wazungu walivoshiriki katika biashara hii ndivyo waarabu walivoshiriki pia u don't need to defend them eti kisa were mkristo au muislam

Yani kama hizi dini zinawafanya mjitoe akili kuanza kutetea ma slave master wenu basi inabidi tuanze kuziangalia kwa jicho jingine zina lengo gani hasaa .

Nenda tabora huko kuna historia za kutosha tu zinazo prove waarabu walihusika in slavery you don't need to defend them in things so obvious




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea point mkuu
Mtu akili timamu kabisa anataka picha eti za miaka ya 1700 na 1800 camera zilikuwepo enzi hizo?
Mkuu,

Waarabu waliitwa na wenyeji!?
Sasa ilikuwaje waarabu (wageni) wakawa mabwana chini ya uongozi wa sultani na wenyeji wakawa watwana!!?Kulitokea nini!!?

Na kama wenyeji walikuwa wamewaleta waarabu kuwakomboa dhidi ya makucha ya wareno,ilikuwaje wenyeji chini ya John Okello wakafanya mapinduzi(Zanzibar Revolution) ambao ulimfanya sultani akimbie visiwa vya Zanzibar!!?

Suala la kwamba hakuna muarabu aliyepigwa picha sio la kuzingatia kwa kuwa sote tunajua kuwa kwa wakati ule kamera hazikuwa kama simu hivyo wamiliki walikuwa wazungu tena wazito tu!

Nafikiri nyie ndio mnapotosha historia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom